Umeshasahau police wenu wanavyowaua kila mkitoka barabarani? Kwenye curfew tu mmeuawa kama kumbikumbiAngalau sisi tunaweza kuenda barabarani kuandamana. Nchi yenu ya kinyanyasaji hata huwa mnaogopa kutoka nje kudai haki zenu kwa sababu mtapigwa kama mbwa.
Umeshasahau jinsi polisi wenu walivyompiga mwanahabari wenu hadi akabakia utumbo tu?Umeshasahau police wenu wanavyowaua kila mkitoka barabarani? Kwenye curfew tu mmeuawa kama kumbikumbi
Bado wenyewe mnauana kwa tofauti za kikabila
Na hakujawahi tokea tukio kama hilo mpaka serikali ime rename certain road in Dodoma by his name na special journalist award by his nameUmeshasahau jinsi polisi wenu walivyompiga mwanahabari wenu hadi akabakia utumbo tu?
Huko kwenu mnapiga Tundu Lissu marisasi mpaka anatorokea Kenya kupata matibabu kwa usalama wake?Na hakujawahi tokea tukio kama hilo mpaka serikali ime rename certain road in Dodoma by his name na special journalist award by his name
Huko kwenu mpaka mnapelekwa the Hague
Wacha hivo,leo Ni leo maaskari wao wameteka Kanisa la katoliki la Mbeya eti ni machadema🙈🤣🤣🤣🤣🤣Huko kwenu mnapiga Tundu Lissu marisasi mpaka anatorokea Kenya kupata matibabu kwa usalama wake?
Mimi kama Mkenya nahuzunika sana kuona kwamba tumezungukwa na nchi za kidikteta. Kenya is the only democracy in East Africa. Mkubwa wa Upinzani Freeman Mbowe na wafuaswi wake wamekamatwa usiku wa kuamkia jana na wanashikiliwa na polisi. Inakisiwa kwamba watashtakiwa kwa madai ya ugaidi. Yaani mnarudi nyuma ndugu zetu. Kushtaki Freeman Mbowe kwa shtaka la kigaidi inadhihirisha kwamba huko kwenu kuna udikteta wa hali ya juu hata kushinda Uganda.
Noma sana na inahuzunisha kwa kweli, kuanzia Somalia kupitia Ethiopia, Uganda, Sudan Kusini mpaka Tanzania tumezungukwa na mataifa ya ajabu sana, hamna uvumilivu wowote.
Poleni sana, sidhani kama mama ameridhia haya yote.
Lakini mpaka polisi watumie neno "ugaidi" labda kunalo wanalolijua au wamegundua.....
True. Tanzania is very rotten right now in terms of multiparty democracy. Recently Magufuli rigged the election and now more than 90% of the MPs are from one party. They want us to believe that even opposition stronghold regions also voted for CCM. Now after sending Magufuli's opponent to exile in Belgium, they are now arresting the new leader of opposition and threatening to charge him with terrorism. The politics of this country is completely rotten.before Tanzania gets a new constitution blood will have to be shed. I hate that I have to say that.
The entrenched status quo has now made it plainly clear that they will not entertain any talk of a new constitution from the opposition. However CHADEMA is a well run organization and it will be hard to silence them.
They tried to assassinate their leader now they're trying to use the party controlled judicial system to remove the new leader and in the process they have galvanized the opposition.
Kenya went through this very process, learn from our mistakes.