Tanzania: Nchi pekee inayoshiriki michuano ya AFCON ambayo Television ya Taifa lake haioneshi michuano hiyo

Tetemeko la ardhi bukoba,ilionyeshwa na CNN. Taarabu ilikuwa imepamba moto siku ile TBC

Mechi ya Taifa Stars na Senegal ilionyeshwa na television ya taifa ya jirani zetu Kenya - KBC. Sisi tulimpeleka Ndugai. Macho yake makubwa zaidi ya tv.
 
Tangu Tido aondoke ndiyo basi tena,yaani watu wasiokuwa na ekispiriensi ndiyo wanapewa taasisi zinazohitaji mtu smart,Nadhani baadhi ya sekta ilitakiwa wateule wake wawe wanakuwa wanatambuliwa na katiba kama sieiji na wawe wanaapply siyo kuteuliwa na wanasiasa
 
usimlaumu Ryoba, unamkumbuka TIDO?!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…