mnafuatilia nini huo utumbo wa jana unaoitwa hotuba? huenda hawataitoa kwa sababu tatu
1.0, katika hotuba kikwete aliweka precedence mbaya sana, kuwa wezi wanaiba na wanaweza kusamehewa kama wakipewa muda wakarudisha walichoiba, tena bila woga anatoa precedxcence hii ndani ya bunge, sasa wale wezi waliovunja benki ya nbc, kwa mtindo huu warudishe yale mamilioni na kesi dismiss
2.0 amerudisha tena serikali ya tanganyika kwa kutamka wazi kuwa ndani kuna serilkali ya zanzibar na tanganyika na nje kuna serikali ya muungano.
sasa kweli kama huyo salva an kichwa juu ya mabega atathubutu kuanika pumba zote hizi, zije kumhukumu yeye na kikwete wake?
huenda anajaribu kuikarabati !
1.0, katika hotuba kikwete aliweka precedence mbaya sana, kuwa wezi wanaiba na wanaweza kusamehewa kama wakipewa muda wakarudisha walichoiba, tena bila woga anatoa precedxcence hii ndani ya bunge, sasa wale wezi waliovunja benki ya nbc, kwa mtindo huu warudishe yale mamilioni na kesi dismiss
2.0 amerudisha tena serikali ya tanganyika kwa kutamka wazi kuwa ndani kuna serilkali ya zanzibar na tanganyika na nje kuna serikali ya muungano.
sasa kweli kama huyo salva an kichwa juu ya mabega atathubutu kuanika pumba zote hizi, zije kumhukumu yeye na kikwete wake?
huenda anajaribu kuikarabati !