Kevo
JF-Expert Member
- Jun 12, 2008
- 1,333
- 54
huyu rais anaongelea ujenzi wa barabara kama vile mtu anazungumzia kuanzisha biasha ya kuuza karanga...huu kweli usanii.
Yebo ulipotelea wapi?Nilijua Mkuu umejichokea na porojo kama MwanaKJJ ukaamua kuondoka kumbe bado unagaagaa na upwa?Utakula wali mkavu tuu leo hatoi mboga huyu!