Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Hamna lolote. Hadi leo Kenya bado inatawaliwa na mwingereza. Nashangaa hulioni hili.Unyangau wangu ndio ulimwondoa mkoloni hapa kwetu kenya. Hizo za uso zako ndio zilifanya ukawa msagaji wa mzungu mpaka leo Tz.
Hii bangi uliyovuta leo usiirudie tena.Na ndio maana laana yamfuata kuwachomea na kuwauwa wamasaai ili kumridhisha mzungu.
Nchi zingine afrika mashariki zilipigania uhuru kumwaga damu ya wazalendo kunyakuwa uhuru. Kenya ilipigana vita vya mau mau. Ethiopia iliwashinda wakoloni kwa vita..somalia na uganda pia walipigania uhuru. Kenya tukipigania uhuru tanzania walikuwa wanashirikiana na mbeberu kusaliti waafrika... Sasa wamemea pembe na kujipiga kifua ilhali uwezo wao mdogo. Eti walisaidia nchi zingine kupigania uhuru. Je jiulize swali ili utasaidia aje nchi zingine kupigania uhuru kama wewe mwenyewe ukufanya ivyo? Nawaomba wabongo watulize hizi panganga wajue wako ivi sasa manake hao ni watumwa wa mzungu.
Umewahi kusikia HEHE REBELLION?umewahi skia nandi resisitance na zingenezo? Tulianza kitambo dogo... Nyinyi mlianza kisha mkapewa kioo mkasalimu amri ya kuwasaliti waafrika
Mpaka wa leo bado hamjakuwa na uwezo wa kujitawala.Makubaliano yalikuwa ni mpaka tutakapokuwa na uwezo wa kujitawala. Nyerere alijenga hoja UN kuwa sasa tuko tayari kujitawala na pia alifanya mazungumzo na Queen Elizabeth II Buckingham palace.
Unataka ututawale wewe mvuta bangi?Mpaka wa leo bado hamjakuwa na uwezo wa kujitawala.
Mbona? Tunatawala kiuchumi na uo ndio ukoloni mamboleo au ulitaka tuje kimabavu manake nyie uko mna historia nzuri ya kuwa host wa uvamiziUnataka ututawale wewe mvuta bangi?
Sasa nakushangaa kijana.Mpaka wa leo bado hamjakuwa na uwezo wa kujitawala.
Dogo sisi nao tunasoma historia pia tofauti na nyinyi nikuwa mna edit historia isiyo mfurahisha....mnasahau baada ya amin kuwafurusha wazungu na wahindi uganda nyinyi ndio mliwapokea kkwa mikono miwili. Je unashangaa mbona wahindi walivyo wengi uko walitoka wapi?Sasa nakushangaa kijana.
Serikali yenu tu ni company ya waingereza.
Tunajua historia kijana. Sisi huwa tunasoma historia ya dunia nzima. Nakutaka usijiaibishe humu.
So unafikiri kumwaga damu ndio sifa nzuri? Wacha jinga. Kama unashindanisha mataifa bases on past history basi nenda kalale. Nyakat zimedilika na mambo mengi yamebadilika.Mpende Msipende kama hamkumwaga ndamu kupata uhuru hamuezi jilinganisha na nchi zingine ambazo zilimwaga.
Nyie tu kila kukicha mnalala na njaa. Ukoloni toka ulaya ulisababishwa na industrial revolution kijana.Mbona? Tunatawala kiuchumi na uo ndio ukoloni mamboleo au ulitaka tuje kimabavu manake nyie uko mna historia nzuri ya kuwa host wa uvamizi
Ndiyo maana ninakueleza hujui historia ya Africa.Dogo sisi nao tunasoma historia pia tofauti na nyinyi nikuwa mna edit historia isiyo mfurahisha....mnasahau baada ya amin kuwafurusha wazungu na wahindi uganda nyinyi ndio mliwapokea kkwa mikono miwili. Je unashangaa mbona wahindi walivyo wengi uko walitoka wapi?
Hii laana bado inatutafuna hadi kesho ya kusema Tanzania hatukupigania Uhuru wetu wakati watu walimwaga damu.Eti hatukuwa na uwezo was kujitawala, nawale machifu tunaojivunia sijui walikuwa na Na Kazi gani.Ila napenda kuwapongeza Kenya Drinking Force (KDF) kwa kupigania Uhuru
Hii laana bado inatutafuna hadi kesho ya kusema Tanzania hatukupigania Uhuru wetu wakati watu walimwaga damu.Eti hatukuwa na uwezo was kujitawala, nawale machifu tunaojivunia sijui walikuwa na Na Kazi gani.Ila napenda kuwapongeza Kenya Drinking Force (KDF) kwa kupigania Uhuru
Nenda shule acha kutafuta post count kwa post za kipuuzi!Nchi zingine afrika mashariki zilipigania uhuru kumwaga damu ya wazalendo kunyakuwa uhuru. Kenya ilipigana vita vya mau mau. Ethiopia iliwashinda wakoloni kwa vita..somalia na uganda pia walipigania uhuru. Kenya tukipigania uhuru tanzania walikuwa wanashirikiana na mbeberu kusaliti waafrika... Sasa wamemea pembe na kujipiga kifua ilhali uwezo wao mdogo. Eti walisaidia nchi zingine kupigania uhuru. Je jiulize swali ili utasaidia aje nchi zingine kupigania uhuru kama wewe mwenyewe ukufanya ivyo? Nawaomba wabongo watulize hizi panganga wajue wako ivi sasa manake hao ni watumwa wa mzungu.
Mkuu Huyu teen akikuelewa naomba unitag.Makubaliano yalikuwa ni mpaka tutakapokuwa na uwezo wa kujitawala. Nyerere alijenga hoja UN kuwa sasa tuko tayari kujitawala na pia alifanya mazungumzo na Queen Elizabeth II Buckingham palace.
we jamaa huwa hujui unachokiandika..!!!Mpende Msipende kama hamkumwaga ndamu kupata uhuru hamuezi jilinganisha na nchi zingine ambazo zilimwaga.