Tanzania ni nchi iliyojaa viongozi (wanasiasa) wasio wazalendo

Tanzania ni nchi iliyojaa viongozi (wanasiasa) wasio wazalendo

UtdProfile_

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2021
Posts
255
Reaction score
314
Tanzania imejaa na viongozi wafuatao....

1. Viongozi Wabinafsi wasiowakumbuka wananchi ambao ndio waliwapeleka huko bungeni na kupata vyeo vingine.

2. Viongozi ambao hawapendi kusema ukweli, na raia wakiomba kuambiwa ukweli wanaonekana kama wakosaji na wavunja amani.

3. Viongozi ambao wana ufinyu wa kufikiria, wapo shallow sana kwenye suala la kufikilia juu ya mambo ya msingi na yenye faida na hasara kwa taifa letu.

4. Viongozi wafuata upepo, leo watakuchekea, kukufurahia na hata kukuvisha kila aina ya sifa lakini ukweli ni kwamba hao viongozi ni wanafiki sanaa.

5. Viongozi ambao hawajali wala kusikiliza maoni ya wananchi na hata wakiyasikiliza kuyafanyia kazi ni suala la kusubiri sana na pengine lisifanyiwe kazi kabsaa.

6. Viongozi ambao hawajui dhamana ya uongozi, leo wizara ya Nishati inakua na mtu hata hajui kazi zake, majukumu yake , lengo la wizara,nk

7. Viongozi ambao wapo kwa maslahi binafsi, idadi kubwa ya viongozi wetu ni wapo sehemu husika serikalini kwa lengo la kupata maslahi Binafsii tu na Sio vinginevyoo.

8.Viongozi mafisadi na walanguzi, wala rushwaa 🚮🚮🚮🚮

Next time, nyiee viongozi mtakuja kupata kiongozi wa kweli haya maisha yatakuwa magumu kwenu✍️✍️✍️
IMG_20230808_023511~2.jpg
 
Jamhuri ya wadanganyika nakuonea huruma

Maana hata sisi wananchi tupo makini sana na SIMBA na YANGA

Viongozi wetu na wenyewe walishafaham wapi tunawekeza raslimali muda na akili zetu
 
Absolutely correct, and without a doubt !!!
 
Hivi unadhani kwanini tupo busy kwa Simba na Yanga????
Uwezo wetu tu wa kufikili ndipo unapoishia

Rejea tukio la jana,siyo vyombo vya habari siyo wandishi wa online Wala siyo wenye ushawishi kwenye mitandao ya kijamii wote habari kuu Simba

Wanasahau kuhusu bandali yetu kuwa na mkataba usio na tija kwa nchi

Jumlisha ya kupanda kwa nishati ya mafuta

Wanazengo wenzangu wapo bize kumsema kocha kwa kutokumpanga sijui nani

Tunasafari ndefu saana maana wenyewe tumekubali Simba na YANGA kuwa ngao ya kulinda madaraka ya viongozi
 
Uwezo wetu tu wa kufikili ndipo unapoishia

Rejea tukio la jana,siyo vyombo vya habari siyo wandishi wa online Wala siyo wenye ushawishi kwenye mitandao ya kijamii wote habari kuu Simba

Wanasahau kuhusu bandali yetu kuwa na mkataba usio na tija kwa nchi

Jumlisha ya kupanda kwa nishati ya mafuta

Wanazengo wenzangu wapo bize kumsema kocha kwa kutokumpanga sijui nani

Tunasafari ndefu saana maana wenyewe tumekubali Simba na YANGA kuwa ngao ya kulinda madaraka ya viongozi
Wewe ishawahi kupost chochote kuhusu Dp world iwe humu Jamii, Twitter, Facebook, thread, Instagram, truth ????
Kwanzaa unatakiwa kukubali kuwa viongozi wako wajinga hawajielewiii, pili elimu kwa Raia ni ndogo kutoka na kunyimwa kwa elimu hiyo haswaa masuala ya Sheria (Law of Contract) kwahyo ww nd unatakiwa uunge juhudi za Kupinga hishu kama hzi.
Lakin nakuunga mkono pia kuhusu sisi pia Raia njaa, tamaa, uelewa mdogo ndio unachangia pia kukwamisha maendeleooo na michakato mblimbali ya maendeleoo✍️✍️✍️
 
UtdProfile_
Kwanza kabisa ondoa kauli yako kwamba viongozi wamechaguliwa na wananchi. Tanzania hakuna kiongozi wa kisiasa aliyechaguliwa na wananchi.
Nani unayemhisi alichaguliwa na wananchi, kwenye uchaguzi upi?
Viongozi wanateuliwa na viongozi wa CCM ndio maana hakuna uwajibikaji. Wanawajibika kwa mamlaka ya uteuzi tu na wanawajibika kwa kumsifu na kumwabudu.
 
