Tanzania ni kisiwa cha amani au makao ya waoga?

Tanzania ni kisiwa cha amani au makao ya waoga?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Mijini na vijijini manung'uniko yametawala!

Watumishi wa umma wanaonekana wana furaha lakini mioyoni wanaugulia maumivu!

Hata tabasamu za wengine zinaweza zikawa na tafsiri tofauti. Labda ni kilio kilichopunguzwa makali!

Watu wanalia lakini hawataki ijulikane kuwa wana majonzi!

Ndivyo kisiwa cha amani kunavyopaswa kuwa?

Mbona kama Kenya ambayo si Kisiwa cha amani wanafaidi zaidi keki ya Taifa lao kuzidi wananchi wa Kisiwa cha amani?

Ni kisiwa cha amani au makao ya waoga?
 
Mijini na vijijini manung'uniko yametawala!

Watumishi wa umma wanaonekana wana furaha lakini mioyoni wanaugulia maumivu!

Hata tabasamu za wengine zinaweza zikawa na tafsiri tofauti. Labda ni kilio kilichopunguzwa makali!

Watu wanalia lakini hawataki ijulikane kuwa wana majonzi!

Ndivyo kisiwa cha amani kunavyopaswa kuwa?

Mbona kama Kenya ambayo si Kisiwa cha amani wanafaidi zaidi keki ya Taifa lao kuzidi wananchi wa Kisiwa cha amani?

Ni kisiwa cha amani au makao ya waoga?
Kusanya ukoo wako muandamane Kama hamna furaha,makampuni ya saruji yanatajirika tz na magari yamezidi barabara hazitoshi,watz wanailisha Kenya,vyote hivyo haviwezekani bila nguvu za kifedha,achilia mbali shule za Bei mbaya zilizojaa watoto wa kitanzania,maofisini serikalini Kuna vyombo vya moto binafsi,Hadi shule za msingi ambako zamani usafiri ni baiskeli
 
Mijini na vijijini manung'uniko yametawala!

Watumishi wa umma wanaonekana wana furaha lakini mioyoni wanaugulia maumivu!

Hata tabasamu za wengine zinaweza zikawa na tafsiri tofauti. Labda ni kilio kilichopunguzwa makali!

Watu wanalia lakini hawataki ijulikane kuwa wana majonzi!

Ndivyo kisiwa cha amani kunavyopaswa kuwa?

Mbona kama Kenya ambayo si Kisiwa cha amani wanafaidi zaidi keki ya Taifa lao kuzidi wananchi wa Kisiwa cha amani?

Ni kisiwa cha amani au makao ya waoga?
Wenye amani ni walio kwenye mkondo wa maokoto ya ccm na serikali!
Walio nje ya mkondo wanasubiria kiwake!
 
Mijini na vijijini manung'uniko yametawala!

Watumishi wa umma wanaonekana wana furaha lakini mioyoni wanaugulia maumivu!

Hata tabasamu za wengine zinaweza zikawa na tafsiri tofauti. Labda ni kilio kilichopunguzwa makali!

Watu wanalia lakini hawataki ijulikane kuwa wana majonzi!

Ndivyo kisiwa cha amani kunavyopaswa kuwa?

Mbona kama Kenya ambayo si Kisiwa cha amani wanafaidi zaidi keki ya Taifa lao kuzidi wananchi wa Kisiwa cha amani?

Ni kisiwa cha amani au makao ya waoga?
LKDKLSDKSDDS.jpg
 
Kuna wakati uoga ni akili,ingawa ukizidi sana unakuwa ni ujinga/uchawa.
Nchi yetu iko kwenye transition stage,yanayotokea Kenya leo yatakuja Tanzania 2025-2030.
 
Mijini na vijijini manung'uniko yametawala!

Watumishi wa umma wanaonekana wana furaha lakini mioyoni wanaugulia maumivu!

Hata tabasamu za wengine zinaweza zikawa na tafsiri tofauti. Labda ni kilio kilichopunguzwa makali!

Watu wanalia lakini hawataki ijulikane kuwa wana majonzi!

Ndivyo kisiwa cha amani kunavyopaswa kuwa?

Mbona kama Kenya ambayo si Kisiwa cha amani wanafaidi zaidi keki ya Taifa lao kuzidi wananchi wa Kisiwa cha amani?

Ni kisiwa cha amani au makao ya waoga?
Tz sio kisiwa cha amani, na watz sio waoga , kama waoga mbona babu zetu wamepambana na mkoloni kufa na kupona , mfano wakina kinjekitile ,mkwawa n.k ,ni swala la mda tu.

