Tanzania na Utani wa Makabila: Ulishawahi kutaniwa vibaya na mtu wa kabila tofauti ukaumia nafsi yako?


Hahahaaaaaaa eti mtisheti kama lemutuz
 
🤣🤣🤣🤣
 
Mimi ni msukuma, mwaka 2003 kuna mshenzi mmoja wa kizigua aliniambiaga "we ms*nge hadi umri huo bado uko kwenu, wiki ijayo naleta mahari kwa baba yako nikuoe" ule utani uliniuma sana maana aliongea mbele za watu na wakashangilia sana, nikasema sawa huyu mjinga mi sintomtania......... Wiki mbili baadae nikamtafuna mke wake
 
Hivi kuna kabila lenye Watani wengi tofauti na Wasukuma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…