Sinister
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 1,531
- 1,577
sisi tunaendelea na maisha yetu kama kawaida.
Ukishaona kiongozi anatoa majibu yenye utata basi ujue hali ni tete, taarifa alizonazo zinampa hofu, mashaka na kushindwa kujiamini! Chukua tahadhari, yeye kapotelea Chato.