Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Ok.. basi inawezekana bunge halitavunjwa kama wana mpango wa Ijumaa lakini duniani vyote vinawezekana. Kwa sababu itakuwa muhiimu kwake kuunda timu mpya kabisa kuanzia Bungeni na hivyo kuhakikisha anajipatia kundi jipya la kumsaidia ushindi 2010.

Kikwete akivunja Bunge sasa na baada yake mchakato mpya kuanza kutafuta wagombea ukaanza na yeye akagoma kuwaunga mkono wagombea kama kina Lowassa, Rostam n.k au kinyume chake kina Selelii, Mwakyembe na Kilango etc basi anaweza kujijengea heshima kubwa.

Catch 22 ya hapa ni kuwa akivunja Bunge na yeye anapoteza Urais!!

I wish angepoteza Uraisi maana I would call it a milestone.Raisi Mkalia farasi watatu yaani Marafiki,Wawekezaji na Wananchi huku wanachi wakiwa wanaguswa na tai yake tuu huku wawekezaji na marafiki zake wakiponda na kula raha!
 
Hakutakuwa na jipya katika hotuba hiyo. JK ni fisadi maana ameingia madrakani kwa kufanya ufisadi kupitia kwa akina fisadi Rostam Aziz, Fisadi Manji, Fisadi Subash na mafisadi wengine kibao chini ya uongozi wa mtandao wao ukiongozwa na Membe na wengineo.

Anajua fika akipambana na mafisadi basi na wao watamtosa kwa kuanika uozo uliofanyika ili kuibuka kidedea katika kinyang'anyiro cha mgombea wa chama cha mafisadi. Anajua fika kama bila kufanya ufisadi leo hii asingekuwepo Ikulu.

Kwa hiyo waungwana kwa mara nyingine tena msishangae kama fisadi JK atashindwa kukonga kiu yenu ya kupambana na ufisadi, miradi bomu ya madini na uozo mwingine chungu nzima.
 
kesho kisura,hatajaribu kujibu mashambulizi dhidi ya serikali yake kwa wale wote wanaoipaka matope juu ya ufisadi,na hivyo kuhitimisha mjadala yote ambayo iliundiwa tume.Hapo ndipo utakuwa mwisho wa mjadala ndani ya bunge na nje ya bunge.

Mwisho atawaomba watanzania wajishughulishe na mambo yanayo waletea maendeleo na kuachana na malumbano ambayo yanawapotezea muda.pia atalishukuru bunge kwa kuwa msitari wa mbele ktk kuikosoa serikali.
Wabunge watashangilia sana kisha baada ya hotuba kwisha watatoka wakisemezana pembeni.

Kisha CCM wataanda maandamano nchi nzima kuhunga mkono hotuba ya raisi.2008 ndio itakuwa imekwisha na watu wataanza kujiandaa na uchaguzi.
 
Hakutakuwa na jipya katika hotuba hiyo. JK ni fisadi maana ameingia madrakani kwa kufanya ufisadi kupitia kwa akina fisadi Rostam Aziz, Fisadi Manji, Fisadi Subash na mafisadi wengine kibao chini ya uongozi wa mtandao wao ukiongozwa na Membe na wengineo. Anajua fika akipambana na mafisadi basi na wao watamtosa kwa kuanika uozo uliofanyika ili kuibuka kidedea katika kinyang'anyiro cha mgombea wa chama cha mafisadi. Anajua fika kama bila kufanya ufisadi leo hii asingekuwepo Ikulu. Kwa hiyo waungwana kwa mara nyingine tena msishangae kama fisadi JK atashindwa kukonga kiu yenu ya kupambana na ufisadi, miradi bomu ya madini na uozo mwingine chungu nzima.
Wapenda nchi, lets give him benefit of doubt. Lakini kwa kweli uvumilivu una mwisho. Iwapo hakuna jambo 'tangible' hotuba tupu ni lazima ikemewe na wote wapenda nchi hii kwa ukali wote unaostahili.

