Tetesi: Tanzania nchi ya kipekee ilipewa uhuru na wazungu... Wengine walipigania

Tetesi: Tanzania nchi ya kipekee ilipewa uhuru na wazungu... Wengine walipigania

Hehehehe!! Hadi nimecheka, Nairoberry leo umeamua kuwapa makavu Wabongo bila kuremba maneno halafu hauchezei mbali, unamjibu kila anayenyanyua pua.
kwa hiyo nawe unamuunga mkono..??aki Kenya kweli wajinga ni wengi!!uuuhhh
 
Nchi zingine afrika mashariki zilipigania uhuru kumwaga damu ya wazalendo kunyakuwa uhuru. Kenya ilipigana vita vya mau mau. Ethiopia iliwashinda wakoloni kwa vita..somalia na uganda pia walipigania uhuru. Kenya tukipigania uhuru tanzania walikuwa wanashirikiana na mbeberu kusaliti waafrika... Sasa wamemea pembe na kujipiga kifua ilhali uwezo wao mdogo. Eti walisaidia nchi zingine kupigania uhuru. Je jiulize swali ili utasaidia aje nchi zingine kupigania uhuru kama wewe mwenyewe ukufanya ivyo? Nawaomba wabongo watulize hizi panganga wajue wako ivi sasa manake hao ni watumwa wa mzungu.


Hakuna Mwafrika mweusi aliyepigania huo mnaouita Uhuru, wote walipewa na Muzungu, Muzungu aliamua no more colonies na ikawa hivyo!
 
Nchi zingine afrika mashariki zilipigania uhuru kumwaga damu ya wazalendo kunyakuwa uhuru. Kenya ilipigana vita vya mau mau. Ethiopia iliwashinda wakoloni kwa vita..somalia na uganda pia walipigania uhuru. Kenya tukipigania uhuru tanzania walikuwa wanashirikiana na mbeberu kusaliti waafrika... Sasa wamemea pembe na kujipiga kifua ilhali uwezo wao mdogo. Eti walisaidia nchi zingine kupigania uhuru. Je jiulize swali ili utasaidia aje nchi zingine kupigania uhuru kama wewe mwenyewe ukufanya ivyo? Nawaomba wabongo watulize hizi panganga wajue wako ivi sasa manake hao ni watumwa wa mzungu.
Shida unaingiza Ushenzi wako wakishabiki kwenye mada muhimu inayo toa Elimu kwa wengineo
Kifupi huna ulijualo
 
Hakuna Mwafrika mweusi aliyepigania huo mnaouita Uhuru, wote walipewa na Muzungu, Muzungu aliamua no more colonies na ikawa hivyo!
Akili za kushikiwa hizi. Mkoloni aliangusha mabomu mengi sana kwenye maficho ya Mau Mau kule Ml. Kenya na Abardare Ranges. Yaani utadhani alikuwa vitani na Hitler mwenyewe huku huku Kenya.
 
Akili za kushikiwa hizi. Mkoloni aliangusha mabomu mengi sana kwenye maficho ya Mau Mau kule Ml. Kenya na Abardare Ranges. Yaani utadhani alikuwa vitani na Hitler mwenyewe huku huku Kenya.


Mnadanganywa sana, nchi pekee iliyoondoa Mkoloni na kuchukuwa Uhuru wake ni USA peke yake wengine wote wachumba tu.

Maumau haikumuondoa Mkoloni Kanya na wala haikuwa sababu ya Kenya kupata Uhuru bali ilikuwa ni uprising tu ambayo kama wangetaka kubakia Kenya wangeizima mara moja na kuendelea kuishi.

Ukoloni uliisha kwa sababu muda ulikuwa umefika, kwanza haikuwa economical kwa Wazungu na walikuwa wanapata hasara kuendesha Makoloni, investment waliokuwa wanaifanya kama kujengna Miundo mbinu kma reli, barabara kujenga Miji na kuipanga kama Nairobi, kujenga Bandari kama Mombasa yote hii haikulipa tena.

Mfumo wa Dunia ulikuwa umeshabadilika baada ya Vita kuu 2 ya Dunia Uingereza, Ufaransa &Co. walikuwa bankrupt baada ya A. Hitler kuwachakaza na sasa ikawa ni Karne ya USA, na USA akasema no more colonies na ilikubaliwa UN, huo ndiyo ukweli nyingine zote porojo tu!
 
Mnadanganywa sana, nchi pekee iliyoondoa Mkoloni na kuchukuwa Uhuru wake ni USA peke yake wengine wote wachumba tu.

Maumau haikumuondoa Mkoloni Kanya na wala haikuwa sababu ya Kenya kupata Uhuru bali ilikuwa ni uprising tu ambayo kama wangetaka kubakia Kenya wangeizima mara moja na kuendelea kuishi.

Ukoloni uliisha kwa sababu muda ulikuwa umefika, kwanza haikuwa economical kwa Wazungu na walikuwa wanapata hasara kuendesha Makoloni, investment waliokuwa wanaifanya kama kujengna Miundo mbinu kma reli, barabara kujenga Miji na kuipanga kama Nairobi, kujenga Bandari kama Mombasa yote hii haikulipa tena.

Mfumo wa Dunia ulikuwa umeshabadilika baada ya Vita kuu 2 ya Dunia Uingereza, Ufaransa &Co. walikuwa bankrupt baada ya A. Hitler kuwachakaza na sasa ikawa ni Karne ya USA, na USA akasema no more colonies na ilikubaliwa UN, huo ndiyo ukweli nyingine zote porojo tu!
mfano wa mafikira duni ya mtu mwenye alipewa uhuru. ata sasa mnasubiri UN iweke ofisi uko ili uchumi wenu uinuke.
 
Nchi zingine afrika mashariki zilipigania uhuru kumwaga damu ya wazalendo kunyakuwa uhuru. Kenya ilipigana vita vya mau mau. Ethiopia iliwashinda wakoloni kwa vita..somalia na uganda pia walipigania uhuru. Kenya tukipigania uhuru tanzania walikuwa wanashirikiana na mbeberu kusaliti waafrika... Sasa wamemea pembe na kujipiga kifua ilhali uwezo wao mdogo. Eti walisaidia nchi zingine kupigania uhuru. Je jiulize swali ili utasaidia aje nchi zingine kupigania uhuru kama wewe mwenyewe ukufanya ivyo? Nawaomba wabongo watulize hizi panganga wajue wako ivi sasa manake hao ni watumwa wa mzungu.
Unajua maana ya neno kipekee?
 
Back
Top Bottom