Hatuwezi ogopa machawa hata enzi za ukoloni walikuepo mababu zetu waliopigania haki ila nyuma ya pazia walikuepo machawa walliotumiwa na wakoloni ,kwa kamatisha wananchi wenzao ili kufanikisha biashara ya utumwa kwa wazawa wenzao huku wakilamba miguu na viatu vya wakoloni, so huchawa haujaanza leo ulikuepo na sasa historia inajirudia ,( hakuna jipya chini ya jua wakuu?

Tutafika mda ni mwalim mzuri.

Mwaka mmoja hivi nikiwa Tanga nilikutana na mzee mmoja hivi toka Kigoma enzi za manamba katika mashamba ya Mkonge ,huyu ndo enzi zile alikua agent wa kwenda huko na kuwachukua watu kwa ajili ya kulima mashambani huko Tanga (kwa sasa marehem na alikufa kifo kibaya uyu mzee ,mwili ulioza huku bado anaongea mpaka wazee walipofanya yao)

Hii sio story niliona na nilikua naongea nae kabla ya umauti) .

Yeye ndo alikua agent wa kutafuta manamber ambao walipo fika walikaa kwenye vijumba vya mita 3x4 watu watano , na vipo baadhi mliowahi fika Tanga Ngomeni - umba kama unaenda Kumburu , vipo baadhi vingine vimebomoka , ( unaweza tembelea maeneo ayo) kama upo Tanga au kwenda tembea Tanga ) .

Hawa manamba akiwemo uyu mzee japo alikua boss hakuna alieachwa salama namanisha wengi hawakuweza kuzaa watoto, na ndo maana pamoja na kituo cha wakoma Misufin sijui kama bado kipo, kilihudumia wakoma plus hawa manamba ambao walikua wazee wakiishi apo Ngomeni- umba - kumburu.

Huyu mzee pamoja na majukum yake ila pia alikua ndo mbobezi wa kuratibu na kiongozi wa ngoma za hiari alisema, namanisha ngoma kama za mizim au mazingaombwe, kwamba mtu anaingia aridhini akiwaka moto anatokea upande wa pili akiwaka moto.

Ujira wao mkubwa ikuwa chinjiwa ng'ombe kula nyama na pombe ya kienyeji ,thats waliochukuliwa kama manamba maisha yao yanaishia huko walikopelekwa basi hapakua cha ziada.

Mnaweza ona machawa hayajaanza leo ,yalikuepo na sasa inajirudia.

Funzo
Chawa anaweza kufa kifo kibaya sana na cha mateso kwa laana kuu ambayo ametumia kwa kulamba miguu ya maboss wake ili kuumiza wengine au kuumiza nchi, ndo maana nikaweka mfano hai kupiti huyu mzee aliejulikana kama mzee Mabom na aliishi Umba Ngomeni Tanga.

UCHAWA NI DHAMBI KUU .
 
Mijini na vijijini manung'uniko yametawala!

Watumishi wa umma wanaonekana wana furaha lakini mioyoni wanaugulia maumivu!

Hata tabasamu za wengine zinaweza zikawa na tafsiri tofauti. Labda ni kilio kilichopunguzwa makali!

Watu wanalia lakini hawataki ijulikane kuwa wana majonzi!

Ndivyo kisiwa cha amani kunavyopaswa kuwa?

Mbona kama Kenya ambayo si Kisiwa cha amani wanafaidi zaidi keki ya Taifa lao kuzidi wananchi wa Kisiwa cha amani?

Ni kisiwa cha amani au makao ya waoga?
Tanzania kisiwa cha Amani Kwa sababu mojawapo asilimia zaidi ya 80 wanaishi vijijini Wana mashamba na uhakika WA chakula na kupata ardhi

Kenya landless wako wengi tena wenye digrii

Ardhi Kenya MTU ngumu kupata

Tanzania ukiona MTU kajenga nyumba ya ma nailoni unajua huyo kichaa

Kenya MTU ana degree analala kijumba cha mabox au manailon sababu ya Sera yao mbovu ya ardhi

Ardhi inamilikiwa na wachache

Huku MTU akikosa ajira anaenda kulima na ardhi kama yote

MTU akiwa na uhakika WA Kula aingie barabarani kutafuta nini?
 
