Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
Kwani mass testing ndio inazuia maambukizi?

TZ in watu zaidi ya million 60 hio mass testing itasaidia nini? Hivi wanavyofanya ni sawa pamoja na wananchi kuzingatia usafi na matumizi ya PPEs.
Right, but our government is lagging somewhere,ni kweli serikali imechhkua hatua nyingi tu tens za maana,mapungufu niliyoyataja hapo,ndio yatatuumiza,achilia mbali mass testing na curfew ambazo jirani wameshindwa tayari,angalia hayo mengine niliyo yataja.
 
I think wamefuatana na Geuza ulale to summon their witches and wizards waelewe why their cases are increasing at a high rate, yet they had all this undercontrol and kenyans were confused elements, the joke might soon be on them

Sent using Jamii Forums mobile app
nakumbuka kuna siku alifungua thread akisema venye Tanzania watakuja kutusaidia eti ju hatuna vifaa vya kutosha😂😂.
 
joto la jiwe alijificha wapi?.....hahaaa
Pride comes before a fall...
Screenshot_20200418-091554.png


Last seen on Thursday...ni kubaya ni muda tu Geza Ulole pia akimbie.
 
Ushaanza copy and paste,
Kuna mahali pameandikwa kuwa ni lazima utoe idadi ya waliopimwa,
Yaani hueleweki zaidi ya kujifunga kamba mwenyewe,
Tunarudi pale pale, kama hawapimi hawa wanaopatikana na virusi wamejulikana vipi?
Punguzeni ujinga,
Kama hawapimi basi huku mitaani tungekuwa tunaokota wagonjwa,
Raha ya wakenya ni kuona wagonjwa wakiongezeka Tz.
Kwahivyo hata hauna takwimu za waliopimwa, wacha kujifanya kijuaji.

Alafu nyinyi watanzania ndo mlikua mnasherehekea kuona Kenya wagonjwa wanaongezeka, wengine wenu hata mli tu tukana kabisa na kutuita wajinga na wasio na akili..... Tukawaambia nyinyi hampimi kitu, mka kana, sahii naona mmeacha mchezo na mmeanza kupima mnapata wagonjwa wengi wengi kwa mpigo manake hapo awali mlikua hampimi kitu (Uganda na Rwanda naona wameanza kucheza mchezo huo huo na walikua wameanza vizuri sana)......... Ule ujanja wote ambao mlisema mnao sasa mnaanza kugundua kumbe ilikua ni Ujinga mtupu....


Somo la siku: Ukicheka mtu anaevuka kidimbi cha maji kwasababu ali yumbayumba na akateleza, jua huyo mtu atakucheka zaidi wakati wako wa kuvuka ukifika hata kama utateleza kidogo tu!
 
Pride comes before a fall...
View attachment 1422256

Last seen on Thursday...ni kubaya ni muda tu Geza Ulole pia akimbie.
Yani natamani mtu angekua anaenda kwa zile thread zote huyu jamaa na watz wengine walikua wakitukana watu kwasababu ya kesi za corona , a screenshot hizo comments zake zote alizoandika upuzi kama huu alafu aanzishe thread ya kuonyesha vile karma is a b!tch.
 
Kwahivyo hata hauna takwimu za waliopimwa, wacha kujifanya kijuaji.

Alafu nyinyi watanzania ndo mlikua mnasherehekea kuona Kenya wagonjwa wanaongezeka, wengine wenu hata mli tu tukana kabisa na kutuita wajinga na wasio na akili..... Tukawaambia nyinyi hampimi kitu, mka kana, sahii naona mmeacha mchezo na mmeanza kupima mnapata wagonjwa wengi wengi kwa mpigo manake hapo awali mlikua hampimi kitu (Uganda na Rwanda naona wameanza kucheza mchezo huo huo na walikua wameanza vizuri sana)......... Ule ujanja wote ambao mlisema mnao sasa mnaanza kugundua kumbe ilikua ni Ujinga mtupu....


Somo la siku: Ukicheka mtu anaevuka kidimbi cha maji kwasababu ali yumbayumba na akateleza, jua huyo mtu atakucheka zaidi wakati wako wa kuvuka ukifika hata kama utateleza kidogo tu!
Ni kweli wala sio uongo, nyie ni wajinga,
Unataka tuwaige kama hivi?


Kila mtu apite njia yake.
 
Yani natamani mtu angekua anaenda kwa zile thread zote huyu jamaa na watz wengine walikua wakitukana watu kwasababu ya kesi za corona , a screenshot hizo comments zake zote alizoandika upuzi kama huu alafu aanzishe thread ya kuonyesha vile karma is a b!tch.
Usilolijua ni sawa na usiku wa kiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nairobi Ina wakenya wangapi? Au hata kwa makadilio tu Kama hujui idadi kamili
wiki iliopita na wiki hii tulianza na wale wote waliokua wamesafiri nje hata kama hawana dalili walipimwa wote, Sahhi tests zilizofanywa ni elfu kumi. Kuanzia hii weekend na wiki ijayo yote, madaktari wote watafanyiwa mass testing, alafu wakiisha hao ndo wataanza kufanyia wananchi.

Kwahivyo mass tetsing ya high risk areas kama hizo quaaranteen centers imeshafanywa, sasa imebaki wananchi wa kawaida..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
As far as Kunyaland is concerned nothing is to be talked about as none of ur measures have worked! Stay out of brainy discussion!
And see for yourself what the much hyped "good" measures have done to your LDC country! 53 cases at once. Damn! Continue with the good measures ABD don't even look back
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom