Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Nimesikia ktk ITV leo na hata katika mijadala mbalimbalia kuhusu uimara wa kiswahili na tatizo linalosababishwa na Kiswahili.
katika akufuatilia nimeona tatizo si Lugha na hata kama lingekuwa lugha bado hatutakiwi kataa lugha.Wenzetu wanchi kubwa ambao lugha yao ni ya kimataifa ila si kiingereza, wanajipanulia nafasi kwa kujifunza lugha nyingi sana kwa gharama kubwa sana ili waweze jipanulia wigo ktk maisha.Mfano Ujerumani nchi yenye uchumi mkubwa wa kubeba ulaya.Pamoja na kwamba wanathamini sana lugha yao ktk nchi yao,bado hawaoni haja ya kupambana na kiigereza duniani.sabau ikiwa ni kwmaba tayari kiingereza kimesambaa sana na vi vyea kutumia hiyo platform.
Nikiangalia kwa makini nimekuja gundua kuwa si watanzania wengi wanaweza jieleza kwa ufasaha kwa lugh ayoyote waliyowahi jifunza.Hii inaonyesha tatizo lipo ktk walimu zaidi, pamoja na kukosa kuwa makini ktk mambo yetu.
katik amjadala wa leo waongeaji wengi walikuw awakifuata mkumbo kwa majibu mepesi sana ya kutaka kiswahili,kikishika hatamu.Wao wenyewe wanatumia vijineno vya kiingereza kibovu ili kusisitiza hoja zao nyepesi.
Ninachoweza tahadharisha watu hapa ni kuhusu kuw amaini sana na huu ushabiki wa kutaka kiswahili kishike hatamu.nadhani tunahitaji kwenda hivihivi.Ufundishaji ukiwa na umakini tunaweza toa wanafunzi makini wenye kujua lugha zote kwa umakini na wenye kuwez kieleza vyema.Ipo siku tutakuja juta kama tunavyojuta kwa maamuzi ya kichaa Mungai kufuta technical subject, kukusanya masomo yote ya sayansi ktk somo moja .Na kuondoa michezo.leo tuna wasomi wasiojua science nyepesi kwa maisha,wanafikia mahali pa kunshidwa elewa mazungumzo mepesi tuu toka kwa wasomi wa fani nyingine.Tuna vihiyo kila mahali, tuna watu wanaoongoza watalii waliokimbia somo ya Biology au agriculture sekondari na primary kwa miaka yote halafu waksiahfeli wanakuja soma kozi ya miezi mitatu halafu wanakwenda ongoza watalii wengine ni maprofessor wa zoology.
Kwanza hiyo miaka ya kusoma kiingereza tokea darasa la 3 hadi chuo kikuu ni miaka mingi sana,kila mtu angepaswa kuelewa lugha zaidi ya moja.Inakuweje wanaokwedna soma uchina na urusi,a unchi nyingine wanapotakiwa soma kugha kw akipindi kifupi na kuanza soma fani husika?
Tunapata shida elewa mikataba inayohusu sayansi na mengine kwa vile tuna wansheria wasio hata na basi knowledge ktk fani husika.
Huku tunajidanganya kuwa sijui spain,german, sijui russia, sijui japan etc kuwa wanatumia lugha zao kutatusaidia nini?Hizo nchi zina watu wapo very competetent ktk lugh za kigeni kwa fani zote za kielimu na utamaduni.wana uwezo mkubwa wa kutafsiri taaluma mbalimbalia kwa watu wa ndani na kwa usahihi mkubwa.sisi hata watu watukta hawajaweza tupa maneno sahihi kwa maeneo ya tehcnologia ya computer, madawa, na hata mambo yahusuyo riwaya tuu.
Ipo siku tunajuta kw akukiweka kizazi kizima ktk shimo wasiloweza toka na hivyo nchi kuwa na kizazi kizima hakina mtu wakutumia kwa maendeleo ya nchi.Hadi sasa hivi kuna walimu wengi tuu hawawezi fundisha somo kwa ufasaha kwa Kiswahili peke yake.
