Tanzania new war for national cake

Tanzania new war for national cake

Kwa hiyo haya mambo yapo , huwa tunaangalia kwenye muvi za kikorea mfano king maker, familia ya Kim ilikuwa inacontrol kila kitu mpaka mfalme Hana nguvu juu ya hii familia, ipo Ile nyingine ya pills
 
Kuna mzee alitabiri jambo ila naogopa kuliandika hapa.
 
Hii ni vita mpya na uwenda moja ya vita mbaya kabisa kuwahi tokea ktk historia ya Taifa.

Baada ya msoto vijana wenye akili waliweza kumuingiza kijana mwenzao ambaye hakuwahi kuwa na historia ya viongozi kutoka ktk familia za ma chifu.

Ila kwa bahati mbaya sana kijana hakumaliza safari na kuacha kundikubwa la aina ya vijana kama yeye kubaki ktk mtanziko mkubwa wa maswali yasio namajibu.

Kama nimfuwatiliaji wa mambo hili taifa lina watu wanalila kwa utam ambao hapana mwanadam mwingine anaweza kujuwa au kuupata.

Na haya majamaa yapo kwenye mfumo wa serikali pasipokuonekana kabisa huwezi kujua nani ni nani ila yanakula nakusaza while vyombo vikiwa ktk doz ya usingizi mzito sana.

Mfano kule SA kulikuwa na familia inaitwa Gupta haya majamaa yalikuwa nihatari sana kiasi nguvu yao ililiteka bunge na Rais thanks God serikali ya SA nimoja ya serikali ina sheria ngumu kwa majizi kupita na pia kule zipo familia nyingi zinakula national cake as result mwisho wao hakuwa mzuri.

Tanzania ina rasilimali nyingi sana na mtakubaliana na mimi zipofamilia zinakula cake ya taifa na hizi familiaujio wa kijana yule ilikuwa nimsumari wa moto ktk kidonda maana kweli aluwapelekea moto nakuwavuruga huku wakiunda kizazi kipya cha ma tajiri.

Jambo hili halikuwa jambo lakufurahisha na uwenda lilimletea maadui wengi kuliko alivyofikiri hasa baada ya makabila fulani kuona maisha yao yapo ktk hali yahatari nakuchukiwa wazi wazi.

Mbaya zaidi nikutaka kuzidhoofisha familia tajiri ambapo zingine nikweli zilipata utajiri ktk hali ya halali.

Baada ya kifocha namba one Vita mpya imeanza vita kali nayakutisha sana.

Nitaendelea...
Samia kawashika pabaya kenge nyinyi, leteni fyokofyoko tuwavunje uti wa mgongo!
 
Bahati mbaya Ni kumfundisha Simba kula nyama ya mtu,mh nyama ya mtu Ina chunvi tofauti na nyama zingine.
Bahati mbaya alionjesha na wenzie hapo Kuna kazi!
Wa leo Wanasema na kumsimanga Moira hautarudi Tena Kona ile maana Kila mmoja wao Ni mbinafsi hawajui kucheza na wenzao wanataka kufunga peke yao na huku nikichungulia wameshaonja Radha ya kushangiliwa wanapofunga Gori,watakubari kweli kuwa watazamaji?
Jibu Ni hapana wameshaonja nyama ya mtu bhita itakuwa bhita mura sioni wa kuinamisha uso maana wote wanatoka uzao wa ma warriors Sina ujuzi Sana Kama Kuna warriors kutoka pwani yetu.
Kibaya Ni Ni pale walipokosa unafiki wa kutoa pole pale warrior kiongozi alianguka walicheka Sana kwa uzembe wake na kuwapitisha topeni bila Huduma na wakaapa hadharani kamwe hawatakuja ongozwa na warriors Tena hili limewaamsha warriors na kutambua kuwa safari yao sio moja ingawa wanaishi kwenye nyumba moja,
Nakubariana na wewe bhita yupo subirini 2025 mtaona.
 
Hii ni vita mpya na uwenda moja ya vita mbaya kabisa kuwahi tokea ktk historia ya Taifa.

Baada ya msoto vijana wenye akili waliweza kumuingiza kijana mwenzao ambaye hakuwahi kuwa na historia ya viongozi kutoka ktk familia za ma chifu.

Ila kwa bahati mbaya sana kijana hakumaliza safari na kuacha kundikubwa la aina ya vijana kama yeye kubaki ktk mtanziko mkubwa wa maswali yasio namajibu.

Kama nimfuwatiliaji wa mambo hili taifa lina watu wanalila kwa utam ambao hapana mwanadam mwingine anaweza kujuwa au kuupata.

Na haya majamaa yapo kwenye mfumo wa serikali pasipokuonekana kabisa huwezi kujua nani ni nani ila yanakula nakusaza while vyombo vikiwa ktk doz ya usingizi mzito sana.

Mfano kule SA kulikuwa na familia inaitwa Gupta haya majamaa yalikuwa nihatari sana kiasi nguvu yao ililiteka bunge na Rais thanks God serikali ya SA nimoja ya serikali ina sheria ngumu kwa majizi kupita na pia kule zipo familia nyingi zinakula national cake as result mwisho wao hakuwa mzuri.

Tanzania ina rasilimali nyingi sana na mtakubaliana na mimi zipofamilia zinakula cake ya taifa na hizi familiaujio wa kijana yule ilikuwa nimsumari wa moto ktk kidonda maana kweli aluwapelekea moto nakuwavuruga huku wakiunda kizazi kipya cha ma tajiri.

Jambo hili halikuwa jambo lakufurahisha na uwenda lilimletea maadui wengi kuliko alivyofikiri hasa baada ya makabila fulani kuona maisha yao yapo ktk hali yahatari nakuchukiwa wazi wazi.

Mbaya zaidi nikutaka kuzidhoofisha familia tajiri ambapo zingine nikweli zilipata utajiri ktk hali ya halali.

Baada ya kifocha namba one Vita mpya imeanza vita kali nayakutisha sana.

Nitaendelea...
Mkuu TumainEli !!nadhani the State ndio taasisi pekee ambayo inaweza kuzuia madhara ya vita hiyo !!kama itakuwa haina upande wowote!!!Namna pekee the State wanachotakiwa kufanya ni mbinu ya TUKOSE WOTE yaani Hakuna mshindi Kati ya hayo makundi mawili !! Ndio Chance pekee iliobaki ya kuwa na Tanzania yenye uelekeo mpya kuliko huu wa makundi ya kifisadi yalitopo!!Na hapo uwe Mwisho wa CCM na Chadema pia ACT na kije chama changu cha umoja party ambacho bado hakijasajiliwa Hadi Sasa!!ndio suluhisho pekee la kuiponya nchi na uharibifu wa miaka mingi!!!!!
NASUBIRI sehemu ya pili ya bandiko lako!!!
 
Back
Top Bottom