Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

simwelewi Mheshimiwa anaongelea nini kuhusu rushwa? Najisikia mwili wote wauma sana!!!!!!!!!!!!!!!

It totally a "lunch time forum"
 
Kuhusu rushwa nadhan hajacheza mbali na hoja iliyoletwa hapa na mchangiaji/mtoa hoja wa kwanza.the guy waz right
 
Tulikuwa tunasubiri kwa hamu hiyo hotuba lakini hadi hapo alipofikia sijaona kitu chochote cha msingi kilichozungumzwa na rais wetu.
 
Habari ya rushwa na epa kwisha habari yake, sioni atarudi vipi kuliongelea hili tena
 
yaani, hakuna cha EPA wala cha Rchmund. kwisha kazi
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 259 (78 members and 181 guests)
fidel80, 7ceven, Augustoons, BabaH, Baba_Enock, badonipo, Balantanda, Bazobonankira, bill, bj, Bubu Msemaovyo, chakaza, Democrasia, FairPlayer, Fundi Mchundo, gamaha, haika, Haki.tupu, hofstede, hoops, Icadon, jacobae, jamco_za, KADUGUDA, Kamende, kijunjwe, kilongwe, Kinyamana, korosho, Lady Capricorn, Lasthope, Liganga, lizzard, Lusajo, Lyampinga, mamaparoko, maskini mimi, Mfamaji, mfwatiliaji, middle, MiratKad, Mkaguzi, Mnyoofu, mpiganajinambamoja, Mtanzania, MTM, muadilifu, mujuni2, mukubwa, Mulugwanza, mwakyj, Mzee Mwanakijiji, mzeeba, nat867, Ndugu, ngonalugali, ngorunde, nono, norbit, Nsololi, nziku, positive Thinker, power to the people, remyshas, saida, Scorpion, Sekenke, single D, SKILLS4EVER, Tshala, Tuandamane, tzengo, UFUNUO WA YOHANA, Verily Verily, WildCard, Yebo Yebo, Zanaki, Zion Train

naona members tunafuatilia kwa makini sana hapa.
 
Mie naona acha niendelee na shughuli zangu,hapa hakuna kitu. Namsikia anazungumzia atakavyoweka sheria 2010 za maadili ya viongozi. Du! hata michezo ya Jangala inapendeza kuangalia kuliko mchezo huu.
 
kwa mara ya kwanza nilikuwa na hamu ya kumsikiliza JK,ila sijaona jipya jamani
 
kaanza kuvishambulia vyombo vya habari eti kuna uchonganishi... mhhhhh
 
mmh anaingilia uhuru wa watu sasa....anatisha wanahabari
 
Back
Top Bottom