MUUZA NGADA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 340
- 497
Acha roho ya korosho Dada angu daaa,,, Mbona Kenya mnaongoza Vingi visivyo na msingi lakin sisi tumetuliaOnly dead states are peaceful because death is peaceful. Hongereni
Soma comment #4.I will keep reminding you that if Kenya is a failed state Tanzania is a dead state. Goodnight jirani.Acha roho ya korosho Dada angu daaa,,, Mbona Kenya mnaongoza Vingi visivyo na msingi lakin sisi tumetulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania yaingia nchi 51 zenye amani zaidi duniani ikiwazidi USA, China, UK Argentina n.k.
Kwa Afrika tupo katika 10 bora huku tukiongoza eneo la EAC
Shukrani kwa uongozi unaoenzi amani wa Rais Magufuli na wote tuliotimiza wajibu wetu
Source: Global Peace Index
View attachment 1059359View attachment 1059360
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia na kwenye kutoa misaada tunaongeza, tupo level moja na UK US you name it
Basi muwache kuwachinja watoto kwa ushirikina, na pia albino maana Tanzania ndio nchi pekee duniani ambapo albino hawana amani, wanawindwa eti nyama yao na viungo vitawaongezea Watanzania utajiri, matukio kama hayo ndio yanasababisha mnazidi kutajwa kwenye nchi maskini wa kutupwa duniani....yaani LDC countries.
Mkiendelea hivyo itawabidi albino wajipake mkaa ili mfanane wawe na amani.
Kingine kuna hawa omba omba wenu hapa Nairobi ni too much, waambieni huko kuna amani waje watulie
Mtu kukwambia nyie ni failed state ni maneno ya upinzani tuu toka kwa sisi watani wenu tz,, ila tatzo nyie wakenya hamna utamaduni wa utani BT kiukweli tunawakubali ila jitahidini kupunguza rushwa na ufisadi maana si tz tulishindwa kusonga mbele kwa sababu ya rushwa na ufisadi,,Soma comment #4.I will keep reminding you that if Kenya is a failed state Tanzania is a dead state. Goodnight jirani.
Mtu kukwambia nyie ni failed state ni maneno ya upinzani tuu toka kwa sisi watani wenu tz,, ila tatzo nyie wakenya hamna utamaduni wa utani BT kiukweli tunawakubali ila jitahidini kupunguza rushwa na ufisadi maana si tz tulishindwa kusonga mbele kwa sababu ya rushwa na ufisadi,,
Ila tunamshukuru magu kalifanyia kazi na sasa hata tukienda maofisini hutaona mtu anakutaka utoe rushwa..
So Jane Ndugu jitahidi kuelewa kitu kimoja we love u kenyans' but jitahidin kuwa serious na mambo ya rushwa maana hilo ndio linawalet down wakenya please jane
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania yaingia nchi 51 zenye amani zaidi duniani ikiwazidi USA, China, UK Argentina n.k.
Kwa Afrika tupo katika 10 bora huku tukiongoza eneo la EAC
Shukrani kwa uongozi unaoenzi amani wa Rais Magufuli na wote tuliotimiza wajibu wetu
Source: Global Peace Index
View attachment 1059359View attachment 1059360
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona nyie mnakuja kuiba huku kwetuBasi muwache kuwachinja watoto kwa ushirikina, na pia albino maana Tanzania ndio nchi pekee duniani ambapo albino hawana amani, wanawindwa eti nyama yao na viungo vitawaongezea Watanzania utajiri, matukio kama hayo ndio yanasababisha mnazidi kutajwa kwenye nchi maskini wa kutupwa duniani....yaani LDC countries.
Mkiendelea hivyo itawabidi albino wajipake mkaa ili mfanane wawe na amani.
Kingine kuna hawa omba omba wenu hapa Nairobi ni too much, waambieni huko kuna amani waje watulie
Fungulia Uzi bro. Tutakuja kuchangia.
Mbona wao wanaongoza kwa njaa cc hatulalamiki😂😂😂Acha roho ya korosho Dada angu daaa,,, Mbona Kenya mnaongoza Vingi visivyo na msingi lakin sisi tumetulia
Sent using Jamii Forums mobile app
We hata mamako akibakwa utawasingizia chadema hebu kuwa basi uache utoto