zimmerman
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,644
- 3,176
Sasa kama kuna nchi wanaolala na kuamka na kupanga orodha huyu awe red list na huyu awe green list sisi tutawasaidia nini watu hao? Cha kushangaza nchi hizo zenyewe zinajiweka kwenye green list kwa kila kitu yaani. Kiuchumi wao wanajiweka daraja la kwanza na sisi wengine wanatuweka daraja la tatu. Kijamii wao wanajiita nchi zenye furaha duniani wakati sisi wanatuweka nchi zisizo na furaha duniani. Kwenye life span wao wanajiita wanaishi milele na sisi tunakufa mapema. Na kwenye covid wao wameamua kujiita green na sisi wengine red.
Who cares?
La muhimu life halijali red wala green. Utajipangia green lakink covid-19 haijui kusoma rangi. Wanaojiita ni green wanakufa kama kumbikumbi na sisi tunaoitwa red tupo tunadunda.
Kama hustuki kuwa hii ni vita ya kisaikolojia ili kuzidi kudunisha utu wa watu wasio rangi yao ili wawatawale vizuri basi endelea kujihisi upo kwenye red list. Humu duniani hakuna atakayekuthamini, jithamini kwanza ebo!
Who cares?
La muhimu life halijali red wala green. Utajipangia green lakink covid-19 haijui kusoma rangi. Wanaojiita ni green wanakufa kama kumbikumbi na sisi tunaoitwa red tupo tunadunda.
Kama hustuki kuwa hii ni vita ya kisaikolojia ili kuzidi kudunisha utu wa watu wasio rangi yao ili wawatawale vizuri basi endelea kujihisi upo kwenye red list. Humu duniani hakuna atakayekuthamini, jithamini kwanza ebo!