Ni vema wapambe wake kama wako humu, wamfikishie ujumbe huu mapema, bado ana masaa ya kufanyia hotuba yake modification, japo sina hakika kama anao tena masaa ya kuchukua hatua. Tired of empty words! Taarifa zote tulizonazo zinatosheleza kwa hatua hivyo, hakuna sababu ya kisingizio chochote kwa sababu yeyote ile. EPA, Twin Tower, Ufisadi ndani ya Debt Conversion Scheme ( na hapa siongelei madeni), ufisadi ndani ya CIS (Commodity Import Support), maswala yote ya TANGOLD, MWananchi Gold Company, Meremeta, Deep Green Finance Company Ltd na mengine mengi.

Hatuwezi kuendelea kuwa na Serikali isiyo na meno, hata kama inauma, ukweli lazima usemwe, na uchukuliwe hatua. Dhamira njema itajulikana tu kwa hatua dhabiti. Nchi Sovereign, haiwezi kuachia Investigations zake kufanywa na SFO (ambao wanafanya upelelezi kwa mujibu wa Sheria za Uingereza)

This is mockery of democracy. Kama nilivyosema, ninampa Mhe. Rais Benefit of Doubt, lakini Expectations are very high, and ought to be met! It is the minimum I and all those who wish this country well expect.
 
Halisi,

Napinga usemi kuwa apeleke taarifa au document wapi.

Napenda aziweke mwenyewe, ila nadhani anatakiwa abadili staili ya kuandika maana ni rahisi kujua kuwa ni INSIDER kwenye PCCB.

Naomba nitumie PM bila kutaja jina lako nikuelezee mapungufu machache uliyonayo unapoleta taarifa. (sio wewe Halisi)
 
Dr. Slaa vyovyote vitakavyokuwa kesho ni muhimu wabunge mdai hiyo ripoti ambayo yeye hakuiagiza iwekwe hadharani ili hatua zitakazochukuliwa zionekane kuwa zimeendana na ripoti hiyo.

Hilo moja, la pili naamini wabunge mna haki ya kuwaita kina Mwanyika, IGP na Hosea (wawe na nyadhifa zao au la) kuwahoji kuhusu ripoti hiyo na kwanini hawakuchukua hatua. Naamini hii inaangukia katika nyinyi kuisimamia serikali.
 
Wapenda nchi, lets give him benefit of doubt. Lakini kwa kweli uvumilivu una mwisho. Iwapo hakuna jambo 'tangible' hotuba tupu ni lazima ikemewe na wote wapenda nchi hii kwa ukali wote unaostahili. Ni vema wapambe wake kama wako humu, wamfikishie ujumbe huu mapema, bado ana masaa ya kufanyia hotuba yake modification, japo sina hakika kama anao tena masaa ya kuchukua hatua. Tired of empty words! Taarifa zote tulizonazo zinatosheleza kwa hatua hivyo, hakuna sababu ya kisingizio chochote kwa sababu yeyote ile. EPA, Twin Tower, Ufisadi ndani ya Debt Conversion Scheme ( na hapa siongelei madeni), ufisadi ndani ya CIS (Commodity Import Support), maswala yote ya TANGOLD, MWananchi Gold Company, Meremeta, Deep Green Finance Company Ltd na mengine mengi. Hatuwezi kuendelea kuwa na Serikali isiyo na meno, hata kama inauma, ukweli lazima usemwe, na uchukuliwe hatua. Dhamira njema itajulikana tu kwa hatua dhabiti. Nchi Sovereign, haiwezi kuachia Investigations zake kufanywa na SFO (ambao wanafanya upelelezi kwa mujibu wa Sheria za Uingereza)! This is mockery of democracy. Kama nilivyosema, ninampa Mhe. Rais Benefit of Doubt, lakini Expectations are very high, and ought to be met! It is the minimum I and all those who wish this country well expect.


Dr Slaa,

Heshima Mbunge!. Mimi nina mtazamo kama wako, ninachopenda kuwaeleza wananchi wenzangu kuwa KAMA ILIWEZEKANA KWA mbunge EL kwanini ishindikane kwa hao vidagaa tu?

Jk anaweza kufanya kweli; hilo sina shaka.

Nina shaka tu kuwa : Je anaweza kugusa maslahi ya RA?, hapo sina uhakika ila nampa benefit of doubt.
 
Dr. Slaa mood ikoje hapo?
MKJJ
Thanks. Wabunge wengi wanasubiri with mixed feelings. Hakuna anayejua nini atazungumzia

a) Wako wanaogopa mabadiliko makubwa yatatangazwa, na kama ilivyo desturi unajua expectations ziko highly mixed katika hili.

b) Wako tunaoweza kuwaita "pessimists" hawategemei jipya, kama ilivyo kwa wengi wa JF na hivyo wako tayari kwa lolote alimradi hawategemei jipya.

c) Wako wanaodhani atakuja kutoa ahadi za kuundwa kwa vyombo zaidi vya uchunguzi kwa maelezo kuwa hii ni nchi ya utawala wa Sheria na hivyo, haiwezi kukurupuka kuchukua hatua kwa mambo makubwa kama haya na after all 'kiasi fulani cha fedha atakazotangaza zimerejeshwa without any shade of evidence.

All in all wako wanaoona ni sehemu ya Public Relations hasa kwa International Community. As I said, I am giving him a benefit of doubt, na baada ya hapo tutatoa msimamo haujawahi kutolewa either binafsi au kama Kambi ya Upinzani Bungeni.
 
kesho kisura,hatajaribu kujibu mashambulizi dhidi ya serikali yake kwa wale wote wanaoipaka matope juu ya ufisadi,na hivyo kuhitimisha mjadala yote ambayo iliundiwa tume.Hapo ndipo utakuwa mwisho wa mjadala ndani ya bunge na nje ya bunge.

Mwisho atawaomba watanzania wajishughulishe na mambo yanayo waletea maendeleo na kuachana na malumbano ambayo yanawapotezea muda.pia atalishukuru bunge kwa kuwa msitari wa mbele ktk kuikosoa serikali.
Wabunge watashangilia sana kisha baada ya hotuba kwisha watatoka wakisemezana pembeni.
Kisha CCM wataanda maandamano nchi nzima kuhunga mkono hotuba ya raisi.2008 ndio itakuwa imekwisha na watu wataanza kujiandaa na uchaguzi.

KT, I like your line of thought...!
 
kama nikweli nakwambia hawa watu leo hawatalala watakesha kubadili hotuba iliovuja, mimi binafsi siamini kama kunajupya yote kashayasema KATIBUTARAFA hapo nyuma... na huu ndio utakuwa mwanzo na mwasho wa JK
na ndio utakuwa ni mwanzo mkuu wenye kishindo wa mjadala wa ufisadi nchini mpaka kitakapoeleweka

pole sana JK umeshachelewa sana tuu............
 
Mambo Jambo huyu jamaa amejivua nguo kuwa ni mtu wa ndani ya TAKUKURU tena ngazi ya Ukurugenzi, kwa kuwa amehusika katika kupitisha takwimu zilizotakiwa na IKULU katika draft speech yao, ambayo si lazima wazitumie katika kuandika speech. Angekuwa makini kidogo angefanya uchambuzi hata wa EPA ili angalao kuonyesha kwamba hatoko TAKUKURU.

Mhusika huyu mwenzetu hapa JF, amekuwa na mchango mzuri sana katika kutoa taarifa za kusaidia mapambano dhidi ya ufisadi ikiwa ni pamoja na ile taarifa ya ununuzi wa nyumba ya Mkurugenzi Mkuu wake, Edward Hosea, lakini pia alichemsha kwa kushindwa kuficha nyayo zake hadi akajulikana.

Awe anawasiliana na watu kama kina invisible ama mwanakijiji kabla ya kupost ili wamsaidie kuweka bila kuacha nyayo.

Kwa taarifa ni kwamba KESHO KUNA KISHINDO

Mkuu Halisi,

Hata mimi naona hii ni vita ya TAKUKURU. Ila tu vita ya panzi, furaha ya Kunguru. Waendelee kuanikana, kama itatusaidia kuwajua wabaya zetu, itakuwa nzuri zaidi.

