Tetesi: Tanzania nchi ya kipekee ilipewa uhuru na wazungu... Wengine walipigania

Tetesi: Tanzania nchi ya kipekee ilipewa uhuru na wazungu... Wengine walipigania

Nchi zingine afrika mashariki zilipigania uhuru kumwaga damu ya wazalendo kunyakuwa uhuru. Kenya ilipigana vita vya mau mau. Ethiopia iliwashinda wakoloni kwa vita..somalia na uganda pia walipigania uhuru. Kenya tukipigania uhuru tanzania walikuwa wanashirikiana na mbeberu kusaliti waafrika... Sasa wamemea pembe na kujipiga kifua ilhali uwezo wao mdogo. Eti walisaidia nchi zingine kupigania uhuru. Je jiulize swali ili utasaidia aje nchi zingine kupigania uhuru kama wewe mwenyewe ukufanya ivyo? Nawaomba wabongo watulize hizi panganga wajue wako ivi sasa manake hao ni watumwa wa mzungu.

Kwani Kenya mnasomaga historia ya Tanzania?

Hebu piga picha kurasa za vitabu vyenu vya kiada sehemu vilipoandikwa historia ya Tanzania tuone mnasomaga nini huko.

Hili bandiko lako linaonesha hujui historia ya Tanzania.

Kuna vita kadhaa za kupambana na mkoloni zilishapiganwa Tanzania. Kama vile vita ya Mkwawa, vita ya Majimaji na mapinduzi ya Zanzibar.

Vita ya maneno ya Julius Lancaster House ilikuwa na ngazi nyingine ya kumng'oa mkoloni baada ya kuwa tumepata mtu aliyesoma na kuelimika akaona njia nzuri ya kumng'oa mkoloni iko wapi.

Kuhusu hoja yako ya pili ni ndiyo tumefanikisha ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika. Sasa kama unadhani hatujui kupigana basi ndo ujiuliza tulifanikishaje hizo vita za ukombozi.

Ila nenda Msumbiji, Zimbabwe, Namibia na Afrika Kusini waulize habari za Tanzania na Nyerere watakwambia ni kiasi wanatuheshimu.
 
Hii laana bado inatutafuna hadi kesho ya kusema Tanzania hatukupigania Uhuru wetu wakati watu walimwaga damu.Eti hatukuwa na uwezo was kujitawala, nawale machifu tunaojivunia sijui walikuwa na Na Kazi gani.Ila napenda kuwapongeza Kenya Drinking Force (KDF) kwa kupigania Uhuru
 
Makubaliano yalikuwa ni mpaka tutakapokuwa na uwezo wa kujitawala. Nyerere alijenga hoja UN kuwa sasa tuko tayari kujitawala na pia alifanya mazungumzo na Queen Elizabeth II Buckingham palace.
Mpaka wa leo bado hamjakuwa na uwezo wa kujitawala.
 
Huyu jamaa anawakilisha mawazo ya wakenya.
Wakenya kwa hakika hawajui historia ya Africa. Ukimuuliza hata Tanzania imetokana na nini hajui.
Tanzania haijawahi kutawaliwa kijana. Zilizowahi kutawaliwa ni Tanganyika na Zanzibar kijana.
Ukitaka kujua unatakiwa uaze kusoma Historia ya Tanganyika na Historia ya Zanzibar.

Kijana Tanganyika ilikuwa imetawaliwa na wajerumani, lakini baada ya vita vya kwanza vya dunia ujerumani ilipoteza makoloni yake. Halafu ukumbuke Burundi na Rwanda zilikuwa chini ya Ujerumani (East Africa German).

Sitaki kukumegea ubuyu wote tafuta vitabu vya histori usome. Kisha nakutaka ujue je, Zanzibar ilipata vipi uhuru.

Nimekutana na wakenya wengi sana hawajui historia ya Africa wanajua historia ya UK tu. Wazungu waliwaondolea akili zote.
 
Mpaka wa leo bado hamjakuwa na uwezo wa kujitawala.
Sasa nakushangaa kijana.
Serikali yenu tu ni company ya waingereza.
Tunajua historia kijana. Sisi huwa tunasoma historia ya dunia nzima. Nakutaka usijiaibishe humu.
 
Sasa nakushangaa kijana.
Serikali yenu tu ni company ya waingereza.
Tunajua historia kijana. Sisi huwa tunasoma historia ya dunia nzima. Nakutaka usijiaibishe humu.
Dogo sisi nao tunasoma historia pia tofauti na nyinyi nikuwa mna edit historia isiyo mfurahisha....mnasahau baada ya amin kuwafurusha wazungu na wahindi uganda nyinyi ndio mliwapokea kkwa mikono miwili. Je unashangaa mbona wahindi walivyo wengi uko walitoka wapi?
 
Mpende Msipende kama hamkumwaga ndamu kupata uhuru hamuezi jilinganisha na nchi zingine ambazo zilimwaga.
So unafikiri kumwaga damu ndio sifa nzuri? Wacha jinga. Kama unashindanisha mataifa bases on past history basi nenda kalale. Nyakat zimedilika na mambo mengi yamebadilika.
 
Mbona? Tunatawala kiuchumi na uo ndio ukoloni mamboleo au ulitaka tuje kimabavu manake nyie uko mna historia nzuri ya kuwa host wa uvamizi
Nyie tu kila kukicha mnalala na njaa. Ukoloni toka ulaya ulisababishwa na industrial revolution kijana.
Halafu ulivyo mfupi wa kuwaza, zamani mlikuwa mnauza bidhaa zenu Tanzania kutokana na kwamba wazungu walijenga viwanda vingi kenya.
Lakini kwa sasa hakuna kitu kama hicho kijana. Kenya is going backward tangu wazungu waondoke. Nitajie kiwanda mmejenga baada ya wazungu kuondoka. Mlichokifanya ni kubadili majina.

