Tanzania HAKUNA meritocracy.Ukweli utatuweka huru na kutuvusha, ukibisha na ubishe, hukatazwi.
Kiuhalisia hii nchi ina mfumo mbovu na umeoza wa kupata vyeo na madaraka, yaani inakera. Huhitaji hata degree wala PhD ili ujue ili mradi uwe na connection inatosha.
Hivi umejiuliza ili uwe Mkuu wa Wilaya au Mkoa inapaswa uwe na vigezo gani? Inasikitisha sana wajuzi wa kulivusha taifa wako mtaani halafu wajinga wako madarakani.
Wengine tunasikia walikuwa na ma file Mirembe, acha tuAu chukulia mfano wa nape na makamba yaani ni matatizo tupu nchi hii.
Na kufeli form four .Wengine tunasikia walikuwa na ma file Mirembe, acha tu
NAPE NAUYEUkweli utatuweka huru na kutuvusha, ukibisha na ubishe, hukatazwi.
Kiuhalisia hii nchi ina mfumo mbovu na umeoza wa kupata vyeo na madaraka, yaani inakera. Huhitaji hata degree wala PhD ili ujue ili mradi uwe na connection inatosha.
Hivi umejiuliza ili uwe Mkuu wa Wilaya au Mkoa inapaswa uwe na vigezo gani? Inasikitisha sana wajuzi wa kulivusha taifa wako mtaani halafu wajinga wako madarakani.
nchi zote duniani teuzi za kisiasa zinaangalia kwanza loyalty kabla ya kitu kingineTanzania HAKUNA meritocracy.
Ni mwendo wa connection, nepotism na chawacracy
We ni fala kwa hio kulamba watu makalio ili kupata connection ni werevu pia? 🤣Ukiwa mwerevu lazima utakuwa na uwezo wa kutengeneza connections, otherwise huo werevu wako ni ujinga.
Hahahah waridi lenyewe ni kupakuliwa tope na wazee wa chama 🤣🤣🤣Mkuu unabidi ukae karibu na waridi ndo utanukia tofauti na hapo hutoboi Mkuu .
Achana na teuzi za kisiasa. Tanzania mpaka Mkurugenzi wa soko la Kariakoo na Wakurugenzi wa Halmashauri.nchi zote duniani teuzi za kisiasa zinaangalia kwanza loyalty kabla ya kitu kingine
Mfano mzuri sana Huu bila kumsahau Amos MakalaAu chukulia mfano wa nape na makamba yaani ni matatizo tupu nchi hii.
Angalieni kwanza wananchi je kichwani wapo vizuri tatizo la ujinga kwa hapa Tz ni kubwa Sana , hao viongozi ni zao la jamii zetu huwezi kuwa smart wakati unaowaongoza hawapo smart.Mfano mzuri sana Huu bila kumsahau Amos Makala
Huyo jamaa sijui aliweza vipi kuwa mkuu wa mkoa aisee.Mfano mzuri sana Huu bila kumsahau Amos Makala
Kwa sisi Watoto masikini lazima upambane ili upate kukaa karibu na waridiHahahah waridi lenyewe ni kupakuliwa tope na wazee wa chama 🤣🤣🤣
Hiyo Dunia unayoizungumzia ni hiyo yenu ya pale msoga.nchi zote duniani teuzi za kisiasa zinaangalia kwanza loyalty kabla ya kitu kingine
Ila sio kwa kujitoa akili.Kwa sisi Watoto masikini lazima upambane ili upate kukaa karibu na waridi
Wananchi wenye akili wako wengi tu, kinachotakiwa ni kufuta kipengele cha polisi ku attack raia kama defense mechanism. Hapo ndio utaona kwamba mabadiliko kumbe yanawezekana.Angalieni kwanza wananchi je kichwani wapo vizuri tatizo la ujinga kwa hapa Tz ni kubwa Sana , hao viongozi ni zao la jamii zetu huwezi kuwa smart wakati unaowaongoza hawapo smart.