Tanzania kisiwa cha Amani Kwa sababu mmojawapo asilimia zaidi ya 80 wanaishi vijijini Wana mashamba na uhakika WA chakula na kupata ardhi

Kenya landless wako wengi tena wenye digrii

Ardhi Kenya MTU ngumu kupata

Tanzania ukiona MTU kajenga nyumba ya ma nailoni unajua huyo kichaa

Kenya MTU ana degree analala kijumba cha mabox au manailon sababu ya Sera yao mbovu ya ardhi

Ardhi inamilikiwa na wachache

Huku MTU akikosa ajira anaenda kulima na ardhi kama yote

MTU akiwa na uhakika WA Kula aingie barabarani kutafuta nini?
Ikiwa uhakika wa kula kunatosha kumridhisha mtu, huyo mtu ana utofauti gani na "ng'ombe"?

Hata ng'ombe akishakuwa na uhakika wa kushiba hatakuwa na hofu!
 
Mijini na vijijini manung'uniko yametawala!

Watumishi wa umma wanaonekana wana furaha lakini mioyoni wanaugulia maumivu!

Hata tabasamu za wengine zinaweza zikawa na tafsiri tofauti. Labda ni kilio kilichopunguzwa makali!

Watu wanalia lakini hawataki ijulikane kuwa wana majonzi!

Ndivyo kisiwa cha amani kunavyopaswa kuwa?

Mbona kama Kenya ambayo si Kisiwa cha amani wanafaidi zaidi keki ya Taifa lao kuzidi wananchi wa Kisiwa cha amani?

Ni kisiwa cha amani au makao ya waoga?
Sisi siyo waoga ila ni wataarabu na pia tuna ongozi shirikishi tofauti na wenzetu. Ubabe wa uongozi siku zote unazua maqndamano au vikindi vya ugaidi.

Kwa tanzania tunashirikishwa almost kila kitu kabla ya kupitiehwa ndo mana hamna maandamano ya kininga
 
Ikiwa uhakika wa kula kunatosha kumridhisha mtu, huyo mtu ana utofauti gani na "ng'ombe"?

Hata ng'ombe akishakuwa na uhakika wa kushiba hatakuwa na hofu!
Sasa ndio hiyo ukiona mauaji ya kimbari NK shida ardhi

Wachaga mfano ardhi Yao kwao ndogo tusingekuwa na Sera nzuri ya ardhi kuwa mwenye shida yeyote ya ardhi aweza ishia popote apate ardhi kirahisi alime apate chakula wachaga wangeuana

Sera nzuri zimetoa Amani na utulivu sio uchagani Tu Bali Kwa watanzania wengi ambao kwao kuna shida ya ardhi waishi.popote na kupata chakula tofauti na Kenya

Utulivu WA nchi ni pamoja na wananchi wake kuwa na uhakika WA chakula na kupata kipande cha ardhi kirahisi cha kujenga kajumba hata Ka udongo kirahisi
 
Sasa ndio hiyo ukiona mauaji ya kimbari NK shida ardhi

Wachaga mfano ardhi Yao kwao ndogo tusingekuwa na Sera nzuri ya ardhi kuwa mwenye shida yeyote ya ardhi aweza ishia popote apate ardhi kirahisi alime apate chakula wachaga wangeuana

Sera nzuri zimetoa Amani na utulivu sio uchagani Tu Bali Kwa watanzania wengi ambao kwao kuna shida ya ardhi waishi.popote na kupata chakula tofauti na Kenya

Utulivu WA nchi ni pamoja na wananchi wake kuwa na uhakika WA chakula na kupata kipande cha ardhi kirahisi cha kujenga kajumba hata Ka udongo kirahisi
Hujasikia madudu yanayoibuliwa na Waziri Slaa na RC Makonda kwenye masuala ya ardhi? Wamedhulumiwa mpaka wasomi na watu waliowahi kuwa viongozi, maadam tu madhulumati yana hela! Nchi ya amani inaweza kuwa na "upumbavu" kama huo, kiasi cha hukumu ya mahakama kutokuheshimiwa?

Nchi ya amani inazuia watu kutoa maoni yao? Nini kilimpata Ndugai alipolalamika deni la Taifa kuongezeka?

Nchi ya amani inatumia vibaya fedha za wananchi kwa chaguzi zisizo na umuhimu? Kumbuka jinsi wabunge wa upinzani "walafi" walivyorubuniwa kuvihama vyama vyao na kupelekea chaguzi zisizo na uhitaji!
 
Back
Top Bottom