Wacha tumpe nafasi JK kabla ya kumhukumu, siku ni kesho tu kwahiyo tunaweza kuvuta subira. Ila mimi simwamini tena JK na sitegemei makubwa zaidi ya vicheko vya wabunge.

Asante kwa mtakaorusha hiyo hotuba live.
 
Dr. Slaa vyovyote vitakavyokuwa kesho ni muhimu wabunge mdai hiyo ripoti ambayo yeye hakuiagiza iwekwe hadharani ili hatua zitakazochukuliwa zionekane kuwa zimeendana na ripoti hiyo. Hilo moja, la pili naamini wabunge mna haki ya kuwaita kina Mwanyika, IGP na Hosea (wawe na nyadhifa zao au la) kuwahoji kuhusu ripoti hiyo na kwanini hawakuchukua hatua. Naamini hii inaangukia katika nyinyi kuisimamia serikali.

MKJJ,

Nashukuru kwa maoni mazuri.

1) Kesho JK anahutubia tu as a matter of formality. Hakuna maswali wala hakuna kumwuliza maswali. Utmost, tunachoweza kwa mujibu wa Kanuni ni kuomba kujadiliwa kwa Hotuba hiyo ya Rais, lakini si kuomba Repoti yeyote kama ya EPA etc.
2) IGP, TAKUKURU na Mwanyika wanaweza kuitwa iwapo Taarifa yao itawasilishwa Bungeni, na Kamati inayochambua Taarifa yao inayo mamlaka ya kuwaita, lakini si vinginevyo. Wanaweza kuitwa katika capacity zao lakini si kama Kamati ya Rais....The only opening ni pale Taarifa yao itakapokuwa "Tabled", na wakubwa hawa mara nyingi wametumia kisingizio kuwa aliyeunda Kamati ni Rais na hivyo Taarifa hiyo ni ya Rais siyo ya Bunge.

Haya ndiyo mambo tunayotakiwa kuyakataa, hakuna kazi yeyote ya umma inayotumia kodi ya Wananchi kimsingi ambayo haiwezi kuhojiwa na Bunge, if not in public (if any security matters involved) na Kamati husika ya Bunge. Hii ndiyo aina ya Demokrasia tunayopigia kelele. Tuungeni mkono ili kupata Transparency na accountability zaidi katika haya mambo ya umma. Usiri mkubwa ulioko umekuwa Cancer ambayo inaendelea kuitafuna Taifa letu.

In short, kesho tusitegemee maswali, unless kuwe na provision ya kikao cha ndani kama alivyofanya mara ya mwisho au kukutana na Wabunge wote faragha, au katika Makambi ya vyama. At worst, kama nafasi hizi zitapatikana tutazitumia vizuri kuweka demands Taarifa hizo ziwekwe Hadharani kwa Watanzania wote kuzichambua na kutoa ushauri wao.
 
Kikwete atakua amejokoroga sana kama ataenda kusimama pale bungeni kuhutubia wabunge kuhusu TAKUKURU, taasisi iliyo chini ya ofisi yake...!

Inamaanisha anampiga majungu mtu aliyemteua yeye mwenyewe? au anajaribu kuficha uozo wake kwa kutumia mtu mwingine (HOSEA)? Yeye akiwa kama Raisi na kwa vile ameshaona mapugufu kama hayo, hahitaji kutuhutubia tena kwa kutueleza kwa kirefu hayo yote, yeye angestahili kufanya mabadiliko ndani ya TAKUKURU basi.

Mbona anapofanya mabadiliko ya baraza la mawaziri hatuambiwi sababu za undani, leo hii tunakuja kupewa historia kuhusu TAKUKURU?

Pili, taasisi au secta zilizojaa ufisadi ni nyingi huku Tanzania, sasa je atatumia masaa managapi kuchambua taasisi au secta zote? BOT, Mamlaka ya Bandari, Mawizara (18), TICS, KIWIRA, MADINI, RICHMOND e.t.c?

Kama hotuba yake inalenga kutuhutubia hayo basi mi naona Kikweta nazidi kupoteza msimamo, and as u know, Mfamaji haachi kutapa tapa.
 
Back
Top Bottom