Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mkurugenzi wa TBC anaitwa Dr Ayubu Ryoba , ni msomi wa juu kabisa , ambaye ndani ya TBC ndiye muongoza njia , hawezi kukwepa lawama ya jambo hili.
Taarifa za awali zinaonyesha kwamba kitendo cha TBC kushindwa kuonyesha michuano ambayo timu ya Taifa lake inashiriki tena baada ya karibu miaka 40 kupita , si tu kitendo cha AIBU peke yake bali pia ni REKODI YA DUNIA , TBC kuona ni bora kutangaza vipindi vya propaganda vilivyokosa watazamaji Baada ya wananchi kustuka vya " TUNATEKELEZA " na kuacha kuonyesha AFCON kinaashiria umasikini wa Nchi kifedha na kiakili , jambo linalotia aibu mtu mmoja mmoja na linatia aibu viongozi mmoja mmoja na mwishowe linadhalilisha wananchi wote kwa ujumla .
Nakulilia Tanzania
Taarifa za awali zinaonyesha kwamba kitendo cha TBC kushindwa kuonyesha michuano ambayo timu ya Taifa lake inashiriki tena baada ya karibu miaka 40 kupita , si tu kitendo cha AIBU peke yake bali pia ni REKODI YA DUNIA , TBC kuona ni bora kutangaza vipindi vya propaganda vilivyokosa watazamaji Baada ya wananchi kustuka vya " TUNATEKELEZA " na kuacha kuonyesha AFCON kinaashiria umasikini wa Nchi kifedha na kiakili , jambo linalotia aibu mtu mmoja mmoja na linatia aibu viongozi mmoja mmoja na mwishowe linadhalilisha wananchi wote kwa ujumla .
Nakulilia Tanzania