Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Kitu kipya katika hotuba hii ni msamiati wa neno "SHARBATI" lenye maana ya "Juice." Asante Muungwana kwa kutusaidia kupoteza muda ingawa kwa walio ughaibuni Marekani huko umewafanya wakeshe bila kulala. Kudadadeki!
 
I miss mwalimu JKN, hotuba zake zilikuwa zikinisisimua,yani mtu unahisi ni kesho tu maendeleo, huyu kuhusu richmond anasema tutunge tena sheria hili hali kama hiliyotokea isitokee tena kamaliza na sasa anajisifia ni wapi umeme utakapokuweko yani jamani inatosha. halafu anasema inshaallah,nakutukana kimoyo moyo.
 
richmond analo la kuongea wakati yeye ana mkono??? Wote wamemshika sehemu mbaya hivyo anagugumia tu!!!

Ila hiyo migomo nami naunga mkono wa asilimia 300

mgomo mpaka mwezi wa 10 , hao walimu hawana kiburi cha kufanya mgomo kwa sasa
 
Samahani, naomba kuuliza mantiki ya hotuba hii.
ni mafanikio yake?
ni maelekezo?
ni kutoa conclussion na solutions za matatizo yetu?


manake anamalizia sasa na miundombinu
 
Awamu ya nne imejenga barabara ngapi? (JF) Inaelekea mkuu anatujibu JF kuhusu barabara.
 
mafanikio na matatizo...na taarifa nyinginezo!!!!
 
Sijui kwanini hiyo ripoti asingewapa mawaziri wake waisome bungeni? kila mtu asome inayoruhusu wizara yake.

Ila wabunge wanafurahia jamani.........ndivyo inavyoelekea kwa vicheko.

Hatuna bunge kwakweli!
 
Lubeleje ni mbunge wa jimbo gani? Wasanii wawili inaelekea walikutana.
 
Jamani fanyeni hima kuikomboa nchi hawa jamaa maneno ya bure tu,vacuum ya uongozi ,hatuna uongozi pale jamaa wanacheka tu,mweshimiwa lubereje alidai barara kiaina
 
hivi jamani mpaka muda huu wa hotuba ilipofika kulikuwa nahaja ya kuiongelea bungeni??? anajua umuhimu wa bunge huyu?? mambo mangapi ya maendeleo yamesimama kujadiliwa???
 
mafanikio na matatizo...na taarifa nyinginezo!!!!

labda anataka turelax kwani nchi ilikuwa tense sana na matatizo yaliyomo, anatukumbusha mazuri anayoyaona yeye (sisi tumezibwa macho na mabaya ya mafisadi)
 
hivi jamani mpaka muda huu wa hotuba ilipofika kulikuwa nahaja ya kuiongelea bungeni??? anajua umuhimu wa bunge huyu?? mambo mangapi ya maendeleo yamesimama kujadiliwa???

Do you think he cares?Ilikuwa ndio njia yake ya ku create tension na kuwapumzikia watu!
 
Good point: Kutumia nafasi ya kukopesheka kwenye kujenga miundo mbinu ya barabara. Wazo zuri sana, muhimu hiyo mikopo tuitumie vizuri. Hapo JK chukua tano.
 
huyu rais anaongelea ujenzi wa barabara kama vile mtu anazungumzia kuanzisha biasha ya kuuza karanga...huu kweli usanii.
 
Talking about 2010,kuhusu kutesa,watanzania wanaaminiwa na bush mla unga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…