Tetesi: Tanzania nchi ya kipekee ilipewa uhuru na wazungu... Wengine walipigania

Tetesi: Tanzania nchi ya kipekee ilipewa uhuru na wazungu... Wengine walipigania

Nairoberry

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
932
Reaction score
525
Nchi zingine afrika mashariki zilipigania uhuru kumwaga damu ya wazalendo kunyakuwa uhuru. Kenya ilipigana vita vya mau mau. Ethiopia iliwashinda wakoloni kwa vita..somalia na uganda pia walipigania uhuru. Kenya tukipigania uhuru tanzania walikuwa wanashirikiana na mbeberu kusaliti waafrika... Sasa wamemea pembe na kujipiga kifua ilhali uwezo wao mdogo. Eti walisaidia nchi zingine kupigania uhuru. Je jiulize swali ili utasaidia aje nchi zingine kupigania uhuru kama wewe mwenyewe ukufanya ivyo? Nawaomba wabongo watulize hizi panganga wajue wako ivi sasa manake hao ni watumwa wa mzungu.
 
Nchi zingine afrika mashariki zilipigania uhuru kumwaga damu ya wazalendo kunyakuwa uhuru. Kenya ilipigana vita vya mau mau. Ethiopia iliwashinda wakoloni kwa vita..somalia na uganda pia walipigania uhuru. Kenya tukipigania uhuru tanzania walikuwa wanashirikiana na mbeberu kusaliti waafrika... Sasa wamemea pembe na kujipiga kifua ilhali uwezo wao mdogo. Eti walisaidia nchi zingine kupigania uhuru. Je jiulize swali ili utasaidia aje nchi zingine kupigania uhuru kama wewe mwenyewe ukufanya ivyo? Nawaomba wabongo watulize hizi panganga wajue wako ivi sasa manake hao ni watumwa wa mzungu.
Nyan'gau "waliopigania" uhuru hadi leo bado wanajikomba kwa wazungu kwa kujifanya wanajua Kiingereza zaidi ya watanzania. Ha ha ha, malimbukeni bado mnatawaliwa nyie. Soma historia vizuri. Tanganyika haijawahi kuwa "koloni" la mwingereza. Kuna tofauti kati ya "protectorate" na "colony".
 
Nyan'gau "waliopigania" uhuru hadi leo bado wanajikomba kwa wazungu kwa kujifanya wanajua Kiingereza zaidi ya watanzania. Ha ha ha, malimbukeni nyie.
Hasira ya nini povu ya kutoka mdomoni lakini historia ibadiliki. Mlipewa uhuru nyinyi wasaliti... .msituletee upumba hapa nenda kamtumikie mzungu si ata unachoma makaazi ya wamasaai kumfurahisha mzungu. Jinga.
 
Nchi zingine afrika mashariki zilipigania uhuru kumwaga damu ya wazalendo kunyakuwa uhuru. Kenya ilipigana vita vya mau mau. Ethiopia iliwashinda wakoloni kwa vita..somalia na uganda pia walipigania uhuru. Kenya tukipigania uhuru tanzania walikuwa wanashirikiana na mbeberu kusaliti waafrika... Sasa wamemea pembe na kujipiga kifua ilhali uwezo wao mdogo. Eti walisaidia nchi zingine kupigania uhuru. Je jiulize swali ili utasaidia aje nchi zingine kupigania uhuru kama wewe mwenyewe ukufanya ivyo? Nawaomba wabongo watulize hizi panganga wajue wako ivi sasa manake hao ni watumwa wa mzungu.
Ivi Uganda nao walipigana Vita kudai Uhuru wao????
 
Hasira ya nini povu ya kutoka mdomoni lakini historia ibadiliki. Mlipewa uhuru nyinyi wasaliti... .msituletee upumba hapa nenda kamtumikie mzungu si ata unachoma makaazi ya wamasaai kumfurahisha mzungu. Jinga.
Nakupa za uso tu wewe nyan'gau. Hakuna povu lolote hapo.
 
Mpende Msipende kama hamkumwaga ndamu kupata uhuru hamuezi jilinganisha na nchi zingine ambazo zilimwaga.
 
Asante sana. Umeweka wazi... .Mlikuwa under guardianship kwa sababu you guys were house niggers.....mpaka waleo mbongo kukusaliti ni rahisi tena haraka.
Makubaliano yalikuwa ni mpaka tutakapokuwa na uwezo wa kujitawala. Nyerere alijenga hoja UN kuwa sasa tuko tayari kujitawala na pia alifanya mazungumzo na Queen Elizabeth II Buckingham palace.
 
Back
Top Bottom