Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
Sio tu corona.... Ni mfano wa kupigwa zaidi kwa jinsi taifa lilivopambana kumuombea na kumchangia Tundu Lissu aliye pigwa risasi16 mpaka akapona. Mungu wa Tundu Lissu ndio Mungu wa corona ndio Mungu wa Tanzania.......
Uzi huu unahusu Corona tafadhali, anzisha uzi kuhusu hilo tutachangia.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Wale waliokua wakisema pima, pima, pima, pima, wanatafuta jinsi ya kuyarudisha mdomoni maneno yao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Bado jamaa wanaendelea kuomba msamaha, tafadhali ajitokezee mtanzania atuwakilisha kukubali au kukataa. Geza ulole tafadhali sana tuwakilishe katika hili.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…