Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Amana ni hospitali kubwa ile, inapokea wagonjwa wengi pia vifo ni vingi japo ni kweli huduma za afya pale bado haziko sawa kivile na hili ni tatizo la nchi nyingi za Afrika co Tz tu, ss asihusishe vifo pale Amana kwmb vinatokana na corona moja kwa moja ni upumbavu wa hali ya juu na kutaka kuitisha jamii.
Amana ilishatangazwa imetengwa kwa ajili ya Corona tu, hukumsikia Ummy?


regardless, mtu mwenye corona hawekwi wodi moja na wengine so kama ameona maiti 18 ni wazi ni za wagonjwa wenzake walio wodi moja!
 
EWODuecWkAAgMoN


MY TAKE

8 regions to go!
 
Amana ilishatangazwa imetengwa kwa ajili ya Corona tu, hukumsikia Ummy?


regardless, mtu mwenye corona hawekwi wodi moja na wengine so kama ameona maiti 18 ni wazi ni za wagonjwa wenzake walio wodi moja!
Una wazimu ww, yn amana imetengwa kwa ajili ya wagonjwa wa corona Tu???
 
kama hakuna lockdown toka hapo kajiado kwako enda nairobi ukauze mbuzi zako
Acha ushoga, sipo gatuzi la Kajiado ila najua kwamba biashara bado zinaendelea kati ya gatuzi za Kajiado na Nairobi. Shughuli zote 'essential' hazijapigwa marufuku. Nairobi Metropolitan ipo kwenye orodha ya gatuzi 5 tu kati ya 47 ambazo zimebanwa kwenye usafiri, gatuzi la Kajiado halipo. Alafu Kajiado East, West na sehemu za North zipo ndani ya Nairobi Metro kumaanisha eneo kubwa la gatuzi hilo lipo na access ya jiji bila vikwazo. Jumatatu nimetoka Taveta hadi Namanga kupitia gatuzi la Machakos pale Athi River na nikarejea jumanne bila tatizo lolote, wala kusimamishwa kwenye roadblock hata moja.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom