Tanzania: Nchi pekee inayoshiriki michuano ya AFCON ambayo Television ya Taifa lake haioneshi michuano hiyo

Tanzania: Nchi pekee inayoshiriki michuano ya AFCON ambayo Television ya Taifa lake haioneshi michuano hiyo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mkurugenzi wa TBC anaitwa Dr Ayubu Ryoba , ni msomi wa juu kabisa , ambaye ndani ya TBC ndiye muongoza njia , hawezi kukwepa lawama ya jambo hili.

Taarifa za awali zinaonyesha kwamba kitendo cha TBC kushindwa kuonyesha michuano ambayo timu ya Taifa lake inashiriki tena baada ya karibu miaka 40 kupita , si tu kitendo cha AIBU peke yake bali pia ni REKODI YA DUNIA , TBC kuona ni bora kutangaza vipindi vya propaganda vilivyokosa watazamaji Baada ya wananchi kustuka vya " TUNATEKELEZA " na kuacha kuonyesha AFCON kinaashiria umasikini wa Nchi kifedha na kiakili , jambo linalotia aibu mtu mmoja mmoja na linatia aibu viongozi mmoja mmoja na mwishowe linadhalilisha wananchi wote kwa ujumla .

Nakulilia Tanzania
 
Sasa Mkuu hawa TBC wakionyesha hii michuano watasifu na kuimba saa ngapi kuhusu Juhudi?

Kwao wao Juhudi za Jamaa ni muhimu zaidi kuliko hii michuano.
 
Dr Ayubu ahhhh please mwite Ayubu tu maana njaa mbaya sana huyu jamaa utasema sio yule. Halafu unajuwa duniani kuna watu sura zao hazifichi chembechembe za uongo na unafiki huyu namuweka kundi moja na Babu Tale.
 
Ukiacha Warioba ambae kwa nadra sana hua anakumbuka Katiba iliyozikwa mtu mwingine alietia aibu Elimu kwa kulamba matapishi ni huyu DR Rioba, kabla hajawa mkuu wa TBC alikua mkosoaji mkubwa wa namna inavyoendeshwa. Katika vipindi vya darasani alikua haachi kuitolea mfano mbaya lkn Leo nae amekua mmoja wa tatzo.
 
Ukiacha Warioba ambae kwa nadra sana hua anakumbuka Katiba iliyozikwa mtu mwingine alietia aibu Elimu kwa kulamba matapishi ni huyu DR Rioba, kabla hajawa mkuu wa TBC alikua mkosoaji mkubwa wa namna inavyoendeshwa. Katika vipindi vya darasani alikua haachi kuitolea mfano mbaya lkn Leo nae amekua mmoja wa tatzo.
Aiseee !!!
 
Back
Top Bottom