Kiswahili kinakosa sana uwezo wa kuelezea fikra na vitu vingine visivyoshikika amabvyo ni msingi wa sayansi.
katika akufuatilia nimeona tatizo si Lugha na hata kama lingekuwa lugha bado hatutakiwi kataa lugha.Wenzetu wanchi kubwa ambao lugha yao ni ya kimataifa ila si kiingereza, wanajipanulia nafasi kwa kujifunza lugha nyingi sana kwa gharama kubwa sana ili waweze jipanulia wigo ktk maisha.Mfano Ujerumani nchi yenye uchumi mkubwa wa kubeba ulaya.Pamoja na kwamba wanathamini sana lugha yao ktk nchi yao,bado hawaoni haja ya kupambana na kiigereza duniani.sabau ikiwa ni kwmaba tayari kiingereza kimesambaa sana na vi vyea kutumia hiyo platform.
Nikiangalia kwa makini nimekuja gundua kuwa si watanzania wengi wanaweza jieleza kwa ufasaha kwa lugh ayoyote waliyowahi jifunza.Hii inaonyesha tatizo lipo ktk walimu zaidi, pamoja na kukosa kuwa makini ktk mambo yetu.
katik amjadala wa leo waongeaji wengi walikuw awakifuata mkumbo kwa majibu mepesi sana ya kutaka kiswahili,kikishika hatamu.Wao wenyewe wanatumia vijineno vya kiingereza kibovu ili kusisitiza hoja zao nyepesi.
Ninachoweza tahadharisha watu hapa ni kuhusu kuw amaini sana na huu ushabiki wa kutaka kiswahili kishike hatamu.nadhani tunahitaji kwenda hivihivi.Ufundishaji ukiwa na umakini tunaweza toa wanafunzi makini wenye kujua lugha zote kwa umakini na wenye kuwez kieleza vyema.Ipo siku tutakuja juta kama tunavyojuta kwa maamuzi ya kichaa Mungai kufuta technical subject, kukusanya masomo yote ya sayansi ktk somo moja .Na kuondoa michezo.leo tuna wasomi wasiojua science nyepesi kwa maisha,wanafikia mahali pa kunshidwa elewa mazungumzo mepesi tuu toka kwa wasomi wa fani nyingine.Tuna vihiyo kila mahali, tuna watu wanaoongoza watalii waliokimbia somo ya Biology au agriculture sekondari na primary kwa miaka yote halafu waksiahfeli wanakuja soma kozi ya miezi mitatu halafu wanakwenda ongoza watalii wengine ni maprofessor wa zoology.
Kwanza hiyo miaka ya kusoma kiingereza tokea darasa la 3 hadi chuo kikuu ni miaka mingi sana,kila mtu angepaswa kuelewa lugha zaidi ya moja.Inakuweje wanaokwedna soma uchina na urusi,a unchi nyingine wanapotakiwa soma kugha kw akipindi kifupi na kuanza soma fani husika?
Tunapata shida elewa mikataba inayohusu sayansi na mengine kwa vile tuna wansheria wasio hata na basi knowledge ktk fani husika.
Huku tunajidanganya kuwa sijui spain,german, sijui russia, sijui japan etc kuwa wanatumia lugha zao kutatusaidia nini?Hizo nchi zina watu wapo very competetent ktk lugh za kigeni kwa fani zote za kielimu na utamaduni.wana uwezo mkubwa wa kutafsiri taaluma mbalimbalia kwa watu wa ndani na kwa usahihi mkubwa.sisi hata watu watukta hawajaweza tupa maneno sahihi kwa maeneo ya tehcnologia ya computer, madawa, na hata mambo yahusuyo riwaya tuu.
Ipo siku tunajuta kw akukiweka kizazi kizima ktk shimo wasiloweza toka na hivyo nchi kuwa na kizazi kizima hakina mtu wakutumia kwa maendeleo ya nchi.Hadi sasa hivi kuna walimu wengi tuu hawawezi fundisha somo kwa ufasaha kwa Kiswahili peke yake.
Kiswahili kinakosa sana uwezo wa kuelezea fikra na vitu vingine visivyoshikika amabvyo ni msingi wa sayansi.