joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #861
Mapambano Dhidi ya Corona Ulaya waanza kutambua hatua za Magufuli kukabili corona
Hahahaha, hahahaha, Hahahaha.
Hahahaha, hahahaha, Hahahaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania na Burundi ndo miongoni mwa mifano mibaya zaidi duniani, hata msithubutu. Kumbuka kule kwa takwimuza corona bado mnasema mko na wagonjwa 500 pekee tangu April!Huu uzi umelala sn, vp Wakenya mshakubali kwmb Tz ni mfano wa kuigwa katika kupambana na covid-19??
Cc: mwaswast Zigi Rizla Kafrican MK254 Nicxie komora096 Teargass [emoji116][emoji116][emoji81][emoji81][emoji81]View attachment 1477189
U shud update ur brain my friend, last time I checked there were only 4 patientsTanzania na Burundi ndo miongoni mwa mifano mibaya zaidi duniani, hata msithubutu... Kumbuka kule kwa takwimuza corona bado mnasema mko na wagonjwa 500 pekee tangu April!
Mifano mibaya kwa vigezo gani,kwani kenya ina wagonjwa wangapi mpaka sasa!Tanzania na Burundi ndo miongoni mwa mifano mibaya zaidi duniani, hata msithubutu... Kumbuka kule kwa takwimuza corona bado mnasema mko na wagonjwa 500 pekee tangu April!
Kenya wagonjwa 3500Mifano mibaya kwa vigezo gani,kwani kenya ina wagonjwa wangapi mpaka sasa!
I just decided to ignore himTuige nini haswa, kuzika vichwa ardhini na kuficha, je umetazama video za BBC zinavyowaumbua mnachokifanya, madaktari wenu wanatoa siri yenu, hamna cha kuiga hapo na ni ujinga sana kwa mataga kushabikia hadi hili maana linahusu ndugu zenu, wazazi wenu na hata nyie wenyewe.
Kwnn usini ignore wkt nyie kwenu mnaendelea kuuwawa na covid-19, cc huku mambo km hv[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]I just decided to ignore him
Kwnn usini ignore wkt nyie kwenu mnaendelea kuuwawa na covid-19, cc huku mambo km hv[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1477694
Huyo ukimzidi kwa hoja atakususia kamwe hatojibu tena post zako.Kwnn usini ignore wkt nyie kwenu mnaendelea kuuwawa na covid-19, cc huku mambo km hv[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1477694
Corona haipo Tz, Mara ya mwisho walitangaza ilikuwa Mwezi wa April idadi ikiwa 481 cases & 21 deaths. Kutoka hapo hatujawahi kusikia Tena Visa vya covid-19... joto la jiwe hata alihepa JF Hadi idadi ilipo "pungua" na kusikia 20 😂😂
Pikeni takwimu kwa Raha zenu.
Just because Magufuli told you so? This is an epitome of insanity. Watch this short BBC video, itakufumbua macho.Kwnn usini ignore wkt nyie kwenu mnaendelea kuuwawa na covid-19, cc huku mambo km hv[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1477694
Kumbe ni mkaazi wa Tandale! No wonder 😂 😂Wewew ni wa kupuuzwa, hauna hoja kabisa, kuishi kwako huko Tandale hauwazidi madaktari wanaowaumbua, kwaheri.
Hahahahahah ana hasira sn, ila hana shida huyu jamaa huwa anakubali kmy kmy sema anapumbazwa na uzalendo [emoji3][emoji3][emoji3]Huyo ukimzidi kwa hoja atakususia kamwe hatojibu tena post zako.
Mm niletee report za WHO usiniletee ushuzi wa BBC hapa sitaki habari za sports hapa nahitaji health reports.Just because Magufuli told you so? This is an epitome of insanity. Watch this short BBC video, itakufumbua macho
Mk umesanda hahahaha, tazama hii[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]Wewew ni wa kupuuzwa, hauna hoja kabisa, kuishi kwako huko Tandale hauwazidi madaktari wanaowaumbua, kwaheri.
Hahaha kumbe umesha mgundua.Huyo ukimzidi kwa hoja atakususia kamwe hatojibu tena post zako.