Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heheheheheeee ile thread ilikuwa balaa mkuu kuna muda nilianza kuona kama Wakenya wanaenda kushinda af na ww km ulipotea hv basi nkaona hii ngoma tushachemka hii [emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu sio wewe tu, wengi sana hawakuelewa wapi nilipata ujasiri ule wakati Corona ndio mwanzo ilikua inapamba moto, ila nilikusanya taarifa za kutosha jinsi serikali ilivyojipanga kutoka kwa wahusika wakuu serikalini, nilikua na uhakika 90% kwamba Corona haitopenya kwa wingi Tanzania.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Goma linarudi kileleni upyaa hili, wasije wakasema watanzania wanatuletea Corona baada ya kuwaruhusu kuja Kenya.
Wanajua JPM atawafanya tena! Wajaribu si unaona yule CS wao hatoi press release tena!Goma linarudi kileleni upyaa hili, wasije wakasema watanzania wanatuletea Corona baada ya kuwaruhusu kuja Kenya.
Sasa mbona maambukizi bado yapo juu?, hawa watu hawajui wafanyalo wataua watoto hawa [emoji22][emoji22][emoji22]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Pima pimaa pimaaa pimaaaa pimaaaaa weee eeeee
Hahahaaa wanaona ila wamejificha nyuma ya keyboard, kuna mmoja anaitwa Mashashola ndo bado anajifanya Tomaso ila hii report nadhani hatoendelea tena [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mbona hatuwasikii wakenya waliosema tulikua tunaficha data?
Tony254
Alafu hii ramani nimeitafuta baada ya kumsikia Magu akiizungumzia