Tanzania na Uganda zapigwa marufuku na Ulaya kuendeleza Miradi ya Mafuta na Gesi

Hivi ndani ya bunge letu la michongo ni mbunge gani anaweza kujenga hoja juu ya hilo? Pengine kukaa kwao kimya kumeepusha aibu kubwa zaidi maana kama wangeongea hatuna hakika wangeropoka nini
Kabudi Yu wap kwan
 
This is another version of international devolution in natural resources planning, management and utilization. The top-down approach is clinging into power just like Museveni does. We are waiting for the Tanzanian government to kizengalize(copy) from Uganda's statements.
 
Yameona wivu, hayataki tuendelee, yanatake menyewe tu ndo yawe na maendeleo. Sis tubaki kujikomba kwa menyewe. Washindwe na walegee.

Aamina walahi!
Mwenye Enzi Mungu hadhihakiwi wakati wao umekwisha misenge hiyo [emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959]
 
Kama unamaanisha ulicho andika(japo sijawahi kuwa sapota wa magufuli kwa mengi isipokuwa kwa mradi wa umeme) basi tanzania tunayo safari ndefu sana

Huyo alie andika ni tahira, tupa kule maana ni mshenzi wa washenzi walahi [emoji2959]
 
Labda pia sababu nyingine ni serikali zetu kutoheshimu haki za binadamu na katiba, mfano kuwaondoa kinguvu watu kutoka makazi yao na vijiji vyao bila fidia stahiki. Kupiga marufuku siasa za vyama vingi n.k n.k hivyo lolote serikali hizi za Tanzania na Uganda inazoahidi kuheshimu haki n.k ahadi hizo haziaminiki mbele ya wadau wa maendeleo.


Awamu ya 6 ya serikali ya CCM, mmesaini mikataba mingi ya kukubali kufungua milango ya demokrasia, uhuru, haki ya kukusanyika n.k bila kusahau katiba yetu inaruhusu shughulu za kisiasa. Sasa huku kubabaika kunatoka wapi

NGOJA TUKUMBUSHANE
Serikali na vyombo vyake ikiwemo taasisi, idara zake zifahamu kuwa mwaka huu 2022 huko Uswisi (Switzerland) waziri wa Sheria na Katiba Mh. George Simbachawene mbele ya Umoja wa Mataifa katika Kamisheni ya Umoja wa Mataifa Kuhusu Haki za Binadamu kuwa Tanzania iliridhia kuacha kuandamiza na kubinya haki za msingi nyingi ikiwemo hili la wananchi kuwa na haki kujadili, kushauri na kuelekeza nchi yao iende vipi.

23 March 2022
Geneva, Switzerland

Mikataba 252 ambayo Tanzania iliridhia na inayogusa haki zote ikiwemo UWAZI ni kama ifuatayo



Video : Mh. George Simbachawene akihutubia UMoja wa Mataifa kuhusu haki haki na kuuhakikishia ulimwengu kuwa haki zote ktk awamu ya 6 zinazingatiwa


Tanzania yaridhia haki ya wananchi kushirikishwa katika ngazi zote, kujadili mustakhabali wa nchi yao, haki ya jumuika, haki ya kuzungumza, wananchi kuwa na haki ya kuwaambia watawala nini wakifanye, uhuru wa habari, kufunguliwa vya vyombo vya online pia magazeti, imeridhia mikutano ya vyama vya siasa kufanyika, , ....

GEORGE B. SIMBACHAWENE, Minister of Constitutional and Legal Affairs of Tanzania, said Tanzania was a strong proponent of the Universal Periodic Review mechanism which brought together State actors, civil society and development partners. As the Government pursued the goal of realisation of human rights for all Tanzanians, the recommendations were given the highest consideration. All 252 recommendations were disseminated to State and non-State actors, including the National Human Rights Institution as well as civil society, in both mainland Tanzania and Zanzibar. As a result of broad-based consultations, Tanzania had accepted to implement 167 recommendations, which were in compliance with the Constitution of the United Republic of Tanzania and the Constitution of Zanzibar.

