Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.

Geza naona umenza tena kimbele mbele 🙄😳😳😳
Sasa vile mmeanza kupima watu sasa tunaanza kuona takwimu za kikweli

April 10th Kenya ilikua na kesi 189 za corona

1587320306185.png

Leo hii siku 9 baadae, tarehe 19 April kenya iko na kesi 270 za corona kwahivyo ni wagonjwa 270-189 = 81. Tumeongeza wagonjwa 81 ndani ya siku tisa.



Tanzania 10 April ilikua na kesi 32

EVPdg82UcAA38Q3


Leo hii tarehe 19 April mko na kesi 170.... Ndani ya siku tisa Tz mmeongeza wagonjwa 138 wapya




Kwahivyo acha huo ujinga wa kupost vi video na vi tweet vya kulinganisha juhudi za Kenya VS juhudi za Tanzania.... Kuna nchi nyingi sana zilizoendelea kutuliko na zilitia juhudi kabambe kutuliko na bado walipatwa na mlipuko wa kesi mpya, Usifikiria Tanzania ni nchi spesheli ambapo juhudi zake ndo zitafanyikiwa, nchi nyingi sana zilidhani waoo ni watu spesheli...Kwasasa nchi ambazo zimeonekana wazi kua na uwezo wa kudibithi corona bila vifo ni Germany na South Korea....
Sisi hapa EAC tunafaa tu tulie tupambane na corona, manake bado hatujafika peak infection, wiki hii unaweza ukadhani uko salama,wiki ijayo ukashtuka kesi zimefika elfu... Mwanzo huku Kenya mass testing inaanza rasmi hivi karibuni, tarajia ukiona tunapitisha kesi elfu moja au hata elfu tano... Lakini ukiona hivyo usianze kutucheka,,,,, wakati wenu utafika na nyinyi pia mtaamua kupima watu wengi na ukifika huo wakati hautakua wacheka tena.
 
Geza naona umenza tena kimbele mbele 🙄😳😳😳
Sasa vile mmeanza kupima watu sasa tunaanza kuona takwimu za kikweli

April 10th Kenya ilikua na kesi 189 za corona

View attachment 1423993
Leo hii siku 9 baadae, tarehe 19 April kenya iko na kesi 270 za corona kwahivyo ni wagonjwa 270-189 = 81. Tumeongeza wagonjwa 81 ndani ya siku tisa.



Tanzania 10 April ilikua na kesi 32

EVPdg82UcAA38Q3


Leo hii tarehe 19 April mko na kesi 170.... Ndani ya siku tisa Tz mmeongeza wagonjwa 138 wapya




Kwahivyo acha huo ujinga wa kupost vi video na vi tweet vya kulinganisha juhudi za Kenya VS juhudi za Tanzania.... Kuna nchi nyingi sana zilizoendelea kutuliko na zilitia juhudi kabambe kutuliko na bado walipatwa na mlipuko wa kesi mpya, Usifikiria Tanzania ni nchi spesheli ambapo juhudi zake ndo zitafanyikiwa, nchi nyingi sana zilidhani waoo ni watu spesheli...Kwasasa nchi ambazo zimeonekana wazi kua na uwezo wa kudibithi corona bila vifo ni Germany na South Korea....
Sisi hapa EAC tunafaa tu tulie tupambane na corona, manake bado hatujafika peak infection, wiki hii unaweza ukadhani uko salama,wiki ijayo ukashtuka kesi zimefika elfu... Mwanzo huku Kenya mass testing inaanza rasmi hivi karibuni, tarajia ukiona tunapitisha kesi elfu moja au hata elfu tano... Lakini ukiona hivyo usianze kutucheka,,,,, wakati wenu utafika na nyinyi pia mtaamua kupima watu wengi na ukifika huo wakati hautakua wacheka tena.
Still mnaongoza na curfew yenu!
 
mfunge hiyo midomo ya choo!
Why are you inviting karma to bite you in the ass??? Corona haitakangi watu wajisifu manake ikiskia nchi inajisifu hapo ndo inabisha hodi kuwaonyesha kwamba hamjui kitu! be humble , asie funzwa na mama....
 
Why are you inviting karma to bite you in the ass??? Corona haitakangi watu wajisifu manake ikiskia nchi inajisifu hapo ndo inabisha hodi kuwaonyesha kwamba hamjui kitu! be humble , asie funzwa na mama....
 
Kaka hiyo ninaelewa, lakini ukifuatilia jinsi Magufuli alivyoipanga timu yake, na jinsi watu wanavyowajibika " Intelligently', pumzika usiwe na wasiwasi. Sisemi kwamba tupo 100% perfect, lakini ninadiriki kusema kwamba tupo vizuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu ongea tena huu ugoro wako leo tukusikie. Mambo ya kulambalamba matako hawasaidii nyie MATAGA, kaeni chini tulieni tutakufa wote taratibu kwasababu ya ujinga wa Meko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa utaratibu huu Wakenya mtapima mpk mtachoka, hii video nimeshindwa tu kui upload hapa ila kwakweli mnasikitisha sn yn km hizi ndizo njia mnazotumia kuipiga corona basi c mchezo[emoji116][emoji116]
Screenshot_2020-04-20-08-57-19.jpeg
 
257 Mfano wa kuigwa ,sasa tuko almost draw kwa wale vichwa maji walikua wanacompare numbers hii kitu ikianza ...sasa mnasema aje?
Joto la jinga kimepotea wapi au alishikwa na corona akanyamaza..
Ata hizi Numbers hawajui kama zmepigwa editing juu number za waliopimwa haijulikani
View attachment 1424923
These people are guessing figures. How many Arusha do they have in Tanzania. Hawajielewi kabisa.
 
Its time to Swallow their pride, implement a lockdown and ban religious gatherings otherwise itabidi wapike izo numbers zaidi, itafika point kupika itakua ngumu
 
Vipi Geza, Bado utaendelea na kidomo domo cha kubeza wenzio kwasababu ya kesi za corona, naona tuko sako kwa bako sasa, Sahii ukifungua mdomo kesho kutwa tutakua tuna kuekea comments zako za hapo awali vile ulikua ukitucheka
Lakini Atleast geza saw the light and tried to talk some sense into his fellow propagandist

Nasoma first page nacheka tuu even back then nlikua nacheka hii ujinga sikucomment knowing it will come full circle and the joto la jinga and his gang low intelligence will be further exposed

Im sure nobody here will look at him and his crew in the same way
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom