"usipokuwa tayari kuliwa kidogo huwezi kula...huwezi kutaka kula tu bila kuliwa...sina maana hiyo"....kweli raisi tunaye watanzania.
Rais wa Jamhuri anasema maneno ya kuliwa na kuliwa uliwe, kweli Mungu aibariki hii Jamhuri,
Mwalimu pole sana huko kaburini, maana this is beyond imagination!