Tanzania: Ndairagije ataja kikosi cha wachezaji 27 kwa ajili ya michezo ya kufuzu AFCON 2021

Adi YUSUPH kwanini hajaitwa? Na akiitwa kwanini hachezeshwi?
 
Adi YUSUPH kwanini hajaitwa? Na akiitwa kwanini hachezeshwi?
Mkuu huyu jamaa amecheza nje naona hafit vizuri mfumo wa soka la kiafrika. Alishawahi cheza gemu ya Rwanda lakini hakufanya vizuri
 
Imekaa kimikia mika tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…