Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
hongera sn mzee jiwwe...uko vizuriiii...baada ya korona, wiki ijayo ni siku tatu , maombi ya tumbo la uharoo🤣
FB_IMG_1587494932323.jpg
 
za hivi pundeee...poleniii jamani kwa mpukutikooo!😂
FB_IMG_1587495879756.jpg
 
corona.jpeg


You can only hide the extent of the problem for so long, If it is poorly managed there are no two ways about it. Hata muweke wangapi korokoroni ukweli utachipuka
 
Djibouti has a Population of Less than a Million but their Covid 19 Cases are Worrying!
Algeria – 2,811
Angola – 24
Benin – 54
Botswana – 20
Burkina Faso – 500
Burundi – 11
Cameroon – 1,163
Cape Verde – 68
Central African Republic – 14
Chad – 33
Comoros – 0
Congo-Brazzaville – 165
DR Congo – 350
Djibouti – 945
Egypt – 3,490
Equatorial Guinea – 83
Eritrea – 39
Eswatini – 31
Ethiopia – 114
Gabon – 156
(The) Gambia – 10
Ghana – 1,042
Guinea – 688
Guinea-Bissau – 50
Ivory Coast – 916
Kenya – 296
Lesotho – 0
Liberia – 101
Libya – 59
Madagascar – 121
Malawi – 17
Mali – 258
Mauritania – 7
Mauritius – 328
Morocco – 3,209
Mozambique – 39
Namibia – 16
Niger – 657
Nigeria- 782
Rwanda – 150
Sao Tome and Principe – 4
Senegal – 412
Seychelles – 11
Sierra Leone – 50
Somalia – 286
South Africa – 3,465
South Sudan – 4
Sudan – 140
Tanzania – 254
Togo – 86
Tunisia – 901
Uganda – 61
Zambia – 70
Zimbabwe – 28

Todays covid 19 data in africa
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Amana ni hospitali kubwa ile, inapokea wagonjwa wengi pia vifo ni vingi japo ni kweli huduma za afya pale bado haziko sawa kivile na hili ni tatizo la nchi nyingi za Afrika co Tz tu, ss asihusishe vifo pale Amana kwmb vinatokana na corona moja kwa moja ni upumbavu wa hali ya juu na kutaka kuitisha jamii.
 
Sasa ndio usichekelee kwa kufaniya mass testing wakenya elfu 10 ikiwa idadi ya wakenya waliopo Nairobi huijui ,sawa sawa na kusuka kamba huku nyuma inaungua Moto .unaweza kumpima mtu leo baada ya mwezi akawa na korona Sasa mpaka umalize watu wote Nairobi hawa wa mwanzo cjui Kama watakuwa bado wapo sawa
Hiyo ni hesabu ambayo unaweza kuipata kwa google

Sent using Jamii Forums mobile app
 





MY TAKE
It's strange Tanzanians cross to Kenya to do farming on land lent to them by hardworking Kenyans!
 
Ghana is the first African country to lift its Coronavirus lockdown

After three weeks, the West African country of Ghana’s coronavirus lockdown has been lifted. This makes it the first country in Africa to not extend the confinement.
Ghana have tested over 57000 samples
 

Hivi kweli kwa mpango na mbinu hizi bado kuna mwenye kujiuliza kwanini Tanzania maambukizi ya virusi vya Corona ni machache ukilinganisha na nchi za Jirani?.

Ikumbukwe kwamba, nguvu za Tanzania zimewekweza zaidi katika kuhakikisha kwamba virusi haviingizwi nchini toka nje ya nchi, na pale ikitokea kwamba vimeingia, basi havisambai kwa watu wengine.

Viva Tanzania; Tumejipanga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wa Tanzania amini serikali yako na utafanikiwa good up
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom