MUUZA NGADA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 340
- 497
Tanzania yaingia nchi 51 zenye amani zaidi duniani ikiwazidi USA, China, UK Argentina n.k.
Kwa Afrika tupo katika 10 bora huku tukiongoza eneo la EAC
Shukrani kwa uongozi unaoenzi amani wa Rais Magufuli na wote tuliotimiza wajibu wetu
Source: Global Peace Index
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Afrika tupo katika 10 bora huku tukiongoza eneo la EAC
Shukrani kwa uongozi unaoenzi amani wa Rais Magufuli na wote tuliotimiza wajibu wetu
Source: Global Peace Index
Sent using Jamii Forums mobile app