Minah
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 840
- 2,343
Basi muwache kuwachinja watoto kwa ushirikina, na pia albino maana Tanzania ndio nchi pekee duniani ambapo albino hawana amani, wanawindwa eti nyama yao na viungo vitawaongezea Watanzania utajiri, matukio kama hayo ndio yanasababisha mnazidi kutajwa kwenye nchi maskini wa kutupwa duniani....yaani LDC countries.
Mkiendelea hivyo itawabidi albino wajipake mkaa ili mfanane wawe na amani.
Kingine kuna hawa omba omba wenu hapa Nairobi ni too much, waambieni huko kuna amani waje watulie
Wivu na Husda umekujaa dhidi ya Tanzania. Pole sana.