Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Kwa mtindo huu kesho utalaamu kuwa mpira wetu hausongi mbele;
Vijana wakiwa uwanjani ni wawakilishi wa taifa letu,
wanatuwakilisha watanzania wote;
wanahitaji sapoti, wanahitaji kushangiliwa;
Hata nchi za wenzetu wana tv tena screen kubwa sana
ila uwanjani pia hawakosi kwa ajili ya kuwatia vijana moyo.
Vijana wakiwa uwanjani ni wawakilishi wa taifa letu,
wanatuwakilisha watanzania wote;
wanahitaji sapoti, wanahitaji kushangiliwa;
Hata nchi za wenzetu wana tv tena screen kubwa sana
ila uwanjani pia hawakosi kwa ajili ya kuwatia vijana moyo.
Azam si wataonyeshaaa