milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Ukifunika kichwa unafikiri muda upiFaizaFoxy Kwa nini wanaume wa Saudia huwa wanafunika vichwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifunika kichwa unafikiri muda upiFaizaFoxy Kwa nini wanaume wa Saudia huwa wanafunika vichwa?
Wanatuona wehu tulioko baraBadala ya kujiuzulu, anasaini mikataba kwa wajomba.
Ubalozi wa Vatican mbona ushafanya mengi tu
Huko nyuma tuliwaita mabeberu bila ya kutaja dini zao ...Uislamu mnafanya unapaa kwa sababu yenu wenyewe kupenda kuogopa.Msimu huu mataifa ya dini ile yanakuja usiku na mchana TX
Akina mkojani wamewai kuweza nini
Serikali za Tanzania na Saudi Arabia zimeingia makubaliano ya kusaidiana katika kukabiliana na uhalifu ikiwemo uhalifu wa mitandaoni.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni baada ya kusaini makubaliano ya ushirikiano huo kwa upande wa Tanzania jijini Riyadh, Saudi Arabia.
Akibainisha maeneo mengine ya ushirikiano huo, Waziri Masauni amesema pia makubaliano hayo yatahusisha namna ya kukabiliana na majanga ya moto, ajali za barabarani na ajali za majini.
Hati za makubalino hayo kwa upande wa SaudI Arabia zimetiwa saini na Waziri wa Mambo ya Ndani wa Saudia, Mwanamfalme Abdul Aziz Bin Saud Al Saudi.
Waziri Masauni yuko nchini Saudi Arabia kwa ziara ya kikazi.
Haha yule bibi utumwa umemuathiri sana!
You don’t know aiseeMsimu huu mataifa ya dini ile yanakuja usiku na mchana TX
Na Israel yupo nyuma yao wote hao.Nyuma ya Saudi Arabia kuna USA
Hapo "yanakuja" au tumejipeleka?Msimu huu mataifa ya dini ile yanakuja usiku na mchana TX
Ulipo tupo.😀😀Nyuma ya Saudi Arabia kuna USA
Kwanini tudhibiti kutekana?Tungeanza kudhibiti uhalifu wa kutekana kwa ground kabla ya hayo ya mtandaoni 🐒
Kwa sababu kuna genge la uhalifu linafarakanisha taifa kwa utekajiKwanini tudhibiti kutekana?
Vipi kuhusu dini ile wakati wa hayati JPM?.Msimu huu mataifa ya dini ile yanakuja usiku na mchana TX
Hilo mbona lipo wazi👇🏾Kwa sababu kuna genge la uhalifu linafarakanisha taifa kwa utekaji
Wakiruhusu bangi itakua hakuna magenge. Bangi za kujificha na kuvutia chooni zina madhara.Genge lolote linalohusika na utekaji lidhibitiwe ili kuepusha mifarakano kwenye taifa