Tanzania ndio nchi ambayo wajinga wamepata fursa ya kuongoza werevu kwa kuwa wana 'connection'

Tanzania ndio nchi ambayo wajinga wamepata fursa ya kuongoza werevu kwa kuwa wana 'connection'

Issakson makanga

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2016
Posts
731
Reaction score
1,158
Ukweli utatuweka huru na kutuvusha, ukibisha na ubishe, hukatazwi.

Kiuhalisia hii nchi ina mfumo mbovu na umeoza wa kupata vyeo na madaraka, yaani inakera. Huhitaji hata degree wala PhD ili ujue ili mradi uwe na connection inatosha.

Hivi umejiuliza ili uwe Mkuu wa Wilaya au Mkoa inapaswa uwe na vigezo gani? Inasikitisha sana wajuzi wa kulivusha taifa wako mtaani halafu wajinga wako madarakani.
 
Ukweli utatuweka huru na kutuvusha, ukibisha na ubishe, hukatazwi.

Kiuhalisia hii nchi ina mfumo mbovu na umeoza wa kupata vyeo na madaraka, yaani inakera. Huhitaji hata degree wala PhD ili ujue ili mradi uwe na connection inatosha.

Hivi umejiuliza ili uwe Mkuu wa Wilaya au Mkoa inapaswa uwe na vigezo gani? Inasikitisha sana wajuzi wa kulivusha taifa wako mtaani halafu wajinga wako madarakani.
Unatafuta ajira mzee?
 
Ukiwa mwerevu lazima utakuwa na uwezo wa kutengeneza connections, otherwise huo werevu wako ni ujinga.
LAZIMA UUVUE WEREVU UWE MJINGA NDIYO UPATE UNACHOKIHITAJI. Labda kama unataka atumie uelevu wako in that way then you are somehow right! Unadhani Ulimwengu kama hajajivua werevu tpata kuongoza? akiendelea na wereve wake s of now?
 
Saivi sera yakuinua wamama kuna visichana vijeuri na vinafki visivyoelewa majukumu vimepewa ofisi vinaudhi mmmno! Kibinti kinakuvutia mdomo akitokea mchepuko wake kinacheka mpaka kinajamba mxiiiuuuuu
 
Ukweli utatuweka huru na kutuvusha, ukibisha na ubishe, hukatazwi.

Kiuhalisia hii nchi ina mfumo mbovu na umeoza wa kupata vyeo na madaraka, yaani inakera. Huhitaji hata degree wala PhD ili ujue ili mradi uwe na connection inatosha.

Hivi umejiuliza ili uwe Mkuu wa Wilaya au Mkoa inapaswa uwe na vigezo gani? Inasikitisha sana wajuzi wa kulivusha taifa wako mtaani halafu wajinga wako madarakani.
Sasa muelewe Muhimu wa katiba mpya
 
Kila mtu unamuona hana akili zaidi yako na ukoo wako...Hao unao waita wajinga unawajua elimu zao ? Wewe binafsi una elimu gani ya kuonekana sio mjinga ?

Uwe na adabu kama hauna malezi usiwe unaropoka tu...Maana ukoo wako ndo werevu pekee
 
Ukweli utatuweka huru na kutuvusha, ukibisha na ubishe, hukatazwi.

Kiuhalisia hii nchi ina mfumo mbovu na umeoza wa kupata vyeo na madaraka, yaani inakera. Huhitaji hata degree wala PhD ili ujue ili mradi uwe na connection inatosha.

Hivi umejiuliza ili uwe Mkuu wa Wilaya au Mkoa inapaswa uwe na vigezo gani? Inasikitisha sana wajuzi wa kulivusha taifa wako mtaani halafu wajinga wako madarakani.
Katina. Ndio maana ukichukua wabunge wetu na Kenya ukawapa mtihani wa siasa majibu yatatisha sana. We need God kwakweli
 
Kila mtu unamuona hana akili zaidi yako na ukoo wako...Hao unao waita wajinga unawajua elimu zao ? Wewe binafsi una elimu gani ya kuonekana sio mjinga ?

Uwe na adabu kama hauna malezi usiwe unaropoka tu...Maana ukoo wako ndo werevu pekee
Ni Kweli familia ya JK , Makamba, Mnauye, Pinda, Lowassa, Mhagama, Mwinyi, Mongela, wote wana PhD
 
Ukweli utatuweka huru na kutuvusha, ukibisha na ubishe, hukatazwi.

Kiuhalisia hii nchi ina mfumo mbovu na umeoza wa kupata vyeo na madaraka, yaani inakera. Huhitaji hata degree wala PhD ili ujue ili mradi uwe na connection inatosha.

Hivi umejiuliza ili uwe Mkuu wa Wilaya au Mkoa inapaswa uwe na vigezo gani? Inasikitisha sana wajuzi wa kulivusha taifa wako mtaani halafu wajinga wako madarakani.
UPO SAHIHI naunga mkono hoja NCHI hii ina WAJINGA wengi sana zamani walikuwa WASIO SOMA lakini sasa hivi WASOMI ndio WAJINGA hawajitambui Hawajui nani kawapa UMASIKINI BABA zao mpaka wao WAKAURITHI Wasomi wetu ni Wajinga sana.
 
Back
Top Bottom