Wachina sasa wamewaingiza mjini. Muda si mrefu mtakuwa koloni la wachina.
Mashamba ya maua yote yanamilkiwa na wazungu, huku wakenya wakibaki kuwa manamba tu kwenye mashamba hayo.

Ardhi kubwa imemilkiwa na wazungu.
Hawa ni baadhi ya wazungu wanao milk arable land ni Kenya
  1. Ol Ari Nyiro Ranch – 100,000 acres
  2. Ol-Pejeta Ranch – 92,000 acres
  3. Ol Jogi Ranch – 67,000 acres
  4. Loisaba conservancy – 61,000 acres (Peter Sylvester, Tom Sylvester and Giles Davies.)
  5. Segera Ranch – 50,000 acres
  6. Ole Malo Ranch – 50,000 acres (Owned by Colin Francombe)
  7. Mugie Ranch – 47,000 acres (Owned by Claus Mortensen)
  8. Mpala Ranch – 49,000 acres (purchased by Sam Small)
  9. Lewa Downs – 45,000 acres(Owned by Craig family)
  10. Suyian Ranch – 43,000 acres (Owned by Powys family)
  11. Mogwooni ranch – 40,000 acres (Owned by Jackie Kenyon)
  12. Ole Naisho Ranch – 30,000 acres (Owned by Jeremy Block)
  13. Chololo Ranch – 25,000 acres(owned by Sammy Jessel)
 
Dogo sisi nao tunasoma historia pia tofauti na nyinyi nikuwa mna edit historia isiyo mfurahisha....mnasahau baada ya amin kuwafurusha wazungu na wahindi uganda nyinyi ndio mliwapokea kkwa mikono miwili. Je unashangaa mbona wahindi walivyo wengi uko walitoka wapi?
Ndiyo maana ninakueleza hujui historia ya Africa.
Kama ungekuwa unajua historia ya Tanzania (Tanganyika & Zanzibar) Ungekaa kimya.
Kwanza nakutaka uanze kusoma historia.
Kisha nakutaka ujifunze kujua Jina la Dar es salaam lilianza kutumiaka lini?
Kisha nataka ujifunze historia ya Kilwa.
Pia nakutaka Ujifunze washirazi(Persians) & Babylonians walianza kuja Tanzania lini.
Baada ya hapo utakuja kugundua watanzania wamechanganyika na damu ya ukoo wa Ibrahimu ambaye alitoka Mesopotamia(Persia [Iran & Iraq]).
Ndipo utakapogundua chama cha ASP (Afro Shiraz Party) Chanzo chake ni nini.
Halafu wewe mtoto unajua kweli historia au unakojoa kojoa tu humu?
Historia ya wahindi unaijua wewe? Nakutaka usilete chuki zenu za kibaguzi za kenya.

Nyerere alieleza kuwa watu wote waliokuwa ndani ya Tanzania wakati Tanzania inapata uhuru hao wote ni watanzania.
Sisi hatubagui kabila, rangi wala nasaba.

Kwa kukusaidia tu. Soma hapa ahadi za mwanatanu:-
tanu-jpg.598511
 
Hii laana bado inatutafuna hadi kesho ya kusema Tanzania hatukupigania Uhuru wetu wakati watu walimwaga damu.Eti hatukuwa na uwezo was kujitawala, nawale machifu tunaojivunia sijui walikuwa na Na Kazi gani.Ila napenda kuwapongeza Kenya Drinking Force (KDF) kwa kupigania Uhuru

Hahahaaaa ni Kenya Drinking Fools
 
Hii laana bado inatutafuna hadi kesho ya kusema Tanzania hatukupigania Uhuru wetu wakati watu walimwaga damu.Eti hatukuwa na uwezo was kujitawala, nawale machifu tunaojivunia sijui walikuwa na Na Kazi gani.Ila napenda kuwapongeza Kenya Drinking Force (KDF) kwa kupigania Uhuru

Hahahaaaa ni Kenya Drinking Fools
 
Hehehehe!! Hadi nimecheka, Nairoberry leo umeamua kuwapa makavu Wabongo bila kuremba maneno halafu hauchezei mbali, unamjibu kila anayenyanyua pua.
 
Nchi zingine afrika mashariki zilipigania uhuru kumwaga damu ya wazalendo kunyakuwa uhuru. Kenya ilipigana vita vya mau mau. Ethiopia iliwashinda wakoloni kwa vita..somalia na uganda pia walipigania uhuru. Kenya tukipigania uhuru tanzania walikuwa wanashirikiana na mbeberu kusaliti waafrika... Sasa wamemea pembe na kujipiga kifua ilhali uwezo wao mdogo. Eti walisaidia nchi zingine kupigania uhuru. Je jiulize swali ili utasaidia aje nchi zingine kupigania uhuru kama wewe mwenyewe ukufanya ivyo? Nawaomba wabongo watulize hizi panganga wajue wako ivi sasa manake hao ni watumwa wa mzungu.
Nenda shule acha kutafuta post count kwa post za kipuuzi!
 
Makubaliano yalikuwa ni mpaka tutakapokuwa na uwezo wa kujitawala. Nyerere alijenga hoja UN kuwa sasa tuko tayari kujitawala na pia alifanya mazungumzo na Queen Elizabeth II Buckingham palace.
Mkuu Huyu teen akikuelewa naomba unitag.
 
Back
Top Bottom