Tanzania: Ndairagije ataja kikosi cha wachezaji 27 kwa ajili ya michezo ya kufuzu AFCON 2021

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Kocha mkuu wa Taifa Stars Ettiene Ndairagije ametaja majina ya wachezaji 27 kutoka katika vilabu mbalimbali vya ndani na nje ya Tanzania. Taifa Stars inataraji kukabiliana na Equatorial Guinea pamoja na Libya katika kutafuta tiketi ya kufuzu michuano ya AFCON 2021.

Wachezaji walioitwa ni;

:
 
Mbona Gadiel na Mohamed Hussein kila wakati anashindwa kuchagua mmoja akatafute mwingine kutoka timu nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…