Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)




fyi muhstari
 
ayaaaaaaaaaaaaaaa mtuhumiwa wa kesi ya rushwa ya rada katoroka duh!!
 
Kichwa changu kinauma.............
 
Mheshimiwa Rais yupo anahutubia BUNGE huko Dodoma hadi sasa ameongelea mambo yafuatayo (BADO EPA)
- Vyombo vya ulinzi na Usalama : kazi wamefanya nzuri SAAANA
- Zanzibar ni Nchi au si Nchi: Hapa amesema huu mjadala is "very unfortunate" ila akasisitiza kuwa ni swala la MTIZAMO TU
- Mpasuko wa Zanzibar : Mambo mengi yameshatafutiwa ufumbuzi na bado kazi inaendelea
- BUNGE : Anawashukuru sana na amewaongezea budget
- Mahakama : Anaishukuru sana na budget imeongezwa
- TAKUKURU : Sheria mpya imepitishwa kuchukua ile ya mwaka 1971 ikiwa imesheena makosa 24 uklinganisha na 4 ya 1971, pili, ni kuimarisha chombo chenyewe (capacity building), na yote kwa yote mafanikio yameanza kuonekana, anaenedelea kutoa takwimu sasa na hizo ni kedekede (sitaziandika hapa). Sheria ya manunuzi ya UMMA ndio mwanya mkubwa na serikali inaendelea kulitizama hilo. Rushwa kubwa pana kesi mbili, ikiwamo ya RADA na zingine sita zipo kwenye "pipeline". Watanzania TUWE na SUBIRA. Hapa anazidi kusisitiza kuwa kesi za rushwa zinahitaji uchunguzi
 
Huu ukweli Mtupu!!!!rais kazungumza na rais katuumba tuwe na subira..Kuna wakati niliwaambia kuhusu Dr. Hoseah na JK,uswahiba wao uametoka wapi hauwezi kuwatenganisha.

Nchi hii nadhani Rais anadangwanywa na watendaji wao
 
sasa jipya liko wapi? keshawatetea wooooooooooote, mh this guy is crap
 
hapa naona yaliyo anzisha hii thread ni ya kweli kabisa. kila kitu hivyo hivyo
 
wapiga makofi wamepungua sijui wamechoka au wamegeukwa saizi kimyaa!!!!!! haya sasa kesi ya rada..
 
jamani jamani sijui niache kusikiliza. hamna kitu..
anaanza kutetea sababu za kushindwa kuchukua hatua za wala rushwa wakubwa, eti ni ngumu kuchukua hatua kwa kuwa uchunguzi ni mgumu
 

Aisee kuhusu Takukuru JK kazungumza kama ulivyoandika hapo juuu!!

Duh JK ana kazi kubwa sana na mi data anazoletewa!, hivi hana watu wanahakiki data au report anazoletewa????
 
Anaongelea Rushwa!

umuhimu wa wananchi kushirikiana na vyombo vya dora, na anawashukuru waandishi wa habari na wabunge kwa kazi wanayofanya kwa rushwa

serikali imejenga uwezo kwa TAKUKURU kwa kuandaa sheria mpya ya TAKUKURU.

Kuimarisha TAKUKURU kwa kuwangozea pesa za kufungua ofisi kila wilaya na kuajiri watumishi wapya.

Taharifa za uchunguzi zimeongezeka na anataja data ambazo tayari tunazo hapa sitaziandika.

Focus ya TAKUKURU ni kwenye sheria ya manunuzi ya umma, na mikataba mikubwa.

Blah blah kama zilivyokwisha semwa kwenye thread yetu tangia juzi na kuwaomba watanzania wavumilie na kusubiri TAKUKURU wafanye kazi.

Ni kazi kupata taharifa za pesa zilizowekwa nje ya nchi
 
Usanii umezidi sana nchi hii,mie nadhani kila mtu mwenye kufanya ufisadi aendelee tu sababu viongozi hawana uchungu na nchi hii.
 
ni yupi huyo jamani???

vithlani, yule ambaye serikali inasema anayetafutwa na interpol lakini hayumo kwenye website ya wanted list ya interpol....cha msingi "tuonekana tunafanya kazi...!!!" hii kweli ni kauli makini kwa kiongozi wa nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…