pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Atakuwa na uraia wa nchi mbili labda.Utanzania wake uko wapi hapo
Mdanishmwenye asili ya Tanzania kwa kuwa alizaliwa Denmark na kuwa raia Denmark.Mtanzania mwenye asili ya Denmark au Mdanish mwenye asili ya Tanzania?
asee huyu jamaa kwenye jina la ukoo ningeona jina hata muhando, shemweta, shelukindo na ya kufanana na hayo ningeamini kweli baba yake alikuwa mwenyeji wa Tanga na ana asili ya Tanzania ila kwa jina Poulsen this is a big NO!!View attachment 794596
Anaitwa Yussuf Yurary Poulsen mwana wa ardhi ya Tanzania na Denmark, ambaye ni mcheza soka maarufu nchini Denmark, aliyetajwa kuongoza kikosi cha timu ya Taifa ya Denmark ambako ndiko alikozaliwa na kuishi.
Yusuph alizaliwa Juni 15, 1994 huko Copenhagen nchini Denmark, huku baba yake akiwa ni Mtanzania mwenyeji wa Mkoa wa Tanga, anayeitwa Shihe Yurary aliyekuwa akifanya kazi kwenye meli ya mizigo, ambayo ilikuwa ikifanya shughuli zake kati ya Afrika na Denmark, na mama yake anayejulikana kwa jina la Lene ni raia wa Denmark.
Kupitia kazi zake hizo, Shihe alikutana na Lene na kuanzisha uhusiano uliomleta duniani Yusuf, na akaamua kuhamishia makazi yake jijini Copenhagen, Denmark ni raia wa Denmark.
Yusuf alianza kucheza soka akiwa mdogo, na kujiwekea rekodi mbali mbali mpaka kusajiliwa na timu ya RB Leipzig ya nchini Ujermani, ambako bado yupo mpaka sasa.
Kwenye timu yake ya Taifa ya Denmark Yusuf anacheza nafasi ya mshambuliaji, ambayo ni maalum kwa kufunga magoli, na imetajwa kushiriki kombe la dunia mwaka 2018, ambaloi linatarajia kuanza siku si nyingi nchini Urusi.
obama ni mkenya ? Au dogo ni miguna wa Tanga?Utanzania wake uko wapi hapo
Yupi baba yake au Yusuf mwenyewe?Dah
Rafiki yangu wa utoton !!
Maajabu ya tanzania yako wapi hapo
bora nibaki hivi kutokuona maajabu yoyote hapo ya tz.thiago alcantara baba ake ni mbrazil ila yupo hispania.
kama kibaka Icardi anavyopoteza future yake.Aliona mbali sana akaenda Hispania, kule brazil aliona anapoteza future yake..angeendelea kubaki angelikuwa kibaka
kama kibaka Icardi anavyopoteza future yake.
Yusuf SIO MTANZANIAView attachment 794596
Anaitwa Yussuf Yurary Poulsen mwana wa ardhi ya Tanzania na Denmark, ambaye ni mcheza soka maarufu nchini Denmark, aliyetajwa kuongoza kikosi cha timu ya Taifa ya Denmark ambako ndiko alikozaliwa na kuishi.
Yusuph alizaliwa Juni 15, 1994 huko Copenhagen nchini Denmark, huku baba yake akiwa ni Mtanzania mwenyeji wa Mkoa wa Tanga, anayeitwa Shihe Yurary aliyekuwa akifanya kazi kwenye meli ya mizigo, ambayo ilikuwa ikifanya shughuli zake kati ya Afrika na Denmark, na mama yake anayejulikana kwa jina la Lene ni raia wa Denmark.
Kupitia kazi zake hizo, Shihe alikutana na Lene na kuanzisha uhusiano uliomleta duniani Yusuf, na akaamua kuhamishia makazi yake jijini Copenhagen, Denmark ni raia wa Denmark.
Yusuf alianza kucheza soka akiwa mdogo, na kujiwekea rekodi mbali mbali mpaka kusajiliwa na timu ya RB Leipzig ya nchini Ujermani, ambako bado yupo mpaka sasa.
Kwenye timu yake ya Taifa ya Denmark Yusuf anacheza nafasi ya mshambuliaji, ambayo ni maalum kwa kufunga magoli, na imetajwa kushiriki kombe la dunia mwaka 2018, ambaloi linatarajia kuanza siku si nyingi nchini Urusi.