Wapinzani wanokosa adabu wanapotaka kujilinganisha na Rais Magufuli. Huyu JP Magufuli ana uwezo mkubwa sana ujue?Mimi mndali was songwe Sasa wanyia wa huku wanasemaga wewe changamka unafanya Kama mndali au wacha ushamba Kama mndali bwana na chukiaga sana
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
UVCCM upo vizuri...Wapinzani wanokosa adabu wanapotaka kujilinganisha na Rais Magufuli.
Sijui nitumie mbinu gani ili uelewe kuwa JPM ndio Rais ajaye?UVCCM upo vizuri...
Ninafahamu fika.Huyu JP Magufuli ana uwezo mkubwa sana ujue?
Asante.UVCCM upo vizuri...
Kuna jamaa mmoja nilikuwa jirani naye siku ya msiba wa mdogo wake nilisikia anaambiwa akapake miguu mafuta imekauka jamaa alivaa pensi na mtisheti mrefu kama wa lemutuz ambazo ni nguo anazoshinda nazo kila siku ni kweli miguu yake inaonekana haijawahi kupakwa mafuta siku ile aliporushiwa hilo dongo ikabidi nijitenge na kundi nikaenda kuchekea kando
🤣🤣🤣🤣Jamani utani mzuri ila uwe unauweza kuna MKURYA alikuwa anapenda kunitania sana mara wahaya hivi mara vile mara mhaya Toleo la Mwisho wahaya wenzio Maprofessa na mkalia kimya. Cku akaja ooh me mwenzio Sajent wa jeshi alafu mtu mzima kweli nikamwangalia nikatema nikamuuliza sasa na iyo kazi kazi gani hata ukimfundisha MBWA anaweza Ebu nitolee huko kazi kazi kazi ya mbwa tu hiyo unachomzidi ni mshahara 🤣🤣🤣
Nilikula mtama wa Mbasha mdgo nikazimia toka siku hiyo anitanii
Kwa utendaji wa RAIS MAGUFULI Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha apite bila kupingwa , watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Magufuli atashinda kwa kishindo.UVCCM upo vizuri...
Asante Magufuli, Mungu akupe afya daima.Ninafahamu fika.
Rais Magufuli analeta maendeleo kila kona ya Nchi.UVCCM upo vizuri...
kuna watu wachache wanamtukana Rais Magufuli Dawa yao inachemka.Ninafahamu fika.
Membe unagombea Ubunge au Urais wa Jamhuri?Waliogombelezewa na wazee fulani hivi waungwana sana walikuwa ni wachagga kama sikosei kwa maana ilikuwa ni mshike mshike sio wa kitoto
Sijui mkuuMembe unagombea Ubunge au Urais wa Jamhuri?
Kumtukana mkuu wa nchi ni dhambi kubwa sana.kuna watu wachache wanamtukana Rais Magufuli Dawa yao inachemka.
Magufuli anatutea Waafrica.Kumtukana mkuu wa nchi ni dhambi kubwa sana.
Hakuna....Hivi kuna kabila lenye Watani wengi tofauti na Wasukuma?
MheheKwa mimi msukuma ni makabila yapi hapa tanzania na nje ya nchi ya tanzania ni watani zangu?
Nimeuliza tu wakuu
That's why Presdent Magufuli was declared hero of the world.Sijui mkuu