UtdProfile_
Kwanza kabisa ondoa kauli yako kwamba viongozi wamechaguliwa na wananchi. Tanzania hakuna kiongozi wa kisiasa aliyechaguliwa na wananchi.
Nani unayemhisi alichaguliwa na wananchi, kwenye uchaguzi upi?
Viongozi wanateuliwa na viongozi wa CCM ndio maana hakuna uwajibikaji. Wanawajibika kwa mamlaka ya uteuzi tu na wanawajibika kwa kumsifu na kumwabudu.
Ahsante kwa hiloo, nakuunga mkonoo
#TutaelewanaTu #ViongozoUchwala
 
Tanzania imejaa na viongozi wafuatao....

1. Viongozi Wabinafsi wasiowakumbuka wananchi ambao ndio waliwapeleka huko bungeni na kupata vyeo vingine.

2. Viongozi ambao hawapendi kusema ukweli, na raia wakiomba kuambiwa ukweli wanaonekana kama wakosaji na wavunja amani.

3. Viongozi ambao wana ufinyu wa kufikiria, wapo shallow sana kwenye suala la kufikilia juu ya mambo ya msingi na yenye faida na hasara kwa taifa letu.

4. Viongozi wafuata upepo, leo watakuchekea, kukufurahia na hata kukuvisha kila aina ya sifa lakini ukweli ni kwamba hao viongozi ni wanafiki sanaa.

5. Viongozi ambao hawajali wala kusikiliza maoni ya wananchi na hata wakiyasikiliza kuyafanyia kazi ni suala la kusubiri sana na pengine lisifanyiwe kazi kabsaa.

6. Viongozi ambao hawajui dhamana ya uongozi, leo wizara ya Nishati inakua na mtu hata hajui kazi zake, majukumu yake , lengo la wizara,nk

7. Viongozi ambao wapo kwa maslahi binafsi, idadi kubwa ya viongozi wetu ni wapo sehemu husika serikalini kwa lengo la kupata maslahi Binafsii tu na Sio vinginevyoo.

8.Viongozi mafisadi na walanguzi, wala rushwaa [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]

Next time, nyiee viongozi mtakuja kupata kiongozi wa kweli haya maisha yatakuwa magumu kwenu[emoji3578][emoji3578][emoji3578]View attachment 2711484
MBUNGE ANAPOKEA MSHAHARA WA MIL.13 HUKU MWALIMU ANAPATA LAKI 7
MBUNGE ANAPOKEA KIINUA MGONGO MIL.249 KWA MIAKA 5 HUKU MWL.ANAPOKEA MIL.30 KWA MIAKA 30
NANI MZALENDO?
HALAFU MAKAMU MWENYEKITI KINANA ANASEMA WABUNGE WAONGEZEWE MISHAHARA HUKU WAALIMU HUU NI MWAKA WA 7 HAWANA NYONGEZA
 
MBUNGE ANAPOKEA MSHAHARA WA MIL.13 HUKU MWALIMU ANAPATA LAKI 7
MBUNGE ANAPOKEA KIINUA MGONGO MIL.249 KWA MIAKA 5 HUKU MWL.ANAPOKEA MIL.30 KWA MIAKA 30
NANI MZALENDO?
HALAFU MAKAMU MWENYEKITI KINANA ANASEMA WABUNGE WAONGEZEWE MISHAHARA HUKU WAALIMU HUU NI MWAKA WA 7 HAWANA NYONGEZA
Inasikitishaaa Sanaaaa
 
Tanzania imejaa na viongozi wafuatao....

1. Viongozi Wabinafsi wasiowakumbuka wananchi ambao ndio waliwapeleka huko bungeni na kupata vyeo vingine.

2. Viongozi ambao hawapendi kusema ukweli, na raia wakiomba kuambiwa ukweli wanaonekana kama wakosaji na wavunja amani.

3. Viongozi ambao wana ufinyu wa kufikiria, wapo shallow sana kwenye suala la kufikilia juu ya mambo ya msingi na yenye faida na hasara kwa taifa letu.

4. Viongozi wafuata upepo, leo watakuchekea, kukufurahia na hata kukuvisha kila aina ya sifa lakini ukweli ni kwamba hao viongozi ni wanafiki sanaa.

5. Viongozi ambao hawajali wala kusikiliza maoni ya wananchi na hata wakiyasikiliza kuyafanyia kazi ni suala la kusubiri sana na pengine lisifanyiwe kazi kabsaa.

6. Viongozi ambao hawajui dhamana ya uongozi, leo wizara ya Nishati inakua na mtu hata hajui kazi zake, majukumu yake , lengo la wizara,nk

7. Viongozi ambao wapo kwa maslahi binafsi, idadi kubwa ya viongozi wetu ni wapo sehemu husika serikalini kwa lengo la kupata maslahi Binafsii tu na Sio vinginevyoo.

8.Viongozi mafisadi na walanguzi, wala rushwaa 🚮🚮🚮🚮

Next time, nyiee viongozi mtakuja kupata kiongozi wa kweli haya maisha yatakuwa magumu kwenu✍️✍️✍️View attachment 2711484
Then wananchi wanaambiwa... Wawe wazalendo, wenye maadili na utii 🤣🤣🤣🤣!! NARUDIA TENA VIONGOZ NDIO WANATAKIWA KWANZA WAWE MFANO WA HAYO YOTE!!!
 
Back
Top Bottom