Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Fundi mchundo,
Vitambulisho vya uraia huwa ni daima tofauti na Passport, kitambulisho chga kazi ama driver's licence ambavyo unahitaji ku renew baada ya muda fulani.
Kutokana na maelezo yako yaliyotangulia inaonyesha wazi hufahamu kabisa matumizi ya vitambulisho hivi tunavyoongelea hapa.
Namba unayoipata ni namba yako wewe hadi kufa haiwezi kupewa mtu mwingine yeyote!
[/QUOTE]
Ndiyo maana napapenda hapa mahali. Watu hawachelewi kukuweka sawa. Haya basi!
Namba unayozungumzia ni tofauti na kitambulisho. Social security number ninavyoelewa mimi haina uhusiano na uraia bali ukazi (residency). Pamoja na kuwa namba hii ni ya kudumu lakini kitambulisho (lile gamba unalopewa) linabidi liwe renewed, hii ni kwa sababu wanahitaji kuupdate record zao (sura zinabadilika n.k.), uchakavu n.k. Sijui Marekani wanafanyaje lakini najua nchi nyingi za ulaya identity card inakuwa renewed baada ya kipindi fulani.
Au, Mkuu, unataka kuniambia kuwa ukizaliwa na kupewa kitambulisho, utadunda nacho hadi utakapoingia kaburini? Au hicho kitambulisho si kwa watoto?
Sasa kwa wewe unayeelewa vizuri, basi naomba unifahamishe, hiki kitambulisho ni cha aina gani?
Vitambulisho vya uraia huwa ni daima tofauti na Passport, kitambulisho chga kazi ama driver's licence ambavyo unahitaji ku renew baada ya muda fulani.
Kutokana na maelezo yako yaliyotangulia inaonyesha wazi hufahamu kabisa matumizi ya vitambulisho hivi tunavyoongelea hapa.
Namba unayoipata ni namba yako wewe hadi kufa haiwezi kupewa mtu mwingine yeyote!
[/QUOTE]
Ndiyo maana napapenda hapa mahali. Watu hawachelewi kukuweka sawa. Haya basi!
Namba unayozungumzia ni tofauti na kitambulisho. Social security number ninavyoelewa mimi haina uhusiano na uraia bali ukazi (residency). Pamoja na kuwa namba hii ni ya kudumu lakini kitambulisho (lile gamba unalopewa) linabidi liwe renewed, hii ni kwa sababu wanahitaji kuupdate record zao (sura zinabadilika n.k.), uchakavu n.k. Sijui Marekani wanafanyaje lakini najua nchi nyingi za ulaya identity card inakuwa renewed baada ya kipindi fulani.
Au, Mkuu, unataka kuniambia kuwa ukizaliwa na kupewa kitambulisho, utadunda nacho hadi utakapoingia kaburini? Au hicho kitambulisho si kwa watoto?
Sasa kwa wewe unayeelewa vizuri, basi naomba unifahamishe, hiki kitambulisho ni cha aina gani?