Tanzania ni nchi iliyojaa viongozi (wanasiasa) wasio wazalendo

Tanzania ni nchi iliyojaa viongozi (wanasiasa) wasio wazalendo

Nchi hii inahitaji kuanza upya kabisa, kuanzia kurudisha Tanganyika yenye katiba yake. Huu muungano wa kienyeji unapaswa kuvunjwa na Zanzibar ikajipange kivyake.
Viongozi wanapaswa kuwa vijana kama yule mwamba wa Burkina Faso ...Traoré! wenye mawazo ya kimapinduzi sio hawa wa rika langu ambao kwa kweli hawana jipya! ... Huwezi kuendesha nchi kwa mtindo wa elimu ya darasa la saba.

Na vijana mjipange kuchukua uongozi wa nchi, jipeni malengo makubwa kuwezesha nchi hii kuwa Super power na sio kuwa nchi tegemezi aina ya saga la DPW.
Aina ya watu wenye mizaha ya kisanii wanaokumbatia uchawa na ukupe aidha wazee waliojichokea,wasipewe nafasi ya kulipeleka taifa hili kwenye utegemezi kwa kila kitu.
 
8.Viongozi mafisadi na walanguzi, wala rushwaa 🚮🚮🚮🚮
Uzalendo utakupeleka wapi kama kila fursa wanawapa watoto wa vigogo wa CCM?? Ukipata fursa piga hela, lala mbele. Endekeza uzalendo, waje kukucheza uzeeni. Uzalendo Africa??
 
Tanzania imejaa na viongozi wafuatao....

1. Viongozi Wabinafsi wasiowakumbuka wananchi ambao ndio waliwapeleka huko bungeni na kupata vyeo vingine.

2. Viongozi ambao hawapendi kusema ukweli, na raia wakiomba kuambiwa ukweli wanaonekana kama wakosaji na wavunja amani.

3. Viongozi ambao wana ufinyu wa kufikiria, wapo shallow sana kwenye suala la kufikilia juu ya mambo ya msingi na yenye faida na hasara kwa taifa letu.

4. Viongozi wafuata upepo, leo watakuchekea, kukufurahia na hata kukuvisha kila aina ya sifa lakini ukweli ni kwamba hao viongozi ni wanafiki sanaa.

5. Viongozi ambao hawajali wala kusikiliza maoni ya wananchi na hata wakiyasikiliza kuyafanyia kazi ni suala la kusubiri sana na pengine lisifanyiwe kazi kabsaa.

6. Viongozi ambao hawajui dhamana ya uongozi, leo wizara ya Nishati inakua na mtu hata hajui kazi zake, majukumu yake , lengo la wizara,nk

7. Viongozi ambao wapo kwa maslahi binafsi, idadi kubwa ya viongozi wetu ni wapo sehemu husika serikalini kwa lengo la kupata maslahi Binafsii tu na Sio vinginevyoo.

8.Viongozi mafisadi na walanguzi, wala rushwaa [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]

Next time, nyiee viongozi mtakuja kupata kiongozi wa kweli haya maisha yatakuwa magumu kwenu[emoji3578][emoji3578][emoji3578]View attachment 2711484
Ingawa hakuna utafti rasmi uliofanywa ila nakubaliana na wew
 
Back
Top Bottom