Tanzania nchi ya 51 duniani kwa amani

Basi muwache kuwachinja watoto kwa ushirikina, na pia albino maana Tanzania ndio nchi pekee duniani ambapo albino hawana amani, wanawindwa eti nyama yao na viungo vitawaongezea Watanzania utajiri, matukio kama hayo ndio yanasababisha mnazidi kutajwa kwenye nchi maskini wa kutupwa duniani....yaani LDC countries.
Mkiendelea hivyo itawabidi albino wajipake mkaa ili mfanane wawe na amani.
Kingine kuna hawa omba omba wenu hapa Nairobi ni too much, waambieni huko kuna amani waje watulie

 

Fungulia Uzi bro. Tutakuja kuchangia.
 
Soma comment #4.I will keep reminding you that if Kenya is a failed state Tanzania is a dead state. Goodnight jirani.
Mtu kukwambia nyie ni failed state ni maneno ya upinzani tuu toka kwa sisi watani wenu tz,, ila tatzo nyie wakenya hamna utamaduni wa utani BT kiukweli tunawakubali ila jitahidini kupunguza rushwa na ufisadi maana si tz tulishindwa kusonga mbele kwa sababu ya rushwa na ufisadi,,
Ila tunamshukuru magu kalifanyia kazi na sasa hata tukienda maofisini hutaona mtu anakutaka utoe rushwa..
So Jane Ndugu jitahidi kuelewa kitu kimoja we love u kenyans' but jitahidin kuwa serious na mambo ya rushwa maana hilo ndio linawalet down wakenya please jane


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ahaaa haaa haaa
Umesahau ukabila.
 

Hivi lini tutaifikia Botswana? I love that country.
It's good that SADC inaongoza Afrika kwa kuwa na NCHI nyingi. But EAC hamna NCHI zaidi ya Tanzania kwenye 80+ country.
 
Tukiwaambia kwamba Tanzania ni nchi ya mwa Africa zaidi kuliko East Africa majirani zetu wanakasirika na kununa eti tunataka kuwaacha peke yao. Tanzania inafanana Sana na inaendana Sana na nchi za kusini mwa Africa kwasababu viongozi wote wa nchi hizo walilelewa Tanzania chini ya malezi ya Nyerere, wamezingatia umoja, upendo na Amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona nyie mnakuja kuiba huku kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…