Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na kuenea kwa Corona

Status
Not open for further replies.
EuVdQCLWgAEWB4Y.jpeg
 
Ile ya kutangaza 3.30pm, kwanini mumesimamisha?, stupid country.
This Canadian B** along with an American ambassador are both playing a vital role in funding a number of groups (such as: Maria Sarungi's) that ostensibly designed to discredit Mgufuli's administration.

Why don't she go back to Canada?
 
Hivi kweli kwa mpango na mbinu hizi bado kuna mwenye kujiuliza kwanini Tanzania maambukizi ya virusi vya Corona ni machache ukilinganisha na nchi za Jirani?

Ikumbukwe kwamba, nguvu za Tanzania zimewekweza zaidi katika kuhakikisha kwamba virusi haviingizwi nchini toka nje ya nchi, na pale ikitokea kwamba vimeingia, basi havisambai kwa watu wengine.

Viva Tanzania; Tumejipanga sana.




Vikosi vyote vya POLISI wa kutuliza fujo vimegeuzwa kuwa vikosi vya kupambana na Corona.


Sent using Jamii Forums mobile app
Futa hii takataka yako! watu tumepoteza wazaz wetu wapendwa, wewe unaandika mavi ya kuku hapa! waafrika tuna watu wapuuzi na viongoz wetu ndiyo huwatumia kufanikiwa matakwa yao.
 
Sisi Wakenya tulishawaonya mapeeeeeeeeeeema................ Hamkusikia.

 
Screenshot_2021-02-17-15-59-25.png

Ila huyu jamaa noma! Alikuwa na info kabla Matangazo! Tz chukueni tahadhari. Corona inaua!
Pole kwa familia!
RIP Mzee
 
Futa hii takataka yako! watu tumepoteza wazaz wetu wapendwa, wewe unaandika mavi ya kuku hapa! waafrika tuna watu wapuuzi na viongoz wetu ndiyo huwatumia kufanikiwa matakwa yao.
Uzembe wenu na upumbavu wenu ndio unaowamaliza, ninyi hamna akili ndio sababu mnakufa hovyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Na kuna vilaza bado wanaamini Tanzania hakuna corona!
Hahahaha, stupid Kenyan talking about Tanzania while you can't even protect your medics from corona infection, Corona in Tanzania is very much under control, keep on waiting to see Tanzanians are dying on the streets[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaha, stupid Kenyan talking about Tanzania while you can't even protect your medics from corona infection, Corona in Tanzania is very much under control, keep on waiting to see Tanzanians are dying on the streets[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Under control wakati viongozi wenu wanakufa kwa corona despite the denial! Wake up and smell the coffee! Nasikia mumeibatiza jina mpya "ugonjwa wa shida ya kupumua " 😂
 
Stupid country is the one which uses corona as cash cow to steal money from poor wananchi.
A stupid country is one that denies the existence of a disease while her top leaders are succumbing to the same disease it is denying its existence!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom