Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Polisi wanakula credit hao,........mwema bichwa, as usual jk anaanza kujisifia milistone za kukomesha ujambazi, mkuu wa majeshi naye anapewa zake
 
Kaanza story, shukrani nyingi hapa sitegemei kitu,
 
Huyu ni kiongozi wa nchi kweli? Nchi yenye wananchi milioni karibu 40?
 
duh..hakuna mtu alieuwawa, mtu aliyejeruhiwa wala mali iliyoibiwa kweli hiyo ilikuwa VITA au pickic.
 
Jk anajisifia sana kwa kumtimua rais wa comoro, full sifa, yaaaaaaaaani mh jamaa anapenda sifa
 
Tayari ametudanya eti hakuna aliye jeruhiwa aliye uawa huko ANJUAN mmhhh kazi ipo unganisheni dot...jamani eti hakuna maafa duh kazi ipo..
 
Huyu ni kiongozi wa nchi kweli? Nchi yenye wananchi milioni karibu 40?

yuko page ya kumi..kushukuru tu..yaani amekuja kusifia watu tu..


lets wait and see ila nadhani biznes as usual
 
Nani amemwambia ni story telling time wakati sis tuko serious hapa habari ya majeshi kuingia saa kumi asubuhi nanai anataka kusikiliza na nishani juu tena mbili mbili
 
Jamaa anakushuru in advance ili akili resign awe ameshamaliza kabisa ili shein anaye take over achukue usukani
 
Polisi na Jeshi sifa. Ukombozi wa Anjwani .Anatayarisha nishani kwa walioshiriki
 
Nadhani tutaanza kusikia muziki halisi soon. Manaake hata azuge vipi, at the end of the day, he will have to say something
 
naona kaona hakuna aliyepata medali Beijing anataka kutupa moyo kwa medali Bongo
 
Back
Top Bottom