Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
duru za kijeshi zinadai NCHI ZISIZO PIGANA VITA ni hatari sana kwa viwango vya kijeshi kuliko nchi zenye migogoro
kwa hili naamini yawezekana TZ ni hatari sana kwani vijana waliotoka kule MONDULI wanadai kuna vita ya chini kwa chini kati ya USA na CHINA kuwa karibu na jeshi la TZ wakiamini TZ ni kiboko ya mambo
kwa hili naamini yawezekana TZ ni hatari sana kwani vijana waliotoka kule MONDULI wanadai kuna vita ya chini kwa chini kati ya USA na CHINA kuwa karibu na jeshi la TZ wakiamini TZ ni kiboko ya mambo