Tanzania na Uganda zapigwa marufuku na Ulaya kuendeleza Miradi ya Mafuta na Gesi

Afrika watakaopata maendeleo ni wachache. Wengi watabaki na umaskini.
Hakuna aliyebisha. Ila je, wakati wao wanjiletea maendeleo hawakujali kuhusu wanyama, ila imefika zamu yetu ndio wanyama wamekuwa muhimu all of a sudden, au sio
 
 
Mzungu sio kwamba anasema ukweli kuhusu mazingira ila mbinu yake anataka iwe chini yake ili atuburuze kama ilivyo kawaida yao kueneza fitna hadi vita
Hali ilivyo duniani kote sasa hivi ni lazima hata wao wawe wameanza kutambua kwamba mbinu zao hazifanyi kazi tena.
Wameanza kuwa watu wa kupuuzwa tu kwenda mbele.

Vimisaada vyao wanavyovitumia kuburuza nchi nyingine mwishowe vitakuwa havina nguvu tena.
 
Hivi tuna timu nzuri ya kuweza kutoa hoja kama hizi mbele ya hao mabeberu?
Hapa nathani tutashindana ni kweli haya ni mawazo yetu ili tuweze kujikwamua kiuchumi sasa wao kama waona kunashida wazieleze. Na sisi tunawasomi tutaziona hizo athari. Kinyume cha hapo tukaze buti tufanyie.
 
Mradi na uendelee... mambo yetu watuachie wenyewe...
 
Waambieni hao kima weupe kwamba Mradi utajengwa Total awepo au asiwepo,Mwenye mali kasema mafuta yata flow come 2025 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220917-173957.png
    107 KB · Views: 1
Angekuwapo Magu lingejengwa kibishi. Haya tusubiri tamko rasmi la serikali wanasemaje ingawa lazima wa lay down na kuufyata kwa kwenda na beat la beberu aka bunge la EU
 
Inabidi ifike mahali tuwe na misimamo yetu kama nchi
Sio kupelekeshwa na mataifa mengine kwenye ishu ya maendeleo,
Nishukuru wenzentu bunge lao na serikali (rais) wao wametoa msimamo wao
Huku kwetu bunge linatakiwa lionyeshe Njia kwa serikali sio tu kusubiri rais anasemaje

Naamini kila mradi unakuwa na bajeti ya kutunza mazingira,
Binadamu ndo mmiliki wa mazingira na sio mtumwa wa mazingira,anaweza kuamua uyaweke vipi kwa fAida zaidi
Unaweza utoe msitu eneo A upeleke eneo b
 
Kwa nini hawakusema hayo wakati wa JPM?
Tayari wameshaona tuliobaki ni mapoyoyo tu hata wakitutisha kidogo tu,tutasalimu amri.
RIP, JPM BABA YETU MPENDWA NA MZALENDO WA KWELI.
 
Wamechanganyikiwa majuzi mipanho yao yote pamoja na dalali wao kwenda kuweka mambo sawa bado wakapigwa na kitu kizito...Mungu anatupenda sana, safari ndiyo hiyooo kuelekea canaan...Hureee!

Ukiona wanagugumia maumivu yamewapata sehemu nyeti...
 
Mbona unatutia uwoga?
Wenzio hatuogopi wala hatupo tayari kuogopa tulishatoka huko zamaniiii...RIEP JPM, wazalendo bado tutaendeleza mpambano mpaka iwe njema!
 
Isifike mahali tukaona tunaweza kukabiliana na mabeberu bado tupo nyuma Sana kupata maendeleo ya nchi inategemea zaidi juhudi za mwananchi mmoja mmoja
Usitutishe...We are determined, na haturudi nyuma, mtarudi wenyewe...Sisi hao, ndiyo mtajua hamjui!
 
M7 anajua anachokifanya japo anapunguziwa nguvu ila mungu mkubwa amepata mkono wa ziada...
 
Ukishaanza kusikia ooh diplomacy ujue ni ukosefu wa kujiamini na pia maslahi binafsi, period!

Ila safari hii jiwe lililokataliwa na waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni...Ahsante m7 Mungu akupiganie usikengeuke, angalia picha kubwa na siyo hiyo ndogo, aliyeletwa na Mungu japo hana stake atakusaidia, sisi tuliyoachia mbio kabla ya kutwaa taji bado Mungu anatukumbuka...The spirit is more powerful than the physical...Our angel in heaven please pray for us!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…