Tanzania nchi yangu, tuna safari ndefu

Tanzania nchi yangu, tuna safari ndefu

Mpekuzi Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2018
Posts
650
Reaction score
1,016
Tanzania Nchi yenye watu Milioni 61 hisia na mawazo yanaendeshwa na kikundi cha wanaojiita wanaharakati mitandaoni ambao familia zao zina uhakika wa kula na kusaza.

Baada ya ajali ya ndege siku tatu kulikuwa na povu povu kuhusu uwajibikaji, Leo matokeo ya Yanga yameshabadili upepo na stori zimebadilika.

Ha ha ha ha ha Tanzania raha sana. Kuna jamaa alisema "Tanzania wee jipiganie wewe na nafasi yako"
 
Tanzania Nchi yenye watu Milioni 61 hisia na mawazo yanaendeshwa na kikundi cha wanaojiita wanaharakati mitandaoni ambao familia zao zina uhakika wa kula na kusaza.

Baada ya ajali ya ndege siku tatu kulikuwa na povu povu kuhusu uwajibikaji, Leo matokeo ya Yanga yameshabadili upepo na stori zimebadilika.

Ha ha ha ha ha Tanzania raha sana. Kuna jamaa alisema "Tanzania wee jipiganie wewe na nafasi yako"
Tz hovyo Sana!
 
Ukitaka kuwashikia akili watanzania, kwanza nenda kasome Marekani ukae huko mpaka uwe njema kwenye kingereza then fungua page hata twitter anza kukoso serikali hata ukiwa na Diploma ya sheria utaitwa wakili msomi.

Yaani wanaongeaongea vitu hata hawawezi kufanya ili mradi tu kuleta mtafaruku. Kukosa kazi kama ushapigwa kwenye uchaguzi tafuta kazi ya kufanya, porojo tu hata kufikiria basi .
 
Kwani hao wanaharakati ndio wanaoongoza serikali?

Kazi yao kubwa ni kusema ili wahusika wenye dhamara wafanyie kazi yaliyosemwa. Sasa wewe badala uwaseme ambao wana dhamana halafu hawawajibiki unawasema tena watoa taarifa. Kwa akili kama hizi zako kwanini nchi isiwe na safari ndefu. Halafu kama binadamu huwezi kujadili jambo hilo hilo kila siku. Kwahiyo kama waliongea swala la ajali imeshapita sio vibaya wakaongea na mengine cha msingi ni wahusika wachukue nakufanyia kazi yaliyosemwa. Kwasababu hata kama wangeongea la ajali kiasi gani mwenye wajibu wakufanya mabadiliko ni serikali sio wanaharakati tena.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mtoa hoja umepata kura yangu hapa, uzuzu wa watanzania ndio cancer hapa, kuna mtu aliwageuza watu kuwa mazuzu, hawa wanaokula pie ya taifa, family zao zinaishi maisha ya juu na wameanza kutithishana ili mazuzu waendelee kutawaliwa, mwanzilishi wa UPE hakuna mjukuu wake aliyesoma kule, mwasisi wa shule za Kayumba sekondari naye pia hakuna mjuukuu wake aliyesoma huko, mazuzu wanaendelea kushangilia!! Eti pongezi kwa viongozi wa ccm na serikali mkoa wa Kagera kwa uokoaji wa kitaalamu kwenye air crash accident!!! upuuzi mtupu
 
Back
Top Bottom