Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Huyu jamaa si ndo alimtisha ben saanane na mpaka leo akakimbilia india sijui?wameanza malalamiko
Huyo KIJANA ni nani kwa JINA?Kijana aliyekuwa na akili baada ya kuonja utamu wa madaraka akaanza kuharibu Biashara za watoto wa machifu
Pia kuuwa wapinzani wake hadi walimpa madaraka wakaanza kumshangaa
Tumia akiliHuyo KIJANA ni nani kwa JINA?
Ni Chief HangayaSamia ni mtoto wa Chifu nani?
Mfitinishaji huyooAisee unakapenda sana haka kavideo si katachoka sasa
Samia kawashika pabaya kenge nyinyi, leteni fyokofyoko tuwavunje uti wa mgongo!Hii ni vita mpya na uwenda moja ya vita mbaya kabisa kuwahi tokea ktk historia ya Taifa.
Baada ya msoto vijana wenye akili waliweza kumuingiza kijana mwenzao ambaye hakuwahi kuwa na historia ya viongozi kutoka ktk familia za ma chifu.
Ila kwa bahati mbaya sana kijana hakumaliza safari na kuacha kundikubwa la aina ya vijana kama yeye kubaki ktk mtanziko mkubwa wa maswali yasio namajibu.
Kama nimfuwatiliaji wa mambo hili taifa lina watu wanalila kwa utam ambao hapana mwanadam mwingine anaweza kujuwa au kuupata.
Na haya majamaa yapo kwenye mfumo wa serikali pasipokuonekana kabisa huwezi kujua nani ni nani ila yanakula nakusaza while vyombo vikiwa ktk doz ya usingizi mzito sana.
Mfano kule SA kulikuwa na familia inaitwa Gupta haya majamaa yalikuwa nihatari sana kiasi nguvu yao ililiteka bunge na Rais thanks God serikali ya SA nimoja ya serikali ina sheria ngumu kwa majizi kupita na pia kule zipo familia nyingi zinakula national cake as result mwisho wao hakuwa mzuri.
Tanzania ina rasilimali nyingi sana na mtakubaliana na mimi zipofamilia zinakula cake ya taifa na hizi familiaujio wa kijana yule ilikuwa nimsumari wa moto ktk kidonda maana kweli aluwapelekea moto nakuwavuruga huku wakiunda kizazi kipya cha ma tajiri.
Jambo hili halikuwa jambo lakufurahisha na uwenda lilimletea maadui wengi kuliko alivyofikiri hasa baada ya makabila fulani kuona maisha yao yapo ktk hali yahatari nakuchukiwa wazi wazi.
Mbaya zaidi nikutaka kuzidhoofisha familia tajiri ambapo zingine nikweli zilipata utajiri ktk hali ya halali.
Baada ya kifocha namba one Vita mpya imeanza vita kali nayakutisha sana.
Nitaendelea...
Wapuuzi nyie,mtaishia kutabiri tu, Samia anapiga kazi,leteni fyokofyoko tuwavunje uti wa mgongoKuna mzee alitabiri jambo ila naogopa kuliandika hapa.
Umejitutumua sana mkuu.Wapuuzi nyie,mtaishia kutabiri tu, Samia anapiga kazi,leteni fyokofyoko tuwavunje uti wa mgongo
Tumia akili
Fasihi iko wazi kabisa
Jiwe!!Huyo KIJANA ni nani kwa JINA?
Sema tu !!usiogope nani shehe yahaya???kuwamiss mikopo hatomaliza muda wake??Kuna mzee alitabiri jambo ila naogopa kuliandika hapa.
Hapana Rais ajaye , muda atakao kaa na atakachokifanya.Sema tu !!usiogope nani shehe yahaya???kuwamiss mikopo hatomaliza muda wake??
Ndio huyo huyoHuyu jamaa si ndo alimtisha ben saanane na mpaka leo akakimbilia india sijui?
Mkuu TumainEli !!nadhani the State ndio taasisi pekee ambayo inaweza kuzuia madhara ya vita hiyo !!kama itakuwa haina upande wowote!!!Namna pekee the State wanachotakiwa kufanya ni mbinu ya TUKOSE WOTE yaani Hakuna mshindi Kati ya hayo makundi mawili !! Ndio Chance pekee iliobaki ya kuwa na Tanzania yenye uelekeo mpya kuliko huu wa makundi ya kifisadi yalitopo!!Na hapo uwe Mwisho wa CCM na Chadema pia ACT na kije chama changu cha umoja party ambacho bado hakijasajiliwa Hadi Sasa!!ndio suluhisho pekee la kuiponya nchi na uharibifu wa miaka mingi!!!!!Hii ni vita mpya na uwenda moja ya vita mbaya kabisa kuwahi tokea ktk historia ya Taifa.
Baada ya msoto vijana wenye akili waliweza kumuingiza kijana mwenzao ambaye hakuwahi kuwa na historia ya viongozi kutoka ktk familia za ma chifu.
Ila kwa bahati mbaya sana kijana hakumaliza safari na kuacha kundikubwa la aina ya vijana kama yeye kubaki ktk mtanziko mkubwa wa maswali yasio namajibu.
Kama nimfuwatiliaji wa mambo hili taifa lina watu wanalila kwa utam ambao hapana mwanadam mwingine anaweza kujuwa au kuupata.
Na haya majamaa yapo kwenye mfumo wa serikali pasipokuonekana kabisa huwezi kujua nani ni nani ila yanakula nakusaza while vyombo vikiwa ktk doz ya usingizi mzito sana.
Mfano kule SA kulikuwa na familia inaitwa Gupta haya majamaa yalikuwa nihatari sana kiasi nguvu yao ililiteka bunge na Rais thanks God serikali ya SA nimoja ya serikali ina sheria ngumu kwa majizi kupita na pia kule zipo familia nyingi zinakula national cake as result mwisho wao hakuwa mzuri.
Tanzania ina rasilimali nyingi sana na mtakubaliana na mimi zipofamilia zinakula cake ya taifa na hizi familiaujio wa kijana yule ilikuwa nimsumari wa moto ktk kidonda maana kweli aluwapelekea moto nakuwavuruga huku wakiunda kizazi kipya cha ma tajiri.
Jambo hili halikuwa jambo lakufurahisha na uwenda lilimletea maadui wengi kuliko alivyofikiri hasa baada ya makabila fulani kuona maisha yao yapo ktk hali yahatari nakuchukiwa wazi wazi.
Mbaya zaidi nikutaka kuzidhoofisha familia tajiri ambapo zingine nikweli zilipata utajiri ktk hali ya halali.
Baada ya kifocha namba one Vita mpya imeanza vita kali nayakutisha sana.
Nitaendelea...