Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kisa kinene ,yapo mengi hatuyajui yapo mengi tunahaso tuyajue
Elimu haina mwisho,Tuendelee kijifunza tupo kwenye nchi ya Dunia ya tatu ipo nyuma Kwa mambo mengi tu yaani,
Siasa,uchumi,na maendeleo ya mtu mmoja mmoja ,ni nchi ambayo mtu akimikiki
Jiko la umeme,friji la vyakula na baadhi ya vitu vya muhimu ,anaonesha ni tajiri.
Suala si umiliki wa vitu tu bali ni ufahamu wa vitu vingi namna vinavyotumika,mambo mengi hatuyajui mjue.
Hivi unawezaje kumkabidhi jiko mtu asiyejua kitunguu kinakatwa vipi,au nyanya inasagwa vipi,iliki inawekwa kwenye nini
Hivi pishi likitoka bichi alaumiwe nani?
Elimu haina mwisho,Tuendelee kijifunza tupo kwenye nchi ya Dunia ya tatu ipo nyuma Kwa mambo mengi tu yaani,
Siasa,uchumi,na maendeleo ya mtu mmoja mmoja ,ni nchi ambayo mtu akimikiki
Jiko la umeme,friji la vyakula na baadhi ya vitu vya muhimu ,anaonesha ni tajiri.
Suala si umiliki wa vitu tu bali ni ufahamu wa vitu vingi namna vinavyotumika,mambo mengi hatuyajui mjue.
Hivi unawezaje kumkabidhi jiko mtu asiyejua kitunguu kinakatwa vipi,au nyanya inasagwa vipi,iliki inawekwa kwenye nini
Hivi pishi likitoka bichi alaumiwe nani?