Amana ilishatangazwa imetengwa kwa ajili ya Corona tu, hukumsikia Ummy?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Amana ni hospitali kubwa ile, inapokea wagonjwa wengi pia vifo ni vingi japo ni kweli huduma za afya pale bado haziko sawa kivile na hili ni tatizo la nchi nyingi za Afrika co Tz tu, ss asihusishe vifo pale Amana kwmb vinatokana na corona moja kwa moja ni upumbavu wa hali ya juu na kutaka kuitisha jamii.
..and they have just realized that they were wrong about the lockdown.Ghana have tested over 57000 samples
Even Kunyaland..and they have just realized that they were wrong about the lockdown.
Waliomuibua Magu (pamoja na mapungufu yake), wanatakiwa waheshimiwe.
Hivi mbona hua muna abudu huyu magufuri ivi? even after doing some dumbest shit lazima mkariri nyimbo za misifa Kama mfungua Uzi joto la jiwe ooh magu hii,ooh magu that smh...Waliomuibua Magu (pamoja na mapungufu yake), wanatakiwa waheshimiwe.
Seems Uhuru Kenyatta anaabudu pia Magufuli maana lock down inalega soon itakuwa lifted though infection bado ipo!Hivi mbona hua muna abudu huyu magufuri ivi? even after doing some dumbest shit lazima mkariri nyimbo za misifa Kama mfungua Uzi joto la jiwe ooh magu hii,ooh magu that smh...
Sent using Jamii Forums mobile app
Seems Uhuru Kenyatta anaabudu pia Magufuli maana lock down inalega soon itakuwa lifted though infection bado ipo!
Una wazimu ww, yn amana imetengwa kwa ajili ya wagonjwa wa corona Tu???Amana ilishatangazwa imetengwa kwa ajili ya Corona tu, hukumsikia Ummy?
regardless, mtu mwenye corona hawekwi wodi moja na wengine so kama ameona maiti 18 ni wazi ni za wagonjwa wenzake walio wodi moja!
ficha upumbavu wako, unadhani wewe pekee ndio uko tanzania?.....Una wazimu ww, yn amana imetengwa kwa ajili ya wagonjwa wa corona Tu???
Lete credible sourceficha upumbavu wako, unadhani wewe pekee ndio uko tanzania?.....
uko tanzania na hujui kama Amana ilishatengwa kwa ajili ya wagonjwa wa Covid 19? ingia You tube andika Amana utaona mengine mengi!Lete credible source
Unaumwa wewe. Acha kuitumia Kenya kwenye upumbavu wa kumsifia dikteta wenu. KENYA HAKUJAKUWA NA LOCKDOWN tangia hili janga la Corona liibuke.Seems Uhuru Kenyatta anaabudu pia Magufuli maana lock down inalega soon itakuwa lifted though infection bado ipo!
Majitu ya Kunyaland bhanaUnaumwa wewe. Acha kuitumia Kenya kwenye upumbavu wa kumsifia dikteta wenu. KENYA HAKUJAKUWA NA LOCKDOWN tangia hili janga la Corona liibuke.
kama hakuna lockdown toka hapo kajiado kwako enda nairobi ukauze mbuzi zako 🤣🤣🤣🤣🤣Unaumwa wewe. Acha kuitumia Kenya kwenye upumbavu wa kumsifia dikteta wenu. KENYA HAKUJAKUWA NA LOCKDOWN tangia hili janga la Corona liibuke.
Acha ushoga, sipo gatuzi la Kajiado ila najua kwamba biashara bado zinaendelea kati ya gatuzi za Kajiado na Nairobi. Shughuli zote 'essential' hazijapigwa marufuku. Nairobi Metropolitan ipo kwenye orodha ya gatuzi 5 tu kati ya 47 ambazo zimebanwa kwenye usafiri, gatuzi la Kajiado halipo. Alafu Kajiado East, West na sehemu za North zipo ndani ya Nairobi Metro kumaanisha eneo kubwa la gatuzi hilo lipo na access ya jiji bila vikwazo. Jumatatu nimetoka Taveta hadi Namanga kupitia gatuzi la Machakos pale Athi River na nikarejea jumanne bila tatizo lolote, wala kusimamishwa kwenye roadblock hata moja.kama hakuna lockdown toka hapo kajiado kwako enda nairobi ukauze mbuzi zako
Kwani Kenya kuna lockdown?Seems Uhuru Kenyatta anaabudu pia Magufuli maana lock down inalega soon itakuwa lifted though infection bado ipo!
Unajua maana ya lockdown?kama hakuna lockdown toka hapo kajiado kwako enda nairobi ukauze mbuzi zako 🤣🤣🤣🤣🤣