The recommendations aligned with policies, laws and programmes which called for the promotion and protection of civil, political, economic, social and cultural rights, emerging human rights issues, anti-corruption efforts, environmental conservation and development priorities of Tanzania. The Government affirmed its commitment to implementing all the accepted recommendations, which had been deemed strategic and effective interventions for the promotion and protection of human rights. 65 recommendations had been noted; those were recommendations that were not in alignment with the Constitutions, policies, laws, traditions, beliefs and culture of Tanzania, or which required further consultations before making a conclusive decision. The Government strived to ensure that all Tanzanians were provided with equal civil, political, economic, social and cultural human rights.

Discussion

Speakers applauded the Government of Tanzania for progress made in strengthening its institutional frameworks for the promotion and protection of rights and fundamental freedoms. Strides had been made in the area of social development, including the introduction of fee-free primary education and remote learning during the COVID-19 pandemic. Speakers further commended Tanzania on the establishment of the National Commission for Human Rights, which was in accordance with the Paris Principles. Speakers noted steps taken to curb child labour, as well as the measures taken by the Government toward ensuring freedom of expression and the right to information, which included entering into dialogue with media practitioners and amending some pieces of legislation. Tanzania’s acceptance of close to 75 percent of the recommendations showed real commitment to further promoting and protect the rights of all persons on its territory. The acceptance of recommendations prioritised expenditures in health including specialised care and services for people living with albinism, as well as scaling up investment in education.

Other speakers took note of the challenges faced by Tanzania in implementing some of its human rights obligations under Article 12(3) of the African Charter which recognized the right to seek and obtain asylum in other countries, as well as the 1951 Convention relating to the Status of Refugees. Speakers regretted that Tanzania did not receive any recommendations on the rights of sex workers, urging the Government to repeal the Penal Code provisions criminalising acts associated with sex work, place a moratorium on the arrest and harassment of sex workers under vagrancy laws, and revise and harmonise national legislation in line with regional and international human rights instruments. Tanzanian authorities continued to weaponise the law to target the opposition and critical voices, using non-bailable offence provisions under the Criminal Procedure Act to detain people for unreasonable periods of time. The State should ensure accountability for election-related human rights violations and guarantee post-election human rights reforms to reverse the Government’s increasing repression and crackdown on civic space.

The Vice-President of the Council informed that out of 252 recommendations received, 167 enjoyed the support of Tanzania, while 65 had been noted. Additional clarification was provided on 20 recommendations, indicating which parts of the recommendations were supported and which parts were noted

Concluding Remarks

GEORGE B. SIMBACHAWENE, Minister of Constitutional and Legal Affairs of Tanzania, said Tanzania continued to accord great significance to the Universal Periodic Review, as it played a key role in the promotion and protection of human rights in the country. Tanzania was committed to implementing the accepted recommendations, as they would have a direct impact on the realisation of human rights and sustainable development of the country. The Universal Periodic Review was a continuous process, and the Government would continue to address the remaining challenges through dialogue, in collaboration with all stakeholders. It would also continue to strengthen its internal mechanisms and promote engagement with all non-State actors and development partners. The Government, under the stewardship of Tanzania’s first female President, would meet the aspirations and objectives of the Universal Periodic Review mechanism during the coming fourth cycle.



Link: Conseil des droits de l’homme : Examen pΓ©riodique

https://www.ungeneva.org β€Ί 2022/03
Human Rights Council Adopts Outcomes of Universal Periodic ...

23 Mar 2022 β€” 23 March 2022 Meeting Summaries. The Human Rights Council in a midday meeting adopted the outcomes of the Universal Periodic ....
 
Tuangalie kwanza msimamo wa Tz na Ug. Ktk vita ya Ukraine na Russia.

Kama haundani na mabeberu basi huo mradi utapitia changamoto nyingi sn mpaka kuisha kwake
 
Ukiukwaji sugu wa haki za binadamu Tanzania na kutokuwa na sera zinazoaminika hata serikali ikitoa ahadi imeifanya nchi yetu kutoaminika kimataifa na hata kwa wananchi wake.

Tanzania kuendelea kuwekwa ktk mzani, kutokana na serikali na mamlaka husika kuendelea kuburuza miguu katika masuala ya msingi ya HAKI:


25 April 2022

TANZANIA KUPIMWA , HIVYO TUME YA UMOJA WA MATAIFA (UN) HAKI ZA BINADAMU YATUA TANZANIA



Kamisheni ya Haki za Binaadamu ya UN yatua nchini; hiki ndio wanachofanya kufuatilia ahadi ilizotoa Tanzania, pia serikali yabanwa na UN kuwa iwe wazi waTanzania wafahamu serikali yao iliridhia nini ktk masuala 252 iliyosaini na kuikubali kwa niaba ya wananchi


Timu ya umoja wa mataifa ainayoshughulikia Haki za Binaadamu na utawala bora imekuja nchini kujadiliana na Tume ya Haki za Binaadamu na utawala bora juu ya masuala mbalimbali yanayohusu haki za binaadamu ikiwemo haki za binaadamu katika wananchi kufahamishwa ni mikataba gani inayohusu haki za binadamu iliyoridhiwa na serikali ya Tanzania iliyoridhia huko Geneva Uswisi Ofisi za Kamishina wa UN wa Haki za Binadamu kama anavyotueleza Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binaadamu na Utawala bora Nchini Tanzania Human Rights Council Adopts Outcomes of Universal Periodic Review of Saint Vincent and the Grenadines, Papua New Guinea, Tajikistan and Tanzania


TOKA MAKTABA :

Mikataba 252 ambayo Tanzania iliridhiani inayogusa haki za binadamu ni kama ifuatayo


23 March 2022
Geneva, Switzerland

The Human Rights Council in a midday meeting adopted the Universal Periodic Review outcomes of Tanzania

Consideration of Outcome of Universal Periodic Review of Tanzania

Presentation by Tanzania


GEORGE B. SIMBACHAWENE, Minister of Constitutional and Legal Affairs of Tanzania, said Tanzania was a strong proponent of the Universal Periodic Review mechanism which brought together State actors, civil society and development partners. As the Government pursued the goal of realisation of human rights for all Tanzanians, the recommendations were given the highest consideration. All 252 recommendations were disseminated to State and non-State actors, including the National Human Rights Institution as well as civil society, in both mainland Tanzania and Zanzibar. As a result of broad-based consultations, Tanzania had accepted to implement 167 recommendations, which were in compliance with the Constitution of the United Republic of Tanzania and the Constitution of Zanzibar.

The recommendations aligned with policies, laws and programmes which called for the promotion and protection of civil, political, economic, social and cultural rights, emerging human rights issues, anti-corruption efforts, environmental conservation and development priorities of Tanzania. The Government affirmed its commitment to implementing all the accepted recommendations, which had been deemed strategic and effective interventions for the promotion and protection of human rights. 65 recommendations had been noted; those were recommendations that were not in alignment with the Constitutions, policies, laws, traditions, beliefs and culture of Tanzania, or which required further consultations before making a conclusive decision. The Government strived to ensure that all Tanzanians were provided with equal civil, political, economic, social and cultural human rights.

Discussion

Speakers applauded the Government of Tanzania for progress made in strengthening its institutional frameworks for the promotion and protection of rights and fundamental freedoms. Strides had been made in the area of social development, including the introduction of fee-free primary education and remote learning during the COVID-19 pandemic. Speakers further commended Tanzania on the establishment of the National Commission for Human Rights, which was in accordance with the Paris Principles. Speakers noted steps taken to curb child labour, as well as the measures taken by the Government toward ensuring freedom of expression and the right to information, which included entering into dialogue with media practitioners and amending some pieces of legislation. Tanzania’s acceptance of close to 75 percent of the recommendations showed real commitment to further promoting and protect the rights of all persons on its territory. The acceptance of recommendations prioritised expenditures in health including specialised care and services for people living with albinism, as well as scaling up investment in education.

Other speakers took note of the challenges faced by Tanzania in implementing some of its human rights obligations under Article 12(3) of the African Charter which recognized the right to seek and obtain asylum in other countries, as well as the 1951 Convention relating to the Status of Refugees. Speakers regretted that Tanzania did not receive any recommendations on the rights of sex workers, urging the Government to repeal the Penal Code provisions criminalising acts associated with sex work, place a moratorium on the arrest and harassment of sex workers under vagrancy laws, and revise and harmonise national legislation in line with regional and international human rights instruments. Tanzanian authorities continued to weaponise the law to target the opposition and critical voices, using non-bailable offence provisions under the Criminal Procedure Act to detain people for unreasonable periods of time. The State should ensure accountability for election-related human rights violations and guarantee post-election human rights reforms to reverse the Government’s increasing repression and crackdown on civic space.

The Vice-President of the Council informed that out of 252 recommendations received, 167 enjoyed the support of Tanzania, while 65 had been noted. Additional clarification was provided on 20 recommendations, indicating which parts of the recommendations were supported and which parts were noted

Concluding Remarks

GEORGE B. SIMBACHAWENE, Minister of Constitutional and Legal Affairs of Tanzania, said Tanzania continued to accord great significance to the Universal Periodic Review, as it played a key role in the promotion and protection of human rights in the country. Tanzania was committed to implementing the accepted recommendations, as they would have a direct impact on the realisation of human rights and sustainable development of the country. The Universal Periodic Review was a continuous process, and the Government would continue to address the remaining challenges through dialogue, in collaboration with all stakeholders. It would also continue to strengthen its internal mechanisms and promote engagement with all non-State actors and development partners. The Government, under the stewardship of Tanzania’s first female President, would meet the aspirations and objectives of the Universal Periodic Review mechanism during the coming fourth cycle.



Link: Conseil des droits de l’homme : Examen pΓ©riodique de Saint-Vincent-et-les-Grenadines, de la Papouasie-Nouvelle-GuinΓ©e, du Tadjikistan et de la Tanzanie | ONU GENEVE
 
Asilimia kubwa ya mradi umebebwa na Uganda kwa hiyo muamzi mkuu ni Uganda but sioni dalili ya chochote kusimama,hizo kampuni za mzungu zinaweza wekewa vikwazo ila tutaendelea na Wachina na pesa za Nchi za Tanzania,Uganda na Sasa DRC πŸ‘‡
Hivi si Makamba alikwenda kwenye mkutano wa mazingira hivi majuzi tu??

Itakua aliongea pumba ndio maana wakaamua wasitishe mradi.
 
Watakachofanya ni kuwapiga mkwara makampuni na mabenki yao na hivyo watajitoa kufadhili na kuendeleza huu mradi. Huu ndiyo wakati sasa Afrika inatakiwa kushirikiana na mataifa mengine yanayoibuka kuwa na nguvu kiuchumi na kiteknolojia kama China, Urusi, Japan, India, Korea kusini na kuachana na utegemezi kwa mabeberu wa magharibi.​
 
Hio diplomasia ilisaidia nini toka kuanza kwa taifa hili. Watu mnahubiri diplomasia ili muendelee kuliibia taifa na kuhujumu watanzania wenzenu kwa amani. Mi naona kuheshimiana ni muhimu kuliko amani ya kijinga
Very good
 
KIMEUMANA
 
EU haina mamlaka ya kupiga marufuku mradi huu. EU wametoa msimamo wao. Kama tunaona mradi una tija kuna nchi nyingine na mashirika ya fedha yanayoweza kutoa fedha za kuukamilisha.

Amandla...
 
Japan na Korea Kusini waondoe hao ni vibaraka na washirika. Japan ni mshirika wa hayo mataifa na Korea Kusini ni kibaraka.

China, Urusi, India, Iran, Cuba na Venezuela ndio wanaoweza kuwa na hakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…