Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

I can't believe this guys
This is unbelievable and its not easy to accept that this is the formal talk from the president jamani

I think this is another way of addressing the public on his monthly speech schedule, I see no difference..... So this is the speech for August i guess so
 
Unaona anvyojicontradiction..waliacha kukopa sasbbu walikuwa hawakopesheki..yaani

kila nikimuuliza mwananchi walio wengi kwa nini walimpigia kura huyu rais wetu wanasema smile yake iliwaponza ndo maana wakampa kura zao wakijua anavyo smile na utendaji wake utakuwa mzuri lakini saizi wengi wanajuta wale wale wanashindwa tena kutoa sababu.Kazi tunayo........
 
hii hotuba ameandika mwenyewe au kuna secretary kamwandikia???naombeni jibu ili niondoke mapema hakuna point hapa..
Huwa anaandikiwa na timu ambayo huwa inawahusisha kina januari makamba.

sasa kama baba yake ana akili aliyonayo unategemea mtoto atakuwa na uwezo wa kuandika vitu vya maana.Biologically

Mie nadhani ni bora na hotuba za mzee mkapa zilikuwa na tija flani..

wazee,

Mie naandoka nikaendelea na shughuli za kukusanya pesa tu manaake am pissed off
 
Bora nipate updates kupitia hapa..kuliko kuendelea kumsikiliza huyu Jim Carey...maana anaweza akaharibu siku yako nzuri ivi ivi
 
huyu anajua Balali alipoweka mbesa zetu aisee! Kweli babangu! Mbona anawacover hawa mafisadi?
 
Wala hakukuwa na sababu ya kuomba muda bungeni, hotuba hii angeitoa hata kwa Wazee wa Dar es Salaam. It is too low
 
mbona makofi ya wabunge yamekoma ghafla... mfumko wa bei juu hadi 9.8% jamani hata hasemi mikakati aliyochukua
 
Anasema pato la mtz limeongexeka bila kujua kuwa linaongezeka kwa matajiri tu. Anakiri kuwa mfumko wa bei ni tatioz, bot walipaswa kumjulisha kuwa kipato hakiongezeki kwa watz wengi isispokuwa kwa wachache ma kwa maana hiyo mfum,ko wa bei unawaumiza sana
 
Makubwa, eti thamani ya shilling ya TZ imeongezeka,

kulingana na takwimu za sasa imepanda, wakati anaingia dollar moja ilikuwa 1270 sasa hivi ni 1160. pia kuna gain hata ktk sarafu nyingine kama paundi, kshs, rand nk fanya utafiti
 
Seen it live... wanasinzia.. speech is boring: Mkulo, Nchimbi, and many others, thinking lunch...
 
kila nikimuuliza mwananchi walio wengi kwa nini walimpigia kura huyu rais wetu wanasema smile yake iliwaponza ndo maana wakampa kura zao wakijua anavyo smile na utendaji wake utakuwa mzuri lakini saizi wengi wanajuta wale wale wanashindwa tena kutoa sababu.Kazi tunayo........

Momose Cheyo aliliona hili akawaambia watu mnachagua mtu kutokana na sura,Hamumji huyu mtu..

John Cheyo anamjua Vizuri sana jaka..walishare mambo mengi sana hasa kipindi cha 2002 mpaka 2004.ambapo ilimsaidia sana John kufahamu jaka
 
Kilichopo hapa huyu bwana ni kwamba, Ufisadi ulifanyika tuwasamehe, tuzuie wasiibe tena ikifika April 2009. Nimechoka
 
eti aliyesikiliza vizuri asema... je suala la kushughulikia mafisadi wa EPA kasemaje... mimi mawasiliano yalikata kwa dakika chache.....
 
Wala hakukuwa na sababu ya kuomba muda bungeni, hotuba hii angeitoa hata kwa Wazee wa Dar es Salaam. It is too low

Mkuu hata mimi nilishtukia napoteza muda badala ya kutafuta mboga ya mama toto nikajiamulia ngoja nidake updates humu JF kwa waugwana wachache!
 

Momose Cheyo aliliona hili akawaambia watu mnachagua mtu kutokana na sura,Hamumji huyu mtu..

John Cheyo anamjua Vizuri sana jaka..walishare mambo mengi sana hasa kipindi cha 2002 mpaka 2004.ambapo ilimsaidia sana John kufahamu jaka

Lakini hili ni fundisho wa wananchi wa kuangalia sura...wanaumia zaidi ni wale wanachama na wafurukutwa wa vijijini huko ambao wao na CCM ni damu damu mtu anapewa khanga ya 3000/=anauza haki yake kwa miaka 5 saizi wanataabika tu watu wanavimba matumbo huko Bungeni saizi.
 
sasa makamba na kundi lake ndio muda wa kuandaa maandamano ya kuunga mkono hotuba ya kisura
 
Back
Top Bottom